Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Hamna kitu kama iko,mkataba wa SportPesa na timu zetu hamna timu iliyoizidi mwenzie hata sumni,na ndivyo itakavyokua iwapo mikia wataridhia kuingia mkataba na azam media, hamna timu itakayoizidi nyingine.Ndo ilivyo lazima Simba wabebe pakubwa, ni kama kwenye deal la Sportpesa, Yanga walivuna kuliko Simba sababu Simba hakuwa kwenye fomu