Yanga yakataa kuvaa nembo nyekundu, ni kinyume na Katiba yao

Yanga yakataa kuvaa nembo nyekundu, ni kinyume na Katiba yao

Tff mwaka huu unapaswa kujua Yanga sio watumwa tunajar katiba ambayo mmeisaji baraza la michezo bmtl
 
Washamba hawa wamewalazimisha GSM kubadili rangi
Azamtv nao wamewabadilishia rangi kwenye bg cover zao
 
Wanakataa nembo nyekundu ya mdhamini kwa kanuni ipi?
Katiba ya yanga ina uhusiano gani na mdhamini wa ligi?
Unauliza swali la ajabu sana
Yanga ni taasisi yenye sheria na taratibu zake na ndo maana ina muongozo wake unaoitwa katiba.
Kutoka nje ya katiba maana yake ni kukiuka misingi ya taasisi.
 
Wamekataa rangi ya logo mbona matikiti maji (water melon) wanapenda sana? Kwenye kambi yao kule Moro tulishuhudia 🍉
 
Kwa akili hizi mtazidi kuwa ombaomba mpaka mwisho,yaani leo ombaomba iwe kubwa kuliko vodacom.
Vodacom wanaihitaji Yanga kuliko Young Africans Sports Club "The Citizen Team" inavyowahitaji voda
 
Ukubwa wao unaishia jangwani TFF haiwezi kukubali kuyakosa mabilioni ya mdhamini. Wakatafute mdhamini wao awape nembo yenye rangi za njano na kijani.
Ndugu si unaona Voda na TFF wameufyata?Usifanye mchezo na hii timu ya wananchi. Achana na timu ya waarabu na wahindi
 
Huo udwazi tu, kile kinembo kinaathiri nini? Mbona TFF wametuletea jezi za Taifa Stars za njano (mazarau haya [emoji35]) lakini mabaharia tumenyuti tu!
Mmenyuti kwa sababu kitimu Chennu kidogo na hakiwezi kusikilizwa
 
Imani za kijinga,Mimi ni Yanga ila kwani nembo nyekundu inaubaya gani?
Katiba yetu inasema ni mwiko alama yoyote iliyo nyekundu kuhusishwa na timu yetu. Hivyo usijali tuiheshimu katiba ya timu yetu
 
Ndugu si unaona Voda na TFF wameufyata?Usifanye mchezo na hii timu ya wananchi. Achana na timu ya waarabu na wahindi
Tikitiki maji fc ingekuwa kubwa zaidi ya tff basi mechi ya ruvu ingechezwa tarehe aliyo kuwa anaitaka msemaji wenu zaera.
 
Kwa ujinga ujinga kama huo ndiyo maana timu za bongo zitaishia kucheza ligi ya mchangani tu WAPUUZI wengi sana.
Simba wanacheza mchangani sahizi kwani ilitokana na kumgomea mdhamini au uwezo Mdogo!?
 
Kwenye profile yako naona kuna mchezaj kavaa jezi nyekundu, hongera kwa kuwa kwenye siku zako mkuu
Hapana Man U huwa hawana siku zao ila kuna timu moja ya muhindi ipo hapa nyumbani inavaa jezi nyekundu ndo huwa wanaweka tamasha wanapokuwa kwenye siku yao
 
Yaani nyie mnalalamika weeee wakati wadhamini wenyewe wameshakubaliana na timu ya wakimataifa
 
Mimi ni Yanga lkn siwezi kuunga mkono upuzi,ujinga,ushamba na umbumbu kama huo
Watu wenye akili timamu hawawezi kuikata logo ya mdhamini wa ligi kisa eti ina rangi nyekundu
Kama Yanga wataikataa logo ya mdhamini hawastaili kupata hata shilingi moja kutoka kwa mdhamini
Kwani madhara hapo ni nini? Mdhamini kakubali, Tff kakubali nyie mnahangaika na mnalalamika na nini?
 
Unaelewa nini ninaposema timu za bongo? Simba ni ya Uingereza!? 😳😳😳😳

Simba wanacheza mchangani sahizi kwani ilitokana na kumgomea mdhamini au uwezo Mdogo!?
 
Soka la bongo halitaendelea KAMWE kwa kuongozwa na WAPUUZI ambao wako tayari kususia mabilioni ya mdhamini kisa hawako tayari kuvaa nembo ya mdhamini yenye rangi nyekundu!!!! Katafuteni mdhamini mwenye nembo ya rangi za jangwani.

Ndugu si unaona Voda na TFF wameufyata?Usifanye mchezo na hii timu ya wananchi. Achana na timu ya waarabu na wahindi
 
Back
Top Bottom