Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo vijana wa digital na busara zao, hakika umetukosea ila tunasema Asante mungu ni mwema kila wakati, inshaallahNashukuru kwa kutoishabikia timu yenye mawazo kinyesi kama hii
Si analiwa yeye, sio mimi!Wewe ukipewa milion mia mkeo aliwe mbele yako utakubali?
Mi siwezi kuamini alichosema Mwakalebela kwa sababu Kwenye press conference hiyo hiyo amedanganya kua TFF waliwahujumu Kwenye siku ya mwananchi wakaweka Mechi ya marudiano na Kenya siku ya jmosi ambayo ni siku moja kabla ya siku ya mwananchi.Kwanin unaamin kitu unachoamini ndo sahihi, wenzako wanasema ni kinyume na katiba na tamaduni zao we unabisha nin mke,
Mpaka hapo Katiba itakapobadilishwa otherwise kwa Katiba iliyopo NO RED COLOURKatiba ni biblia..? mbona inabadilika tu.
Nyekundu tena nembo tu wanalia kama watoto
Wewe ukipewa milion mia mkeo aliwe mbele yako utakubali?
Nyekundu hiyoNi utoto tu,wakikua wataacha
Kwanini mzee baba??Mzee huu mfano mbona ni irrelevant inaelekea walimu wako walipata sana shida wakati wa enzi zako
Hakika mkuu, naye kaona kaweka bonge LA comment kumbe matapishi tu. Kumbuka kimtokacho MTU kinywani mwake kina reflect directly personality yake na kuwaza kwake pia.Ndo vijana wa digital na busara zao, hakika umetukosea ila tunasema Asante mungu ni mwema kila wakati, inshaallah
ConservativeMirangi Nyekundu ya kichawi hiyo hatuvai ng'o
Kama wanataka voda waweke wao njano kwanini wakazanie hiyo tu? Potelea mbali tutaenda kucheza ligi ya zenji Kama vioi
Hawa inatakiwa wapigwe nyundo moja wajielewe...
Hivi nembo ya KCB ni rangi gani?