Yanga yaingia mkataba wa Tsh Bilioni 34.8 na Azam Media

Yanga yaingia mkataba wa Tsh Bilioni 34.8 na Azam Media

Simba inategemea sana mitandao ya kijamii kama vile Instagram na Tweeter. Pia ina viongozi ambao ni kama celebrities, kwa mfano Haji Manara na Mo Dewji. Wana followers wengi, hata Barbara Gonzalez.

Ubovu wa hili kwenye negotiations za Media Partnership ni kuwa itabidi kurasa hizi ziache kuandika na kuonyesha baadhi ya matukio.
Yaani mimi kama AZAM nachukua hizi pages kama competition na itabidi unihakikishie kuwa utaacha kupost mambo ya Simba kabla ya kuniuliza na kuhakikisha hazitaleta migogoro.

This is Negative.
Pia Azam wataangalia siku Yanga ikicheza viewrship ipo vipi na siku Simba ikicheza viewership ipo vipi hasa kwenye TV.
Na mauzo ya Jezi pamoja na merchandise.

Halafu Simba nusu ya mapato yataenda kwa mtu binafsi, anaweza akatumia hizo hela kununua tambuu au kuwapa Simba. Hiyo ni juu yake.

Upende usipende, kwenye hili Yanga wamewapiga bao Simba.


nimesoma comment nying humu nataman niamininkuwa wachangiaji mmeamua kuweka ushabiki tu kuchangamsha mada sitak kuamin ndo uelewa wenu ulipofika kwenyw swala la hisa na uwekezaji

yaan tasisi iingine mkataba flan halafu hiyo pesa igawanywe kwa wenye hisa kama ilivyo.. vikoba...... sijawah ona kitu kama hicho... nachojua tasisi ikiingia mkataba kuna mambo mengi yanapangwa kwenye pesa inayopatikana kwa ajili ya maendeleo ya tasisi husika haichukuliwi hiyo pesa kama faida mgawane...

biashara zingefanyika namna hii hakuna biashara ambayo ingebak zingekufa zote... ni sawa sawa useme voda au tbl wagawane pesa ya mauzo ya bia au vocha pasu kwa pasu na wanahisa wao.. halafu zitajiendeshaje na kukuza brand tena...

mpira ni biashara kama tbl na voda.. bidhaa za simba na yanga ni ubora wa team zao na mafanikio ya uwanjan.. yanayoletwa na uwekezaji ndan na nje ya uwanja.. huo uwekezaji hautok mbinguni. ila mnachopata mnakipangia cha kufanya ili mmboreshe zaid..

ndo maana azam katoka kuwapa 100m team za lg kuu had sasa hv anatoa 500m. maana kigi imeboreka na imeboreshwa na uwekezaji wa vilabu ...na akaona simba na yanga wamejiwekeza kwa kutumia pesa kaamua aje na deal la pemben la maudhui.. its a bussness .. hao yanga au simba 5 years ago Azam asingeweka hiyo pesa kwenye hizo team
 
Mtu mwenye akili timamu na aneelewa maana ya biashara hawezi kubisha juu ya hilo,maana kiuhalisia biashara inatakiwa iwe hivyo.

Hivi ununue club kwa hela kubwa kuliko,mapato ya club alafu faida itapatikana wapi? Ni sawa na mtu anunue kitu 600M Ili aingize faida ya sh 50 kwa siku.
Bila aibu mikia mnatetea mo 😀,subiri muda wa kuuza hisa ufike muone pesa watu watakayoweka Yanga
 
Kwani MO ana TV?
Hapo Simba inaingia Mkataba na Azam TV na sio METL na SSB
Si kwenye matangazo yao watakuwa wanatuonyesha bidhaa zao mara Azam Cola, Azam Energy Drink, Azam Ukwaju, Azam Juice nk!
 
Bila aibu mikia mnatetea mo [emoji3],subiri muda wa kuuza hisa ufike muone pesa watu watakayoweka Yanga

Hakuna mtu serious akaenda kununua hisa kwa Team inayosuasua uwanjani.Kwamba badala ninunue hisa TBL (Simba) niende kununua hisa Chibuku (Yanga)
 
Hakuna mtu serious akaenda kununua hisa kwa Team inayosuasua uwanjani.Kwamba badala ninunue hisa TBL (Simba) niende kununua hisa Chibuku (Yanga)
Umepanic mkia 😂,gsm peke yake atawekeza zaidi ya pesa anayoililia lia mo hapo,tayari kuna watu 4 ambao wana interest za kuwekeza Yanga,tena hapo manji maana katiba ikibadilishwa manji atagombea urais wa kampuni ya Yanga,senzo atakua CEO wa kampuni ambayo itamiliki 51% hiyo 49% tayari ina watu 4,ongea kimafanikio ya uwanjani mliokua nayo kipindi hiki ila kama mambo yataenda kama yalivyo miaka kadhaa ijayo Yanga itakua sehemu nyingine kabisa
 

