Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na nyie hiyo rangi ya mdhamini acheni kulialia ...Zahera kawaharibu sana ....Kwani hujui njano na kijani ni moja ya rangi za bendera ya taifa? Acha umbumbumbu wako mbwa wee
Ungekuwa na akili ungeshinda mtandaoni kutambia hela za mwanaume mwenzio?Kwa wenye akili wameelewa.
Ungekuwa na akili ungeshinda mtandaoni kutambia hela za mwanaume mwenzio?
Zilete mkuu sasas ivi mke kitu gani kwani ukimla ndo atamuwaje ndo kusema wake zetu hawakiwi na wahuni tena kisera free of charge, hata ukitaka nikuachie poa tu ml100 ni patefu mnooWewe ukipewa milion mia mkeo aliwe mbele yako utakubali?
Imani za kijinga,Mimi ni Yanga ila kwani nembo nyekundu inaubaya gani?
Nimetoa mfano huo kwa sababu watu wanataka tuvunje miiko na tamaduni zetu kwa sababu ya pesa za mdhamini...haiwezekaniKumbe yanga mnataka mkaliwe na tifua tifua.Ebu mifano yako iwe ina fananisha uwiano
Waondolewe kwa kanuni ipi?
Washushwe daraja kwa kanuni ipi?
Mmoja wao ni mimi nilikuwa nahoji sana kuhusu tff kupata mdhamini now kapatikana watu wasio na mtazamo wala nia njema na mpira wanataka kuturudisha nyuma hakika wanastahili kushushwa daraja kama watagoma kuvaa nembo ya mdhaminiAlafu ligi ikikosa mdhamini mnaanza kubwabwaja kipumbavu,mdhamini akipatikana mnaanza upumbavu.
Nawasihi tff wawe wakali katika hili wasikubali kupelekwa na hawa ombaomba ikiwezekana washushwe daraja ili akili iwakae sawa.
Litimu lenyewe halina hata muelekeo halina hata ela ya kuwalisha wachezaji alafu anapatikana wa kuyasaidia yana leta nyodo.
Zishushwe daraja au zinyimwe pesa za mdhaminiTimu lazima zicomply na maelekezo ya TFF vinginevyo......
Hapo chacha waache uzwazwa wataliwa chanel 0Imani za kijinga,Mimi ni Yanga ila kwani nembo nyekundu inaubaya gani?
TFF Mara Hii Wahakikishe Hawa Wahuni Wanavaa Rangi Yoyote
Itawezekana tu omba omba nyie hamna jeuri tutaona kama hamta vaa.. Hamtaki shukeni daraja majinga nyie mmffyuuuuNimetoa mfano huo kwa sababu watu wanataka tuvunje miiko na tamaduni zetu kwa sababu ya pesa za mdhamini...haiwezekani
Kutovaa njano IPO kwenye katiba ya Simba? Kama siyo basis walikuwa huru kuvaa hiyo nembo ya Caf. Ila kwa Yanga ili ni suala LA kikatiba, ambalo linahitaji idhini ya mkutano mkuu.Simba walivaa nembo ya njano ya Caf kule champions ligi sababu ni kuwa Caf ni kubwa kuliko mikia
Ni uprimitive wa hali ya juu. Kabisa yaani.Akili kubwa hii ndiyo sababu mpira wa Bongo utabaki kuwa mauzauza tu ujinga mwingi sana. Kuvaa nembo tu ya mdhamini kwa sababu ina rangi nyekundu ni ISSUE KUBWA. Ujinga huu huwezi kuukuta kwenye timu za Europe.