Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio utamaduni wetu....hatutovaa nyekundu kamwee bora tushuke darajaaImani za kijinga,Mimi ni Yanga ila kwani nembo nyekundu inaubaya gani?
Hatuwezi kuiga kila kitu huko Europe....Akili kubwa hii ndiyo sababu mpira wa Bongo utabaki kuwa mauzauza tu ujinga mwingi sana. Kuvaa nembo tu ya mdhamini kwa sababu ina rangi nyekundu ni ISSUE KUBWA. Ujinga huu huwezi kuukuta kwenye timu za Europe.
Hatuwezi kuiga kila kitu huko Europe....
Hatutovaa jezi zenye chata yoyote ya mikia
Hao viongozi wa Yanga wanataka kutuaminisha kuwa nguo nyekundu au nyeupe hawavai?This is only in Africa
Makamu Mwenyekiti wa Yanga Ndugu Mwakalabela ametoa taarifa rasmi ya Yanga kukataa kitumia jezi yenye nembo nyekundu ya mdhamini.
Awali Yanga walionyesha kutokuwa tayari kuvaa jezi yenye nembo nyekundu toka kwa kampuni ya Vodacom ambaye ni mdhamini mkuu wa VPL
Mwaka amesema Yanga iko kwenye hali mbaya kifedha lakini hawako tayari kwenda kinyume na katiba.
Mimi yanga sioni ubaya kuvaa kit yenye nembo ya Vodacom.Sio utamaduni wetu....hatutovaa nyekundu kamwee bora tushuke darajaa
Katiba yetu hairuhusu...hatutoikanyaga katiba na hatutoruhusu tff ya simba ikanyage katiba yetuMimi yanga sioni ubaya kuvaa kit yenye nembo ya Vodacom.
Katiba sio msahafu wala biblia.Katiba inaweza fanyiwa marekebisho.Katiba yetu hairuhusu...hatutoikanyaga katiba na hatutoruhusu tff ya simba ikanyage katiba yetu
Huo udwazi tu, kile kinembo kinaathiri nini? Mbona TFF wametuletea jezi za Taifa Stars za njano (mazarau haya [emoji35]) lakini mabaharia tumenyuti tu!
Kwenye profile yako naona kuna mchezaj kavaa jezi nyekundu, hongera kwa kuwa kwenye siku zako mkuuYanga ni Kubwa sana kuliko Simba, TFF, Vodacom n.k. ukitaka Ku prove hilo fuatilia hili sakata uone wataonyoosha mikono juu. Manguo mekundu wavae walio kwenye siku yao(simba day). Usithubutu kutuletea wananchi huo ushenzi tutakugonga makonde urudi na manundu
Kwanin unaamin kitu unachoamini ndo sahihi, wenzako wanasema ni kinyume na katiba na tamaduni zao we unabisha nin mke,Bado tuna safari ndefu sana Victoire. Wanayakataa mabillions yatakayosaidia kuiboresha timu kwa namna mbali mbali na labda kulipa mishahara kisa eti nembo ya mdhamini ina rangi nyekundu! [emoji15]
Kanuni ya ngapi inasema hivo?Ya kukataa kuvaa nembo ya mdhamini
Ni kinyume na katiba mkuuMimi yanga sioni ubaya kuvaa kit yenye nembo ya Vodacom.
Line sio mavazi ya uwanjani nyekundu ni kinyume na katibaUnakuta viongozi wenyewe wanatumia laini za vodacom na timu ndio inalipa gharama za mawasiliano