Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Walikua wamepewaje?? Odds?UNGENISHTUA NIWEKE MKEKA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walikua wamepewaje?? Odds?UNGENISHTUA NIWEKE MKEKA
DuuuhYanga anafungwa 2-1
Nishukuruni baadaye
Waliyecheza nae leo ndiyo kiwango chakeHawa Coastal Union Wangekuwa Wanakamia hivi kila mechi si wangekuwa mbali, af mechi ijayo utaskia kapigwa nne na KMC [emoji23][emoji23][emoji23]
AiseeYanga anafungwa 2-1
Nishukuruni baadaye
Uchawi ulijifunza wapiYanga anafungwa 2-1
Nishukuruni baadaye
Ni kweli, viongozi weupe pale.Mkuu ni ni ujinga mtupu hakuna timu humu kabisaa, yaani hapa naomba sana Mungu biashara na Azam wafanye vizuri ili washike nafasi ya pili na ya tatu au namungo Kama Mungu akiwajalia sababu bado wana match Kama Kama 7 hivi za vipo ili hawa utopolo wwsipate nafasi ya kuenda kimataifa meimu ujao sababu tayari tuna nafasi 4, wakienda hawa itakuwa ni aibu tu kwa kweli.
We haiwezekani kila msimu timu inatema wachezaji karibu wote na kusajili wapya halafu unategemea ushinde huu si ujinga huu.
Unamuacha molinga unasajili Sarpong, unamuacha Sibomana eti kisa una kaseke, unamuacha Beki Kama Yondani kisa una Makapu, unamuacha Juma Abdul unasajili Kibwana Shomari.
Na usishangae mwisho wa msimu watatema Tena kikosi kizima hawa.
Unaleta uhai Tanga ambapo pangani ndio ana tamba we unategemea nini?Yacub kaja kuleta uhai, angalau sasa timu inatembea unaiona wanatengeneza nafasi zinaonekana sio Kama ule utopolo wa Sarpong
ApiaFT yanga 3 wadogo zake paka 1
Na hiwe fundisho kwa wengine
Huyo sio mchezaji huyo ni boxerFiston kapiga mtu ngumi mbele ya refa, hata kadi ya njano haijatolewa
Huyu refa
Tatizo unbeaten yenu ni ya droo na penalty nyingi za kubustiwaHuu ndo ubaya wa kuwa unbeaten, yani kila timu inasaka nafasi ya kubunja hiyo rekodi, ndiyo maana tunakutana na ugumu mwingi sanaaa, nadhani wachezaj hawajapewa hii elimu ya ugumu tunaoupata😆
UmetishaaaaYanga anafungwa 2-1
Nishukuruni baadaye
Refa alikuwa anaangalia hali ya usalama wake baada ya mechiRefa anawabeba Sana utopolo
Hiyo FT ulimaanisha featuring?FT yanga 3 wadogo zake paka 1
Na hiwe fundisho kwa wengine
Nina zawadi yako Mpesa au tigopesa, njoo PMYanga anafungwa 2-1
Nishukuruni baadaye