mkuuu wataniua nikabalance 2 plus moto wake inbox kama five wameziona hahahaaaIle ya asec mimosa [emoji23][emoji23] ila umekosea .. Simba wanaweza kula hata 5
Hii picha iwekwe kwenye bango la mitaa yetu ya Msimbazi!𝐓𝐎𝐏 𝟓[emoji2956][emoji617]
Baada ya mchujo kutoka 10 bora, Young Africans SC rasmi tumeingia 5 Bora kwenye Tuzo za Klabu Bora ya Mwaka Barani Afrika #cafawards2023
#timuyawananchi
#daimambelenyumamwiko🟢🟡
Timu zilizopenya hatua ngumu ya Tano Bora 5 ( no ambayo makolo wanakimbia)[emoji1][emoji23]
1.Mamelodi sundown
2. Al ahly
3. Wydad Casablanca
4. Young Africa
5. USM Alger
NB Maendeleo hayana Chama View attachment 2816505
Vipi mwakarobo fc mmeshayasau makopo yenu?Chizi hata aende mbali vipi lazma atarejea na makopo.
Boss unaonaje sisi wanazi wa chama la wana yanga tukajitofautisha na wao hakuna haja ya kuitana majina ya ajabu kama hayo sisi tutumie maneno ya kiungwana zaidi kuwaumiza mioyo you! Ni mtazamo tuuNA BADO MBWAAA WALEEEE
jema wazoBoss unaonaje sisi wanazi wa chama la wana yanga tukajitofautisha na wao hakuna haja ya kuitana majina ya ajabu kama hayo sisi tutumie maneno ya kiungwana zaidi kuwaumiza mioyo you! Ni mtazamo tuu
Aaaahaaamleta mada mwenzio nimeweka mada wanafungwa magoli mawilink inbox za vitisho kama zote sasa na hii wallahi watakufa mwaka huu