Yanga yakataa kuvaa nembo nyekundu, ni kinyume na Katiba yao

Yanga yakataa kuvaa nembo nyekundu, ni kinyume na Katiba yao

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Uongozi wa klabu ya Yanga kupitia kwa Makamu Mwenyekiti wake, Fredrick Mwakalebela umesema hautaweza kuvaa jezi yenye nembo nyekundu ambayo ni nembo ya wadhamini wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Vodacom

Mwakalebela amefunguka kwa kusema kuwa hawataweza kuvaa jezi hizo kwani hawana utamaduni wa kuvaa rangi nyekundu ila huvaa rangi ya kijani na njano pamoja na nyeusi

Ameeleza kuwa uwepo wa hali mbaya kiuchumi katika klabu yao isiwe ndio sababu ya kuwafanya wageuke kanuni, taratibu na Katiba ya klabu yao kwani ni jambo ambalo haliwezekani

Aidha, Makamu huyo ameliomba Shirikisho la Soka Nchini (TFF) kupitia Rais wake, Wallace Karia wazungumze na Kampuni ya simu ya Vodacom ili kubadili rangi ya nembo hiyo ndipo wanaweza kuvaa
*******

This is only in Africa

Makamu Mwenyekiti wa Yanga Ndugu Mwakalabela ametoa taarifa rasmi ya Yanga kukataa kitumia jezi yenye nembo nyekundu ya mdhamini.

Awali Yanga walionyesha kutokuwa tayari kuvaa jezi yenye nembo nyekundu toka kwa kampuni ya Vodacom ambaye ni mdhamini mkuu wa VPL

Mwaka amesema Yanga iko kwenye hali mbaya kifedha lakini hawako tayari kwenda kinyume na katiba.
 
This is only in Africa

Makamu Mwenyekiti wa Yanga Ndugu Mwakalabela ametoa taarifa rasmi ya Yanga kukataa kitumia jezi yenye nembo nyekundu ya mdhamini.

Awali Yanga walionyesha kutokuwa tayari kuvaa jezi yenye nembo nyekundu toka kwa kampuni ya Vodacom ambaye ni mdhamini mkuu wa VPL

Mwaka amesema Yanga iko kwenye hali mbaya kifedha lakini hawako tayari kwenda kinyume na katiba.
Msemaji wa yanga shabiki wa simba[emoji2]
 
Ni ushamba huo wasomi wazima wanang'ang'ania mambo ya kizamani hebu badilikeni wakina Mwakalebela mimi mwenyewe ni yanga lakini hiyo ni biashara acheni kuchezea biashara ya watu kwani ikiwa nyekundu kuna tatizo gani acheni ujinga tuliwaamini ili mtumpeleke sehem nyingine lakini naona mnaturudisha kwa akina Akilimali
 
This is only in Africa

Makamu Mwenyekiti wa Yanga Ndugu Mwakalabela ametoa taarifa rasmi ya Yanga kukataa kitumia jezi yenye nembo nyekundu ya mdhamini.

Awali Yanga walionyesha kutokuwa tayari kuvaa jezi yenye nembo nyekundu toka kwa kampuni ya Vodacom ambaye ni mdhamini mkuu wa VPL

Mwaka amesema Yanga iko kwenye hali mbaya kifedha lakini hawako tayari kwenda kinyume na katiba.
Hawa inatakiwa wapigwe nyundo moja wajielewe...

Hivi nembo ya KCB ni rangi gani?
 
Back
Top Bottom