Kobello
JF-Expert Member
- Feb 20, 2011
- 8,967
- 8,547
- Thread starter
- #241
Ni biashara. Lengo ni faida.Kwa hiyo klabu nyingine zitabaki kutoa macho zikiona yanga na simba wanavyopepea kwa nn azam media assiinue klabu yake ambayo kila mwaka ni wasindikizaji tu tutabaki kuwa na klabu 2 tu simba na yanga ndio maana soka la bongo haliendelei vipi kuhusu mtibwa mbeya city kagera sugar na klabu nyingine kwani wao hawapendi kuonekana.
Wakuze timu zao kwanza. Mbaya walikuwa wanawacheka Yanga akipitisha bakuli Sokoine. Micha go na kubwa kuliko ilizalisha 1.6bn.
Leo Gor Mahia wameanza bakuli.
Sasa timu watu hawainvest, haikui halafu unataka Azam awake mzigo apate hasara?