Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanin unaamin kitu unachoamini ndo sahihi, wenzako wanasema ni kinyume na katiba na tamaduni zao we unabisha nin mke,
Line sio mavazi ya uwanjani nyekundu ni kinyume na katiba
Udhamini wa million 300 kwa mwaka na timu 20?Waanzishe ligi yao isiyo na mdhamini mwenye nembo nyekundu wakacheze.
Utaisha wewe ukipata akiliHuu ujinga sijui utaisha lini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ThubutuuuuuuWakataeni pia hata kutumia noti ya Tsh: 10,000 maana ni nyekundu na inaitwa Msimbazi
Watasema wanaonewa...Timu imejaa washamba wengi mno. TFF hapa lazima muwakazie, watafute Ligi Nyingine Huko..[emoji23]
Wanakataa nembo nyekundu ya mdhamini kwa kanuni ipi?Washushwe daraja kwa kanuni ipi?
Kwani hakuna wakubwa wajinga?..Yanga ni Kubwa sana kuliko Simba, TFF, Vodacom n.k. ukitaka Ku prove hilo fuatilia hili sakata uone wataonyoosha mikono juu. Manguo mekundu wavae walio kwenye siku yao(simba day). Usithubutu kutuletea wananchi huo ushenzi tutakugonga makonde urudi na manundu
Yanga peke yenu ndio mbadilishiwe.. mnatoa dau gani?Yanga ni brand kubwa kuliko Vodacom so wanaopaswa kubadili rangi ni Voda.
Huu mfano wa hovyo kabisa!Wewe ukipewa milion mia mkeo aliwe mbele yako utakubali?
Yanga mngekuwa wakubwa kuliko TFF mngecheza mechi ya Ruvu tarehe aliyotaka ZaheraSimba walivaa nembo ya njano ya Caf kule champions ligi sababu ni kuwa Caf ni kubwa kuliko mikia
Katiba ya Yanga hairuhusu rangi nyekundu kwenye jezi zao elewaWanakataa nembo nyekundu ya mdhamini kwa kanuni ipi?
Katiba ya yanga ina uhusiano gani mdhamini wa ligi?
Aliyewazuia kuitisha mkutano mkuu ni nani..?Kutovaa njano IPO kwenye katiba ya Simba? Kama siyo basis walikuwa huru kuvaa hiyo nembo ya Caf. Ila kwa Yanga ili ni suala LA kikatiba, ambalo linahitaji idhini ya mkutano mkuu.
Mtanyooka.. mmeambiwa na nani nyekundu ni simba?Hatuwezi kuiga kila kitu huko Europe....
Hatutovaa jezi zenye chata yoyote ya mikia
Katiba ni biblia..? mbona inabadilika tu.Katiba ya Yanga hairuhusu rangi nyekundu kwenye jezi zao elewa