RTI
JF-Expert Member
- Dec 20, 2018
- 2,423
- 7,155
Alafu ligi ikikosa mdhamini mnaanza kubwabwaja kipumbavu,mdhamini akipatikana mnaanza upumbavu.
Nawasihi tff wawe wakali katika hili wasikubali kupelekwa na hawa ombaomba ikiwezekana washushwe daraja ili akili iwakae sawa.
Litimu lenyewe halina hata muelekeo halina hata ela ya kuwalisha wachezaji alafu anapatikana wa kuyasaidia yana leta nyodo.
Nawasihi tff wawe wakali katika hili wasikubali kupelekwa na hawa ombaomba ikiwezekana washushwe daraja ili akili iwakae sawa.
Litimu lenyewe halina hata muelekeo halina hata ela ya kuwalisha wachezaji alafu anapatikana wa kuyasaidia yana leta nyodo.