barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Ni yanga tv, wao azam ndio watakua wanaandaa hicho kipindi na kukirusha. Mpaka sasa yanga wanakitengeneza wenyewe kisha wanapeleka file kwenye flash disk azam ili irushwe...Mm kuna kitu sijaelewa; huo mkataba unahusu kufungua channel ya Tv yaani YANGA TV kama ilivo LIVERPOOL TV na kuiweka kwenye king'amuzi cha azam au ni Channel za azam kama UTV, Azam sports 1 HD n.k kurusha taarifa mbalimbali za Yanga?
Wenye kufahamu hili naomba ufafanuzi tafadhali.
Mkuu muwe mnafwatilia bas hivi vitu kabla kuandika kama hivi,,Ni yanga tv, wao azam ndio watakua wanaandaa hicho kipindi na kukirusha. Mpaka sasa yanga wanakitengeneza wenyewe kisha wanapeleka file kwenye flash disk azam ili irushwe...
Mbona FCC, Bashungwa, Simba, MO washakaa kuweka sawa hili jambo?Tume ya Ushindani (FCC) imeanza uchunguzi wa mfumo mpya wa uendeshaji wa klabu ya Simba ambao inawahusu wadaawa watano.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na FCC, wadaawa hao ni Simba Sports Club Holding Company Limited ambaye ni mdaawa wa kwanza, Mo Simba Company Limited (Mdaawa wa pili), Simba Sports Club Company Limited, Simba Sports Club na Mohammed Gulamabbas Hassanali Dewji.
Taarifa ya FCC imesema kuwa mdaawa wa tatu kwa kushirikiana na mdaawa wa kwanza, pili na tano walichukua mali na biashara za mdaawa wanne Tanzania Bara bila kuitaarifa tume hiyo kinyume na sheria ya ushindani kifungu cha 11 (2), 11 (6) (cha mwaka 2018) na kizingiti cha muunganiko wa makampuni cha mwaka 2017.
"Januari 6 mwaka huu, FCC ilifanya maamuzi kwa kutoa matokeo ya awali kuhusiana na tuhuma zinazowakabili wadaawa wote watano.
"Kitendo cha wadaawa wote watano kushindwa kuitaarifu FCC juu ya muunganiko huo wa makampuni kilisababisha kuinyima tume hiyo nafasi ya kutekeleza jukumu lake la kisheria la kufanya tathmini juu ya uhalali wa muunganiko huo unaotuhumiwa kutotaarifiwa kwake kwa mujibu wa sheria," imesema taarifa hiyo.
Tume hiyo pia imetoa nafasi mtu, kampuni, shirika au taasisi kuwasilisha pingamizi kwa kuwa na sababu za kuaminika kuwa muunganiko unaotuhumiwa kutekelezwa na wadaawa wote watano bila kutolewa taarifa kwa FCC kumeathiri au unaweza kuathiri maslahi yake.
Kwa upande wake, mwanasheria wa klabu ya Simba, Mhina M. Mhina alikiri kupokea taarifa hiyo kutoka FCC na wanaandaa taarifa rasmi.
“Tunaandaa taarifa kuhusiana na suala hilo, na msemaji wa klabu ataitangaza kwa mujibu wa utaratibu wetu,” alisema Mhina kwa njia ya simu.
Note: Issue imekwamia hapo FCC wamenusa arufu ya upigaji, MO ni Janja Janja sana, akili zenu mikia mzijuia wenyewe.
Likakaaje?Mbona FCC, Bashungwa, Simba, MO washakaa kuweka sawa hili jambo?
Mkataba wenu uko wapi? Hayo maneno matupu tumeshawazoe. Kuanzia CAS na kuendelea.Klabu kongwe ya Young Africans Sports Club leo inaingia mkataba na Azam Media utakaogharimu jumla ya shilingi Bilioni 34.8 (Bilioni 41 with VAT). Mkataba huu utadumu kwa miaka kumi(10) na utafanyiwa marudio/maboresho baada ya miaka mitano.
Akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, Kaimu Katibu mkuu wa klabu ya Yanga Haji Mfikirwa alisema kuwa mkataba huu, utakua ni kichocheo kwa wadau wote wanaotaka kushirikiana na klabu hii ya Yanga. Kwa mfano, wawekezaji, makampuni ya matangazo n.k.
Kabla ya hapo, Katibu Mwenezi wa klabu ya Yanga Hassan Bumbuli alibainisha kuwa Yanga ndiyo klabu ambayo habari zake zinafuatiliwa sana hewani, magazetini (print) na kidijitali kwa ujumla. Akishukuru, CEO wa AZAM MEDIA ndugu Tido Mhando aliahidi kuboresha huduma ya matangazo inayotolewa na Azam Media. kalabu ya Yanga itakuwa inapokea jumla ya Shilingi 200 kwa mwezi, ambazo zitaongezeka kwa jumla ya milioni 20 kila mwaka hadi kufikia milioni 380 kwa mwezi.
Klabu ya Yanga itaweza kupokea hadi shilingi Bilioni 5.9 kwa mwaka kama Media rights ambapo kwa miaka kumi (10), watapokea kiasi cha Shilingi Bilioni 52.4 (jumlisha VAT).
Klabu nyingine pia zinakaribishwa kuingia mkataba na Azam Media.
My Take:
Simba (Vunjabei Sports Club) tunasubiri mkataba wenu.
