Mimi ni Yanga lkn siwezi kuunga mkono upuzi,ujinga,ushamba na umbumbu kama huo
Watu wenye akili timamu hawawezi kuikata logo ya mdhamini wa ligi kisa eti ina rangi nyekundu
Kama Yanga wataikataa logo ya mdhamini hawastaili kupata hata shilingi moja kutoka kwa mdhamini
Labda wanaogopa wanaweza ambukizwa tabia ya kuingia kwenye siku zao kama mnavyokuaga kwenye siku zenu tena kwa maadhimisho ya tamasha kubwa (Simba day) kwa ajili ya kutambulisha walio kwenye siku yao mbele ya wenye siku yaoYanga wanaogopa kufanywa kinyume na maumbile kwa kuvaa nemo nyekundu
Mechi hapangi CAFU Wa Brazil Bali CAF shirikisho la sokaMi siwezi kuamini alichosema Mwakalebela kwa sababu Kwenye press conference hiyo hiyo amedanganya kua TFF waliwahujumu Kwenye siku ya mwananchi wakaweka Mechi ya marudiano na Kenya siku ya jmosi ambayo ni siku moja kabla ya siku ya mwananchi.
Tujuulize hivi mechi ya Chan qualification wanapanga TFF au CAFU.
Pili, Kwenye hiyo mechi Kenya ndo alikua mwenyeji, Je, TFF walihusikaje kusema mechi hiyo iwe jmosi kwa ajili ya kuwarubuni Yanga.
Hili la kusema katiba yao hairuhusu, Je, hii sheria ya kua kama timu itagomea nembo ya mdhamini imetungwa baada ya Vodacom kuingia au ilikuwepo muda?
Kama ilikuwepo kwa nini Yanga wasubiri saizi mdhamini amepatikana ndo wasema hawatavaa?
Kwa nini wasingeipinga mapema kabla ya kutokea?
Kwenye hili nataka nione ka sheria zinatungwa kwa ajili ya kuendesha mpira wa Tanzania au kwa ajili ya timu ndogo tofauti na Simba na Yanga.
Chama cha soka Italy hakikuangalia ukubwa wa Juvetus, ila walishushwa kwa sheria.
Haaa ila haya ni matusi,kweli yanga avae jezi yake yenye kidubwasha cha namna hiiii!? Big NO!!!Shadeeya mnakwama wapi aiseeView attachment 1200286
Watu wanachukulia poaKama suala la rangi liko kikatiba, Yanga wako sahihi.... labda kwa wasiojua nguvu ya Katiba.
Ikiwa kuna haja ya kubadilisha katiba ili iendane na matakwa ya TFF, inabidi uitishwe mkutano wa wanachama waidhinishe mabadiliko hayo
Ujinga na umbumbumbu Wa simba(in Rage's voice) usiulete kwa yanga. Simba ndo anaishia kucheza mchangani hapo usiwalinganishe na wakimataifaUnaelewa nini ninaposema timu za bongo? Simba ni ya Uingereza!? [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
Ujinga na umbumbumbu Wa simba(in Rage's voice) usiulete kwa yanga. Simba ndo anaishia kucheza mchangani hapo usiwalinganishe na wakimataifa
Mdhamini mwenyewe anawaogopa yanga. Mdhamini anawahitaji yanga kuliko yanga inavyomuhitaji yeye,hapo lazima akate kauli na atembezwe mwendo Wa shoto kulia!Soka la bongo halitaendelea KAMWE kwa kuongozwa na WAPUUZI ambao wako tayari kususia mabilioni ya mdhamini kisa hawako tayari kuvaa nembo ya mdhamini yenye rangi nyekundu!!!! Katafuteni mdhamini mwenye nembo ya rangi za jangwani.
Mdhamini mwenyewe anawaogopa yanga. Mdhamini anawahitaji yanga kuliko yanga inavyomuhitaji yeye,hapo lazima akate kauli na atembezwe mwendo Wa shoto kulia!
Kutovaa njano IPO kwenye katiba ya Simba? Kama siyo basis walikuwa huru kuvaa hiyo nembo ya Caf. Ila kwa Yanga ili ni suala LA kikatiba, ambalo linahitaji idhini ya mkutano mkuu.
Watasema wanaonewa...
Katiba ya Yanga hairuhusu rangi nyekundu kwenye jezi zao elewa
Na wasipovaa watakuwaje? Kwanini nyie mikia ya Panya mnajadili mambo yasiyowahusu? Mmeanza tabia ya uchangudoa lini?Akili nyingine ni za kuzisikitikia
Sasa kwahiyo wakivaa jezi zenye nembo nyekundu ndio watakuaje?
Bila yanga tff watachanganyikiwa.Ikiwezekana iwe hivyo pia
Hakuna kulea ujinga
Nyie mikia ya panya ni asshole kabisa.Shithole team inajifanya maskini jeuri
Kivipi?Vodacom wanaihitaji Yanga kuliko Young Africans Sports Club "The Citizen Team" inavyowahitaji voda