Endelea kubwata tu.Hakuna Timu Ya Kutufunga Hapa [emoji1]
Watu wa coastal union wameniagiza nije kukuuliza kesho waamke saa ngapi???..mje tena basi utelembwe FC mtupatie matokeo sasa hivi baada ya TK Master kufanya yake.....shubaamit
Mimi hilo nililiona mapema kabisa sema kwasababu sina jina wala sio public figure watu hawakunizingatia ila laiti kama maneno yale yangesemwa na mtu maarufu kongole nyingi zengemuendeaYaani hawa Yanga wanacheza Kama kikundi fulani hivi Cha wahuni uwanjani !!
Hebu badilikeni bana mnatutia aibu nyie timu kubwa acheni utopolo huo.
Huyu sarpong kazi ya kuanguka anguka tu muda wote daah hebu kazeni bana.
Njoo uchukue chupi lako huku limeloa damu.FT yanga 3 wadogo zake paka 1
Na hiwe fundisho kwa wengine
Pressure itawaua!!Hatuhami YANGA... tumeipenda wenyewe
Wewe nenda kambi ya jeshi haraka sana hiyo ni kwa usalama wako. Fanya harakaYanga anafungwa 2-1
Nishukuruni baadaye
Uchawi huu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yanga anafungwa 2-1
Nishukuruni baadaye
Kama walizoea kupata clean sheet leo wamekutana na clean shitIle defence iliyokua inapata clean sheet almost kila game mzunguko wa kwanza imeenda wapi?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Aendeee mbuziii yuleee
WamegongekaKidimbwiiii Fc kuna habariii ganii kwani!!? [emoji23]
Sema teena mkuu[emoji106] Hatufungwi na watu pori sisi [emoji23], Viva Yanga..
Yaani kwa yanga ile kama bado unaona tatizo lipo kwenye hela basi hilo ndio tatizo kubwa kuliko tatizo lenyeweKiukweli sisi mashabiki wa Yanga tunaishi kwa shida sanaaaa😁, mchawi n hela tu. Viongozi wawalipe wachezaji hela zao la sivyo tutashika hadi nafasi ya tatu🤔🤔
Yamekimbilia wapi sijui mwaka huu yatakoma maana tutaongoza kabla ya kumaliza viporo vyetu na Jumapili Polisi wanawakalishaMautopolo yanauogopa huu uzi, YAMENUNA! Hahahahaha
Sasa sponji lilikuwa na msaada gani kwenye sufuria ngumu la shughuli?Sarpong katolewa dakika ya 30 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
GSM inawalipa wachezaji kulingana na ubora waoKwani GSM hawawalipi wachezaji?
we malaya mzee karibu TangaHatuwezi kufungwa na Watu pori [emoji1]