Yanga yakataa kuvaa nembo nyekundu, ni kinyume na Katiba yao

Yanga yakataa kuvaa nembo nyekundu, ni kinyume na Katiba yao

Akili kubwa hii ndiyo sababu mpira wa Bongo utabaki kuwa mauzauza tu ujinga mwingi sana. Kuvaa nembo tu ya mdhamini kwa sababu ina rangi nyekundu ni ISSUE KUBWA. Ujinga huu huwezi kuukuta kwenye timu za Europe.
Hatuwezi kuiga kila kitu huko Europe....

Hatutovaa jezi zenye chata yoyote ya mikia
 
Kwa ujinga ujinga kama huo ndiyo maana timu za bongo zitaishia kucheza ligi ya mchangani tu WAPUUZI wengi sana.

Hatuwezi kuiga kila kitu huko Europe....

Hatutovaa jezi zenye chata yoyote ya mikia
 
This is only in Africa

Makamu Mwenyekiti wa Yanga Ndugu Mwakalabela ametoa taarifa rasmi ya Yanga kukataa kitumia jezi yenye nembo nyekundu ya mdhamini.

Awali Yanga walionyesha kutokuwa tayari kuvaa jezi yenye nembo nyekundu toka kwa kampuni ya Vodacom ambaye ni mdhamini mkuu wa VPL

Mwaka amesema Yanga iko kwenye hali mbaya kifedha lakini hawako tayari kwenda kinyume na katiba.
Hao viongozi wa Yanga wanataka kutuaminisha kuwa nguo nyekundu au nyeupe hawavai?
 
Bado tuna safari ndefu sana Victoire. Wanayakataa mabillions yatakayosaidia kuiboresha timu kwa namna mbali mbali na labda kulipa mishahara kisa eti nembo ya mdhamini ina rangi nyekundu! 😳
Baadae waje kusumbua watu michango.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Warekebishe katiba(amendment) mambo mengine yaendelee.
 
Hii sio mara ya Kwanza Vodacom mbona hakukuwa na story za Yanga kuvaa logo nyekundu ?
Huo udwazi tu, kile kinembo kinaathiri nini? Mbona TFF wametuletea jezi za Taifa Stars za njano (mazarau haya [emoji35]) lakini mabaharia tumenyuti tu!
 
Yanga ni Kubwa sana kuliko Simba, TFF, Vodacom n.k. ukitaka Ku prove hilo fuatilia hili sakata uone wataonyoosha mikono juu. Manguo mekundu wavae walio kwenye siku yao(simba day). Usithubutu kutuletea wananchi huo ushenzi tutakugonga makonde urudi na manundu
Kwenye profile yako naona kuna mchezaj kavaa jezi nyekundu, hongera kwa kuwa kwenye siku zako mkuu
 
Bado tuna safari ndefu sana Victoire. Wanayakataa mabillions yatakayosaidia kuiboresha timu kwa namna mbali mbali na labda kulipa mishahara kisa eti nembo ya mdhamini ina rangi nyekundu! [emoji15]
Kwanin unaamin kitu unachoamini ndo sahihi, wenzako wanasema ni kinyume na katiba na tamaduni zao we unabisha nin mke,
 
Back
Top Bottom