Attachments

  • 875dc47b93fc4cb28b309851ab8ad389.mp4
    1.5 MB
Umepanic mkia [emoji23],gsm peke yake atawekeza zaidi ya pesa anayoililia lia mo hapo,tayari kuna watu 4 ambao wana interest za kuwekeza Yanga,tena hapo manji maana katiba ikibadilishwa manji atagombea urais wa kampuni ya Yanga,senzo atakua CEO wa kampuni ambayo itamiliki 51% hiyo 49% tayari ina watu 4,ongea kimafanikio ya uwanjani mliokua nayo kipindi hiki ila kama mambo yataenda kama yalivyo miaka kadhaa ijayo Yanga itakua sehemu nyingine kabisa
Hao watafanya kuonesha wana uwezo ila wanaumia moyoni
 
Umepanic mkia [emoji23],gsm peke yake atawekeza zaidi ya pesa anayoililia lia mo hapo,tayari kuna watu 4 ambao wana interest za kuwekeza Yanga,tena hapo manji maana katiba ikibadilishwa manji atagombea urais wa kampuni ya Yanga,senzo atakua CEO wa kampuni ambayo itamiliki 51% hiyo 49% tayari ina watu 4,ongea kimafanikio ya uwanjani mliokua nayo kipindi hiki ila kama mambo yataenda kama yalivyo miaka kadhaa ijayo Yanga itakua sehemu nyingine kabisa

Kumbe unaongelea nadharia,nilidhani unaongelea uhalisia.Unadhani Azam hawapendi pia kuweka mikono yao ndani ya Simba,au hapa mpaka sasa kinachogomba ni dau,Simba in upper hand ktk negotiation baina yake na Azam,Utopolo ni tia maji tia maji ndiyo maana haraka sana mmerukia hilo deal[emoji3][emoji3]
 
Mm kuna kitu sijaelewa; huo mkataba unahusu kufungua channel ya Tv yaani YANGA TV kama ilivo LIVERPOOL TV na kuiweka kwenye king'amuzi cha azam au ni Channel za azam kama UTV, Azam sports 1 HD n.k kurusha taarifa mbalimbali za Yanga?

Wenye kufahamu hili naomba ufafanuzi tafadhali.
 
Kumbe unaongelea nadharia,nilidhani unaongelea uhalisia.Unadhani Azam hawapendi pia kuweka mikono yao ndani ya Simba,au hapa mpaka sasa kinachogomba ni dau,Simba in upper hand ktk negotiation baina yake na Azam,Utopolo ni tia maji tia maji ndiyo maana haraka sana mmerukia hilo deal[emoji3][emoji3]
Wewe jamaa bhana!hivi mikia nguvu hiyo kuanza negotiate mnaitoa wapi!story zako za vijiwe vya kahawa unadhani huu mkataba ni mpya while ni wa kitambo sema umeboreshwa tu,mkataba wa awali timu zote zilikua zinapewa pesa sawa tena kiduchu,leo hii eti unadanganya hapa eti mnanegotiate na azam while mo hautaki huu mkataba aibu kwake maana pesa ya udhamini inazidi pesa ya uwekezaji,halafu nikupe kitu huu mkataba kufikia hapa ni Yanga chini ya senzo ndio walioupigania tena kama utakumbuka ligi ya kinadada Yanga princess na mikia queen ile match azam waliionyesha,walipotangaza tu wataionyesha Yanga walikataa isionyeshwe kwani kwenye mkataba na azam haupo kwenye timu za wadada,mikia mlikubali kuonyeshwa ile match while hata ndondo cup azam aonyeshi kienyeji,azam na Yanga wakayamaliza na Yanga akavuta mkwanja maana ndio walikua wenyeji,baada ya ndio wakaanza kupitia mkataba mpya ndio ikaongezwa pesa na azam ndio akapewa rights zote za Yanga,uongo wa kudai hamtaki mkataba wa b 2 kwa mwaka wakati mlikua mnachukua m 300 kwa mwaka kawadanganye huko vijiwe vya kahawa

Screenshot_20210709-085350_Instagram.jpg
 
Kwa mkataba wa 34 B wa TV right wa Yanga naweza kuinunua Simba ( 49% shares). Mfano Naenda Bank nakopa mkopo wa 21 Billion for 15 years repayment ambapo dhamana ni Contract ya Azam tv na hizo shares pia malipo ya mwezi ambayo azam tv atatakiww kulipa ndio rejesho la huwo mkopo. Ndio maana nasema Mo amewaibia sana Simba haiwezekani ukapata umiliki kwenye Club kubwa kama Simba kwa 20 Billion tena ya mkopo…. Mpaka leo Mo ametengeneza pesa nyingi sana kupitia Mo energy product for free sana

Wewe nae unajua Abramovich pale Chelsea aliwekeza kiasi gani? Unajua mikataba ya Chelsea wanayopata kutoka kwa Wadhamin ina thamani gani vs Kiasi alichowekeza.Muwage mnajifunza zaidi kabla hamjaleta ujuaji hapa.Haya nenda basi kakope hata 1bn huko Bank uje uwekeze Simba kama unadhani ni rahisi hivyo.
 
