Yanga yaingia matatani na Jeshi la Tanzania, kauli zao kuwaponza

Yanga yaingia matatani na Jeshi la Tanzania, kauli zao kuwaponza

Bwire akawe tu MC wa vichekesho ni kazi inayomfit hasa, huyo beki katili alichofanya wala si cha kufurahisha.
Tena kama adhabu iwe ya juu zaidi, licha ya kutuumizia Tambwe wetu, matusi na kumdhalilisha juu.

Refa aliyechezesha kishawekwa pending, hatoendelea kuchezesha michezo iliyobaki ya ligi kuu.
Duh lile beki sura kaa mkagawa sumu, wanachokitafuta wao Ruvu shooting ndio watakipata.
Sisi na Yanga yetu amani tupu, Freeland acha fujo zako, kama wanatuwekea mauchawi yao sisi lazima tuyafukue tu. Mmetushindwa joo!!
 
Last edited by a moderator:
Bwire akawe tu MC wa vichekesho ni kazi inayomfit hasa, huyo beki katili alichofanya wala si cha kufurahisha.
Tena kama adhabu iwe ya juu zaidi, licha ya kutuumizia Tambwe wetu, matusi na kumdhalilisha juu.

Refa aliyechezesha kishawekwa pending, hatoendelea kuchezesha michezo iliyobaki ya ligi kuu.
Duh lile beki sura kaa mkagawa sumu, wanachokitafuta wao Ruvu shooting ndio watakipata.
Sisi na Yanga yetu amani tupu, Freeland acha fujo zako, kama wanatuwekea mauchawi yao sisi lazima tuyafukue tu. Mmetushindwa joo!!

Afadhali dada umekuja shift....kaka yako Makoye Matale ameanza sabato hadi jumatano ijayo
Wakati kesho mnapata maumivu ya Polisi usipoteee humu
 
Last edited by a moderator:
Huu ndo upumbavu sasa,watu badala ya kucheza mpira mnaanza kuapply ujeshi uwanjani, au tuwapeleke Sudan tena mkafe mrudi wafu? Tambwe katoa malalamiko yake nyie mnaanza kuleta mikwara. Pumbaf!!!
 
Afadhali dada umekuja shift....kaka yako Makoye Matale ameanza sabato hadi jumatano ijayo
Wakati kesho mnapata maumivu ya Polisi usipoteee humu

Ha ha ha hahahaa Freeland unajua wewe hujatulia kabisa. Ahsante kwa kunichekesha jioni hii.
Kuna watu huwa wanakimbia kama mikia? tutakuwepo, Polisi wadogo sana kwetu, yaani wajiongeze hasa.
Mkuu Makoye Matale nakutakia Sabato njema.
 
Last edited by a moderator:
Ha ha ha hahahaa Freeland unajua wewe hujatulia kabisa. Ahsante kwa kunichekesha jioni hii.
Kuna watu huwa wanakimbia kama mikia? tutakuwepo, Polisi wadogo sana kwetu, yaani wajiongeze hasa.
Mkuu Makoye Matale nakutakia Sabato njema.

hahaahahaha...ninachoshukuru ni kwamba utakuwepo hapa
Yanga tunawafahamu.....nyie mnachojua ni siasa na uchawi
This time mmechukua magarasa saba ya Simba lazima iwarudi
 
"Yanga acheni kutafuta sababu mapema, kwani uwanja wa loyola unatofauti gani na jamhuri? Uwanja wa Jamhuri ni bora kuliko hata huo mnaofanyia mazoezi"
Source: Msemaji "Nguli" wa Polisi Moro
cc Bantu lady
 
Last edited by a moderator:
"Yanga acheni kutafuta sababu mapema, kwani uwanja wa loyola unatofauti gani na jamhuri? Uwanja wa Jamhuri ni bora kuliko hata huo mnaofanyia mazoezi"
Source: Msemaji "Nguli" wa Polisi Moro
cc Bantu lady

sembo Yanga inawanyima usingizi wengi, hapa jukwaani thread nyingi ni Yanga.
Hatuhitaji kuwaambia maana, mjiongeze wenyewe.
Yanga ndio baba wa timu zote TZ, atakayebisha ameze kisu.
Lazima mtofautishe mazoezi na mechi.
 
Last edited by a moderator:
sembo Yanga inawanyima usingizi wengi, hapa jukwaani thread nyingi ni Yanga.
Hatuhitaji kuwaambia maana, mjiongeze wenyewe.
Yanga ndio baba wa timu zote TZ, atakayebisha ameze kisu.
Lazima mtofautishe mazoezi na mechi.

