Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,237
- 31,811
MabingwaYote yanawezekana. Kwani umeambiwa sifa za watakaotakiwa kuwemo kwenye CAF super League?
Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MabingwaYote yanawezekana. Kwani umeambiwa sifa za watakaotakiwa kuwemo kwenye CAF super League?
Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
Mchakato wa kampuni au hisa bado hayajakamilika, ndio maana mpaka leo Mo Dewji hajatoa zile 20bilion zake, tatizo watu wanamlamu Mo Dewji bure tu.Huu wa Simba ina maana 49% itaenda kwa MO
Wewe fuatilia mgogoro wa Simba na AZAM kuhusu Simba Day Youtube clip.Sasa unasimamia wapi mkuu ?
Social media (mfano page ya insta ya AzamTV) ni mshindani wa traditional media (Azam TV channels) ?...
Jibu swali mkuu, acha kunituma nikafuatilie migogoro.Wewe fuatilia mgogoro wa Simba na AZAM kuhusu Simba Day Youtube clip.
Usipende ubishi usio na manufaa.
Bangi bana.Simba TV na Yanga TV sasa zina mikataba tofauti.
Mbali ya Ligi kuu, Azam hana exclusive rights za live events za Simba, labda nao waamue ku-negotiate...
Pamoja na kuuza kalenda? Au umelisahau tukukumbushe [emoji23][emoji23][emoji23]Katika wazungumzaji wote kwenye tukio la leo, nimemkubali Bw. Senzo Mbatha. Jamaa anaijua vizuri football industry na masuala ya contract management. Ukimfuatilia anavyojenga hoja zake na kujibu maswali, yaani mpaka raha. Sielewi kwa nini hakudumu pale Msimbazi. Walimwacha mtu muhimu sana. Ninadhani ndiye engineer wa masuala yote mazuri pale Jangwani.
Wewe jamaa inaonyesha elimu yako ndogo sana. Mo ana hisa 49% anawezaje kumiliki Simba 100% hizo hisa zingine 51% je?Simbilisi mngeingia mkataba kabla ya kuuza 49% hapo labda.
Yanga wameingia mkataba huu kabla ya kuuza hisa. Meaning, asilimia 1oo ni mali ya Club hakuna MO.
Wewe jamaa ni mjinga 34.8b + 8b = 42.8b [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hizo za ziada analipa mkeo?Kulalamika kule, ndiyo kumeipa Yanga Bilioni 34.8 na serikali VAT ya karibu Bilioni 8.
Ile hela pekee haikutosha hasa kwa Simba na Yanga, zilistahili fedha zaidi.
Au wewe uliona poa tu maisha yaendelee?
Mo hana 49% za hisa, alizinunua lini?Wewe jamaa inaonyesha elimu yako ndogo sana. Mo ana hisa 49% anawezaje kumiliki Simba 100% hizo hisa zingine 51% je?
Hebu ficha uji.nga wako
Sent from my PBAT00 using JamiiForums mobile app
Mkuu umeongea vizuri, ila kwa maoni yangu umeenda kwenye "wrong context".
Fahamu ya kwamba hao "wafuasi" wa kwenye social media wamefuata habari (Simba SC na mambo yake)...
Hicho ndicho kitakachokwenda kutokea, wabadilishe mfumo tajiri mmoja hodhi asilimia 49 pekee yake, yawezekana kwa sasa wanachukulia poa, kwasababu simba wanafanya vizuri, ikija kuwa tofauti unabeba lawama ndipo migogoro inaanza na mwekezajiTukiacha ushabiki wetu wa kawaida, watani zetu Mikia wana la kujiuliza kuhusu kiasi cha uwekezaji wa Mo. Huenda hiyo 19.5 B ikaonekana kiduchu.
Simba na Mo waboreshe kiwango cha fedha.
Wabongo hawaeleweki, Mo kaipeleka simba kwenye levels za juu sana,
Hizo 51 zina mchango gani kwa timu?Wewe jamaa inaonyesha elimu yako ndogo sana. Mo ana hisa 49% anawezaje kumiliki Simba 100% hizo hisa zingine 51% je?
Hebu ficha uji.nga wako
Sent from my PBAT00 using JamiiForums mobile app
Sasa ndugu yangu huo mkataba umesainiwa juzi utazuia vipi deni la mchezaji alilokuwa anaidai timu mwaka jana?Hizo fedha zinaenda wapi?..mbona wachezaji wanadai mishahara
Wewe fuatilia mgogoro wa Simba na AZAM kuhusu Simba Day Youtube clip.
Usipende ubishi usio na manufaa.
Yawezekana uko sahihi ila kama ni hisia pia, kwa nini Simba na si yanga au gor mahia au the express?Hakuna timu ambayo imehakikishiwa kuwemo kwenye CAF super league. Yaliyopo ni hisia za waandishi wa michezo tu. Labda ulete ushahidi wako hapa ndio ntajibu swali lako.
Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
Jibu swali mkuu, acha kunituma nikafuatilie migogoro.
Ona sasa huyu utopolo...anaamini hiyo pesa ndio ile sambamba na ya uwekezaji ya simba...Tukiacha ushabiki wetu wa kawaida, watani zetu Mikia wana la kujiuliza kuhusu kiasi cha uwekezaji wa Mo. Huenda hiyo 19.5 B ikaonekana kiduchu.
Simba na Mo waboreshe kiwango cha fedha.
Ila leo nimeona maajabu mpaka sasa sijaona wale wakandiaji wa Azam wanaemuona yule Mzee mikatabaIla huyu Jamaa Azam group kila kitu yeye hamna matajiri wengine jamani inamaana TANZANIA kuna tajiri mmoja tu mwenyewe idea za kutengeneza Pesa.
Sababu Azam media sifikiri hata inamiaka 10yrs lkn mambo inayo fanya na kujitanua kwenye media industry ni inakwenda speed ya ajabu.
MMUNGU aliye mpa kampa tu hawa jamaa wanaweza wakaja na idea ya kuuza hata MAVUMBI tu ya barabarani wakakamata soko vile vile.