Hamna kitu kama iko,mkataba wa SportPesa na timu zetu hamna timu iliyoizidi mwenzie hata sumni,na ndivyo itakavyokua iwapo mikia wataridhia kuingia mkataba na azam media, hamna timu itakayoizidi nyingine.
Hahaa kama umefuatilia vema, dau inategemea na thamani ya club.
 
Mchakato wa kampuni au hisa bado hayajakamilika, ndio maana mpaka leo Mo Dewji hajatoa zile 20bilion zake, tatizo watu wanamlamu Mo Dewji bure tu.
Kwanini mchakato haujakamilika ili hali ulianza muda mrefu?
 
Anabebaje MO wakati hawajakamilisha taratibu ? Issue bado ipo FCC
Tume ya Ushindani (FCC) imeanza uchunguzi wa mfumo mpya wa uendeshaji wa klabu ya Simba ambao inawahusu wadaawa watano.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na FCC, wadaawa hao ni Simba Sports Club Holding Company Limited ambaye ni mdaawa wa kwanza, Mo Simba Company Limited (Mdaawa wa pili), Simba Sports Club Company Limited, Simba Sports Club na Mohammed Gulamabbas Hassanali Dewji.

Taarifa ya FCC imesema kuwa mdaawa wa tatu kwa kushirikiana na mdaawa wa kwanza, pili na tano walichukua mali na biashara za mdaawa wanne Tanzania Bara bila kuitaarifa tume hiyo kinyume na sheria ya ushindani kifungu cha 11 (2), 11 (6) (cha mwaka 2018) na kizingiti cha muunganiko wa makampuni cha mwaka 2017.

"Januari 6 mwaka huu, FCC ilifanya maamuzi kwa kutoa matokeo ya awali kuhusiana na tuhuma zinazowakabili wadaawa wote watano.

"Kitendo cha wadaawa wote watano kushindwa kuitaarifu FCC juu ya muunganiko huo wa makampuni kilisababisha kuinyima tume hiyo nafasi ya kutekeleza jukumu lake la kisheria la kufanya tathmini juu ya uhalali wa muunganiko huo unaotuhumiwa kutotaarifiwa kwake kwa mujibu wa sheria," imesema taarifa hiyo.

Tume hiyo pia imetoa nafasi mtu, kampuni, shirika au taasisi kuwasilisha pingamizi kwa kuwa na sababu za kuaminika kuwa muunganiko unaotuhumiwa kutekelezwa na wadaawa wote watano bila kutolewa taarifa kwa FCC kumeathiri au unaweza kuathiri maslahi yake.

Kwa upande wake, mwanasheria wa klabu ya Simba, Mhina M. Mhina alikiri kupokea taarifa hiyo kutoka FCC na wanaandaa taarifa rasmi.

“Tunaandaa taarifa kuhusiana na suala hilo, na msemaji wa klabu ataitangaza kwa mujibu wa utaratibu wetu,” alisema Mhina kwa njia ya simu.

Note: Issue imekwamia hapo FCC wamenusa arufu ya upigaji, MO ni Janja Janja sana, akili zenu mikia mzijuia wenyewe.
 
Umepanic mkia 😂,gsm peke yake atawekeza zaidi ya pesa anayoililia lia mo hapo,tayari kuna watu 4 ambao wana interest za kuwekeza Yanga,tena hapo manji maana katiba ikibadilishwa manji atagombea urais wa kampuni ya Yanga,senzo atakua CEO wa kampuni ambayo itamiliki 51% hiyo 49% tayari ina watu 4,ongea kimafanikio ya uwanjani mliokua nayo kipindi hiki ila kama mambo yataenda kama yalivyo miaka kadhaa ijayo Yanga itakua sehemu nyingine kabisa
Huyu Mohamed Janja Sana
 
Kwanini mchakato haujakamilika ili hali ulianza muda mrefu?
Kuna mambo mengi yamechangia hasa upande wa club maana zilikuwa zinaendeshwa kienjeji sana, ila kwa sasa Imekwamia huko Serikalini.
 
Hakika mzee kilomoni tutamkumbuka Sana. Ila bado hatujachelewa maana haya mabadiliko kisheria bado hayajapita. Moo anyanganywe timu faster, mkataba uwe reviewed haraka Sana, tukimchekea Nyani tutavuna mabuwa wanasimba wenzangu.
Kapuku asiye hata na buku,
 
Simbilisi mngeingia mkataba kabla ya kuuza 49% hapo labda.
Yanga wameingia mkataba huu kabla ya kuuza hisa. Meaning, asilimia 1oo ni mali ya Club hakuna MO.
Washabiki wanachotaka ni mafanikio ya klabu tu hawajali hela zinaenda kwa nani, kwa miaka mi4 mfululizo simba ni bingwa wakati hela za mikataba zinaenda kwa mo huku upande wa yanga asilimia mia hela zinaenda klabuni bila kombe sasa ni mshabiki wa timu gani ana furaha? Wenger aliondoka aseno huku klabu ikiwa inapata faida maradufu ila washabiki wanataka vikombe
 
Back
Top Bottom