Sawa Bantu lady kesho mtakua mazoezini au mtakua na mechi?
 
Last edited by a moderator:
Unawezaje kuiita taasisi ya jeshi ni Al shababu au boko haram? Kwa tendo lipi walilofanya linalofanana na matendo ya kigaidi

Kwenye ushabiki wa mpira hilo linawezekana na kama ni kosa basi wenye kutoa adhabu ni mamlaka husika yenye kusimamia mpira wa miguu...

Hebu nikuulize, hivi mashabiki wa Simba wanavyotoa lugha chafu kwa Yanga wakiifananisha na CCM, je ushawahi kusikia au kuona CCM wakitoa adhabu au tamko lolote?
 
Acheni longo longo nyieeeee
Maamuzi ya uwanjani yanafanywa na refa
Mkipewa kichapo mnalalamika
Jifunzeni ukomavu wa Simba
cc sembo grafani11

Ukomavu wa kutimua wachezaji na kuwasingizia wamefanya hujuma?

Au wa kumtimua makocha?
 
Last edited by a moderator:
kwa hiyo ulitaka hizo kauli zitolewe ndani ya uwanja?

mbona unataka kuchekesha walionuna?

Kwahiyo wewe umecheka? Maana kandambili mmenuna tangu mapinduzi cup.
 
Wanajeshi kama wanajiona wao wababe basi waanzishe ligi yao
 
Kwahiyo wewe umecheka? Maana kandambili mmenuna tangu mapinduzi cup.

Ukiwa mshabiki au mpenzi wa timu unayejielewa lazima utatambua kuwa timu unayoipenda si lazima ishinde kila kitu...

Hivyo kutoshinda Mapinduzi Cup au kutoka suluhu mechi mbili mfululizo hilo si jambo la kusumbua akili...
 
Ukiwa mshabiki au mpenzi wa timu unayejielewa lazima utatambua kuwa timu unayoipenda si lazima ishinde kila kitu...

Hivyo kutoshinda Mapinduzi Cup au kutoka suluhu mechi mbili mfululizo hilo si jambo la kusumbua akili...

Sawa mshabiki unayejielewa.. ila kaa ukijua kauli za huyo msemaji wenu zitamponza.. haiwezekani taasisi yetu tunayoiamini uite boko haram.. naona amemisi gereza.
 
Msemaji wa JKT RUVu jana akihojiwa AMESEMA YANGA WANAJAMBO WANALITAFUTA WALA SIO MPIRA MAMBO YA MPIRA YANAISHIA UWANJANI.KUITA TAASISI YA JESHI BOKO HARAMU HAYO NI MAMBO MENGINE yatakayoshughulikiwa kijeshi kwani taarifs zimeshafika makao makuu
MASAU BWIRE alisema HUYU BEKI MWAKA JANA PIA ALIMKABA Tambwe AKIWA SIMBA NA MASHABIKI WA YANGA WALIFURAHIA NA KUMPA HELA kwa jihadi ALIYOCHEZA LEO HII KAMKABA TAMBWE AKIWA YANGA WANAWAITA BOKO HARAMU.ALSHABABU na kadhalika.

Masau Bwire sio msemaji wa JKT Ruvu
 
Masau Bwire sio msemaji wa JKT Ruvu

Sasa huyo mzee kwanini anaisemea JKT RUVU wakati yeye ni msemaji wa RUVU SHOOTING au timu zote za majeshi ndo msemaji wake.
Basi tusubiri kuisemea kanembo fc pia.
 
Mkuu Makoye Matale

Nashukuru leo umejitokeza kabla sabato haijaanza...manake hatutarajii kukuona humu hadi jumatano ijayo

Mkuu,hili swala linanitatiza...mambo yametokea uwanjani..faulu za kawaida....wamevutana mashati wachezaji wa timu zote mbili...refa alifanikiwa kuamua na kufanya maamuzi yaliyoishia uwanjani.

Sasa haya ya nje ya uwanja mbona mnapiga siasa mkuu

Au mnafanya siasa kwa sababu timu yenu inafanya vibaya.

Yanga ivi mnaamini ninyi hamuwezi kufungwa kwa haki?

Lazima msingizie Uchawi? na sababu zingine? mara taulo...mara gloves

View attachment 220857
View attachment 220858
View attachment 220859
View attachment 220860

cc Masuke Amavubi grafani11 sembo Bantu lady
Vigagula FC @ work
 
Back
Top Bottom