Daaaaaah akili gani hizi utopolo mnazo, gawio kwenye mfumo wa hisa sio mapato ni faida. Uwezi ukanunua hisa Voda afu ukasema kila vocha inayouzwa utakua unachukua % zako. Hakuna kampuni ingesimama. Maana mwisho wa mwaka kila mtu anabaki na fito takeSimba inategemea sana mitandao ya kijamii kama vile Instagram na Tweeter. Pia ina viongozi ambao ni kama celebrities, kwa mfano Haji Manara na Mo Dewji. Wana followers wengi, hata Barbara Gonzalez.
Ubovu wa hili kwenye negotiations za Media Partnership ni kuwa itabidi kurasa hizi ziache kuandika na kuonyesha baadhi ya matukio.
Yaani mimi kama AZAM nachukua hizi pages kama competition na itabidi unihakikishie kuwa utaacha kupost mambo ya Simba kabla ya kuniuliza na kuhakikisha hazitaleta migogoro.
This is Negative.
Pia Azam wataangalia siku Yanga ikicheza viewrship ipo vipi na siku Simba ikicheza viewership ipo vipi hasa kwenye TV.
Na mauzo ya Jezi pamoja na merchandise.
Halafu Simba nusu ya mapato yataenda kwa mtu binafsi, anaweza akatumia hizo hela kununua tambuu au kuwapa Simba. Hiyo ni juu yake.
Upende usipende, kwenye hili Yanga wamewapiga bao Simba.
Umekaa muda wote huo, ndiyo ukaamua kusema hilo.Daaaaaah akili gani hizi utopolo mnazo, gawio kwenye mfumo wa hisa sio mapato ni faida. Uwezi ukanunua hisa Voda afu ukasema kila vocha inayouzwa utakua unachukua % zako. Hakuna kampuni ingesimama. Maana mwisho wa mwaka kila mtu anabaki na fito take
Utopolo acheni kujipotosha
Tume ya Ushindani (FCC) imeanza uchunguzi wa mfumo mpya wa uendeshaji wa klabu ya Simba ambao inawahusu wadaawa watano.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na FCC, wadaawa hao ni Simba Sports Club Holding Company Limited ambaye ni mdaawa wa kwanza, Mo Simba Company Limited (Mdaawa wa pili), Simba Sports Club Company Limited, Simba Sports Club na Mohammed Gulamabbas Hassanali Dewji.
Taarifa ya FCC imesema kuwa mdaawa wa tatu kwa kushirikiana na mdaawa wa kwanza, pili na tano walichukua mali na biashara za mdaawa wanne Tanzania Bara bila kuitaarifa tume hiyo kinyume na sheria ya ushindani kifungu cha 11 (2), 11 (6) (cha mwaka 2018) na kizingiti cha muunganiko wa makampuni cha mwaka 2017.
"Januari 6 mwaka huu, FCC ilifanya maamuzi kwa kutoa matokeo ya awali kuhusiana na tuhuma zinazowakabili wadaawa wote watano.
"Kitendo cha wadaawa wote watano kushindwa kuitaarifu FCC juu ya muunganiko huo wa makampuni kilisababisha kuinyima tume hiyo nafasi ya kutekeleza jukumu lake la kisheria la kufanya tathmini juu ya uhalali wa muunganiko huo unaotuhumiwa kutotaarifiwa kwake kwa mujibu wa sheria," imesema taarifa hiyo.
Tume hiyo pia imetoa nafasi mtu, kampuni, shirika au taasisi kuwasilisha pingamizi kwa kuwa na sababu za kuaminika kuwa muunganiko unaotuhumiwa kutekelezwa na wadaawa wote watano bila kutolewa taarifa kwa FCC kumeathiri au unaweza kuathiri maslahi yake.
Kwa upande wake, mwanasheria wa klabu ya Simba, Mhina M. Mhina alikiri kupokea taarifa hiyo kutoka FCC na wanaandaa taarifa rasmi.
“Tunaandaa taarifa kuhusiana na suala hilo, na msemaji wa klabu ataitangaza kwa mujibu wa utaratibu wetu,” alisema Mhina kwa njia ya simu.
Note: Issue imekwamia hapo FCC wamenusa arufu ya upigaji, MO ni Janja Janja sana, akili zenu mikia mzijuia wenyewe.
Mbona FCC, Bashungwa, Simba, MO washakaa kuweka sawa hili jambo?
Hujui lolote wewe ni mshabiki tu, kama mpaka leo hujui mchakato wa klabu yenu umefikia wapi basi tulia tukwambieHivi inakuwaje mtu mzima tena pengine ni jinsia ya kiume unakuwa muongo kiasi hiki?
Hujui lolote wewe ni mshabiki tu, kama mpaka leo hujui mchakato wa klabu yenu umefikia wapi basi tulia tukwambieHivi inakuwaje mtu mzima tena pengine ni jinsia ya kiume unakuwa muongo kiasi hiki?
Soma soma ujue hisa ni nini, wenzenu tulipewa elimu mapema ndio maana tupo kimyaKeep laughing ....
It's good for you.
Mm kuna kitu sijaelewa; huo mkataba unahusu kufungua channel ya Tv yaani YANGA TV kama ilivo LIVERPOOL TV na kuiweka kwenye king'amuzi cha azam au ni Channel za azam kama UTV, Azam sports 1 HD n.k kurusha taarifa mbalimbali za Yanga?
Wenye kufahamu hili naomba ufafanuzi tafadhali.
Hisa ni nini?Hilo halina ubishi ila kwenye mfumo wa kuingoza timu hajafanikiwa, mfumo uliopo sio endelevu siku MO akipata shida kwa biashara yake kama ilivyotokea kwa Manji ndiyo mwisho wa simba.