Yanga yaingia matatani na Jeshi la Tanzania, kauli zao kuwaponza

Yanga yaingia matatani na Jeshi la Tanzania, kauli zao kuwaponza

Ukiwa mshabiki au mpenzi wa timu unayejielewa lazima utatambua kuwa timu unayoipenda si lazima ishinde kila kitu...

Hivyo kutoshinda Mapinduzi Cup au kutoka suluhu mechi mbili mfululizo hilo si jambo la kusumbua akili...
Kumbe na wewe ni wa kipande cha Bonde la Mafuriko. Ngoja niweke kumbukumbu sawia.
 
Masau Bwire sio msemaji wa JKT Ruvu

Sasa huyo mzee kwanini anaisemea JKT RUVU wakati yeye ni msemaji wa RUVU SHOOTING au timu zote za majeshi ndo msemaji wake.
Basi tusubiri kuisemea kanembo fc pia.
Hata hivyo meseji imefika....ukweli ndiyo huo. Tambwe amechezea Simba takriban misimu miwili kwanini hakubaguliwa akiwa Simba? Kuna kitu kinatafutwa hapa....
 
sembo Yanga inawanyima usingizi wengi, hapa jukwaani thread nyingi ni Yanga.
Hatuhitaji kuwaambia maana, mjiongeze wenyewe.
Yanga ndio baba wa timu zote TZ, atakayebisha ameze kisu.
Lazima mtofautishe mazoezi na mechi.
Hivi wewe mke wangu mbona hueleweki, data hizi mbona hazijakaa vizuri....
Likes Received: 1090

Likes Given: 0
 
Simba wanaongoza ligi ya maneno, kila jambo wanalichukulia kiushabiki bila ya kujali athari ambayo inaweza kuikuta hata timu yao.
 
Msemaji wa JKT RUVu jana akihojiwa AMESEMA YANGA WANAJAMBO WANALITAFUTA WALA SIO MPIRA MAMBO YA MPIRA YANAISHIA UWANJANI.KUITA TAASISI YA JESHI BOKO HARAMU HAYO NI MAMBO MENGINE yatakayoshughulikiwa kijeshi kwani taarifs zimeshafika makao makuu
MASAU BWIRE alisema HUYU BEKI MWAKA JANA PIA ALIMKABA Tambwe AKIWA SIMBA NA MASHABIKI WA YANGA WALIFURAHIA NA KUMPA HELA kwa jihadi ALIYOCHEZA LEO HII KAMKABA TAMBWE AKIWA YANGA WANAWAITA BOKO HARAMU.ALSHABABU na kadhalika.

Ngoja Nimalize UTATA Huu Kwa Kusema Ukweli na Kiini Cha Yote Haya. Suala Hapa Siyo Tambwe Kuchezewa Rafu Bali Ni Hasira Ya Yanga Baada Ya Kuwapa Pesa Ruvu Shooting Kama Kawaida Yao Yanga Kwa Kununua Mechi Lakini Bahati Mbaya Sana Wajeda Pesa Walichukua Na Wakacheza Mpira Wa Kaz Kaz au Nginja Ngija Na Wakakomaa Hivyo Yanga Wakapata Maumivu Mara Mbili Ya Kukomaliwa Kimchezo Na Kuingizwa Mjini. Na Kuwakata Maini Yanga Naomba Wanibishie ktk Hili Ili Niwapasulie Mchongo Mzima Ulivyokuwa. Tumewachoka Sasa Na Kelele Zenu Na Msitufanye Sisi Wajinga. Mnatumia Mamilioni Ya Pesa Kujigamba Na Kununua Michezaji Kwa Mamilioni Halafu ktk Ligi Mnategemea Kununua Hivi Nyie Yanga Mna AKILI Sawa sawa Kweli Kichwani? Nani Asiyejua Kuwa Mwandishi Saleh Ally Ni Mwana Yanga Na Anajipendekeza Kwa Manji Kwa Kuandika Habari Za Kiuchochezi Ili Akimpelekea Manji Apate Pesa? Mbona ktk Hizo Picha Zake Hakuonyesha Pale Ambapo Beki George Michael Alipopigwa Ngumi Mara Mbili Na Kutimbwa Mguuni Na Tambwe Achilia Mbali Kung'atwa Kwake Kidole? au KUNYA ANYE KUKU na AKINYA BATA KAHARISHA?

Ili Uone Miandishi Ya Habari Ya Kitanzania Ni MIPOPOMA Yote Tukio La Jana La Emanuel Okwi Kupigwa Kiwiko Tena Cha Makusudi Na Beki POPOMA Aggrey Morris Wao Wamekiita Kuwa Amegongana Nae. Hivi Kwa Tuliokuwa Pale Uwanjani Aggrey Morris Aligongana Na Okwi au Alimwangalia Refa Kakaaje Kisha Akampiga Kiwiko Cha Maeneo Ya Nyuma Ya Kichwa Hadi Akazimia? Kwahiyo Tukio Likifanywa Na Waume Zenu Yanga Ndiyo Habari ILA Wakifanyiwa Simba Ni Halali? Na Waandishi Wa Habari Wa Kitanzania Mtabaki Hivyo Hivyo Na Siwashangai Kwani Ndiyo Maana Hata Wengi Wengu Mnagongwa Mlango Wa Uani Na Hao Hao Sources Wenu Mnaowatukuza.

