Yanga yaingia top 5 ya tuzo za club Africa CAF

Yanga yaingia top 5 ya tuzo za club Africa CAF

𝐓𝐎𝐏 𝟓[emoji2956][emoji617]

Baada ya mchujo kutoka 10 bora, Young Africans SC rasmi tumeingia 5 Bora kwenye Tuzo za Klabu Bora ya Mwaka Barani Afrika #cafawards2023
#timuyawananchi
#daimambelenyumamwiko🟢🟡

Timu zilizopenya hatua ngumu ya Tano Bora 5 ( no ambayo makolo wanakimbia)[emoji1][emoji23]

1.Mamelodi sundown
2. Al ahly
3. Wydad Casablanca
4. Young Africa
5. USM Alger
NB Maendeleo hayana Chama View attachment 2816505
Hii picha iwekwe kwenye bango la mitaa yetu ya Msimbazi!
 
Boss unaonaje sisi wanazi wa chama la wana yanga tukajitofautisha na wao hakuna haja ya kuitana majina ya ajabu kama hayo sisi tutumie maneno ya kiungwana zaidi kuwaumiza mioyo you! Ni mtazamo tuu
jema wazo
 
Kwa sasa kocha gamondi kazi ya kiufundi ameifanya kwa 90% kilichobaki azidi kuwajenga kisaikolojia vijana kina Dickson Job na kundi lake kuwa hili kombe la cafcl mwaka huu ni Lao .
Yoyote atakayekuja ni Kipigo .
 
Back
Top Bottom