Yanga yakataa kuvaa nembo nyekundu, ni kinyume na Katiba yao

Yanga yakataa kuvaa nembo nyekundu, ni kinyume na Katiba yao

Viongozi wa mpira watuondoe hapa.
Viongozi wanajadili vitu vidogo sana rangi ya logo ya mdhamini,bukta ,pensi na kaptula nk.
Wajadili jinsi ya kuongeza wadhamini kujenga viwanja,kuwa na vitega uchumi vya klabu nk.
waache kujishughulisha na vitu vidogo vidogo.
 
Viongozi wa mpira watuondoe hapa.
Viongozi wanajadili vitu vidogo sana rangi ya logo ya mdhamini,bukta ,pensi na kaptula nk.
Wajadili jinsi ya kuongeza wadhamini kujenga viwanja,kuwa na vitega uchumi vya klabu nk.
waache kujishughulisha na vitu vidogo vidogo.
Shida sio viongozi shida ni katiba ya timu ipo kizamani sana
 
Wasipewe mgao wao SIMPLE Mkuu.

This is only in Africa

Makamu Mwenyekiti wa Yanga Ndugu Mwakalabela ametoa taarifa rasmi ya Yanga kukataa kitumia jezi yenye nembo nyekundu ya mdhamini.

Awali Yanga walionyesha kutokuwa tayari kuvaa jezi yenye nembo nyekundu toka kwa kampuni ya Vodacom ambaye ni mdhamini mkuu wa VPL

Mwaka amesema Yanga iko kwenye hali mbaya kifedha lakini hawako tayari kwenda kinyume na katiba.
 
Hoja iliyotolewa ni ya kijinga sana!

Kwani hiyo katiba ni msaafu kiasi cha kutofanyiwa amendments.

Dr Msola uliahidi professionalism na soka la kisasa siyo hayo mambo ya shirki.
 
Yaani huu ni upuuzi wa hali ya juu, kama wamegomea kuvaa nembo za mdhamini. Waondelewe kwenye ligi. Wakacheze ndondo cup, shida iko wapi?
Waondolewe kwa kanuni ipi?
 
Yanga ni Kubwa sana kuliko Simba, TFF, Vodacom n.k. ukitaka Ku prove hilo fuatilia hili sakata uone wataonyoosha mikono juu. Manguo mekundu wavae walio kwenye siku yao(simba day). Usithubutu kutuletea wananchi huo ushenzi tutakugonga makonde urudi na manundu
 
Back
Top Bottom