Halafu Shafii Dauda ACHA KUWA Mnafiki Na Mzandiki Na Kama Una Chuki Zako Binafsi Na Baadhi Ya Viongozi Wa Simba Basi Usiichukie Simba Yote.Simba Imekukosea Nini Wewe Mwehu? Kilo Uongeleapo Tu Simba Basi Wewe Ni Kuikandia Tu Hivi Simba Hatuna Mazuri? Na Ukome Kuja Uwanjani Taifa Haswa Pale VIP B Kilingeni Kwetu Tena Na Safari Hii TUTAKUPIGA au Kukutoa NISHAI Uaibike!! Tumekuchoka.

Namalizia Tu Kwa Kusema Sisi Simba Ni WAPOLE Ila Kuna SIKU Upole Wetu UTAFIKIA Kikomo Pale Taifa Na Ndipo TUTAHESHIMIANA. Haiwezekani Referee Anaona Watu Wanachezewa Rafu Tena Mbaya Na Za Hatari Na Yupo Hapo Hapo Hatoi Kadi Halafu Sisi TUMCHEKEE Tu au Tumsifu. Nilikuwa Napinga Timu Za Majeshi Kuwapiga Waamuzi Huko Mikoani ILA KUANZIA LEO HII Mimi GENTAMYCINE NABARIKI TIMU ZOTE ZA MAJESHI YETU SI TU KUWAPIGA WAAMUZI BALI NAWASHAURI HATA KUWAUA ( KUWATOA UHAI ) NI HALALI YAO. Na Labda Tu Ombeni Mungu Mechi Zisirudishwe Kuchezewa Shamba La Bibi Uwanja Wa UHURU Kama Inavyosemekana Kwani Tayari Uwanja Umeshakamilika Na Pale Tutakuwa Karibu Mno Na Waamuzi Hivyo Tutakuwa Tunatoa DISCIPLINE Hapo Hapo. Simba TUMECHOKA SASA KUNYANYASWA na KUONEWA.
 
Hivi wewe mke wangu mbona hueleweki, data hizi mbona hazijakaa vizuri....
Likes Received: 1090

Likes Given: 0

My hubby si tulishaongea hiki kitu, wee ongezea tu likes hapo. Kuna idadi ikifika nitaanza toa namimi, usijali ni aina ya style tu.
grafani11
 
Last edited by a moderator:
Naunga mkono tamko la GENTAMYCINE kwa asilimia 100. Sio Simba tu naomba na wapenzi wa soka wote nchi nzima tuweke itikadi zetu kando japo tumshikishe adabu MWAMUZI mmoja ndipo TFF itakapoamka toka usingizini.

Haiwezekani wachezaji sasa wamefikia hatua ya kuumizana mchezoni kiasi cha kutishia kutoana uhai waamuzi wapo kula posho tu, na kuandika taarifa za uongo!!!
 
Last edited by a moderator:
Hatuendi hivyo mpenzi. JK alisema huwezi kula bila kuliwa japo kidogo tu...

Ila mmekuwa wadogo kama nukta, chezeya sare ya kupata kapoint kamoja tu.
Mikia ukawa oyeeee wakalikuwa wanashangilia mwanzo mwisho.
grafani11 na mikia wenzako mbona maneno yamewaishia kwani jumapili jana kulitokea nini?
 
Last edited by a moderator:
Msemaji wa JKT RUVu jana akihojiwa AMESEMA YANGA WANAJAMBO WANALITAFUTA WALA SIO MPIRA MAMBO YA MPIRA YANAISHIA UWANJANI.KUITA TAASISI YA JESHI BOKO HARAMU HAYO NI MAMBO MENGINE yatakayoshughulikiwa kijeshi kwani taarifs zimeshafika makao makuu
MASAU BWIRE alisema HUYU BEKI MWAKA JANA PIA ALIMKABA Tambwe AKIWA SIMBA NA MASHABIKI WA YANGA WALIFURAHIA NA KUMPA HELA kwa jihadi ALIYOCHEZA LEO HII KAMKABA TAMBWE AKIWA YANGA WANAWAITA BOKO HARAMU.ALSHABABU na kadhalika.

Una matatizo kijana.
 
Ila mmekuwa wadogo kama nukta, chezeya sare ya kupata kapoint kamoja tu.
Mikia ukawa oyeeee wakalikuwa wanashangilia mwanzo mwisho.
grafani11 na mikia wenzako mbona maneno yamewaishia kwani jumapili jana kulitokea nini?
Ulitaka tucheke wakati Refa anafurahia mchezaji wetu kupigwa na kiwiko na lile taahira la mirembe Aggrey Morris mpaka kuzimia. Na ole wake kikitokea cha kutokea yeye na refa wake watafute sehemu ya kujificha. Maana tumechoshwa na maamuzi mabovu...
 
Back
Top Bottom