Yanga yakubali kichapo cha kwanza Ligi Kuu Tanzania Bara

na leo yanga hachomoki
Hapana kwa mpira ulivyo wanaweza kuchomoa Kama wataacha huu utopolo wa kujiangusha ovyo hawa kina Sarpong ananiuzi sana huyu jamaa amekuwa laini laini mno kama Kalinyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…