Yanga yakung'utwa 2-1 huu ni mwanzo tu

Yanga yakung'utwa 2-1 huu ni mwanzo tu

Yanga Ilistahiri Kunyweshwa Kikombe Kilichofurika Namna Hiyo
Ndiyo Ukweli
Nasema Uongo Ndugu Zangu
 
Mtawafunga Wanigeria? Thubutuuu.

Ndio,kwa Mkapa mnaweza mkajitutumua.Ila kule machinjioni Surulele mtaliwa kiboga na ndo mtakatupwa nje ya CAFCL.

Nyinyi si mliona ni rahisi Simba ilipowapiga wale Wanageria?Mnafikiri nanyi mtaweza? Simba ilipoifunga Nkana mkasema Simba imecheza na timu ya kichovu.Leo Zanaco wamewafanya nini? NA NINAKWAMBIA HATA HAO NKANA WANGEWAGONGENI VIZURI TU.
Baba leo hatukua serious as ni friendly match, suburini movie la kutisha linakuja mkuu, utayakana haya maneno😂
 
View attachment 1915355

FT Yanga 1 - 2 Zanaco

Soka sio kipompipompi, soka sio makelele midomo mirefu..Soka ni mipango. Huu ni mwanzo tu. Nawaambia kabla ya TPL kuanza mtakuwa nje CAFCL.

Kwa wale wasiofahamu ni kwamba leo Yanga imecheza mechi 3. Under 20 wamechezea kichapo kitamu. Yanga Princes wametoa droo. Utopolo wenyewe wamechezea cha kulalia.

Kifupi TPL imeisha cha msingi ni kuandaa lawama tu kwa TFF.
Hivi yule ni kipa au pazia ? si bora Kabwili tu !
 
Yanga kwa Sasa Wana timu nzuri Sana, kufungwa mechi moja au mbili watafungwa Ila kwa ishu ya timu ya Vikombe Kwasasa ipo. Namuona Onyango na Wawa wakijuta kuja kwa Moloko na Djuma ni shida ya mjini Kwasasa.
moloko wa jana au kuna mwingine?
 
Sheeeeenzi
JamiiForums681424165.jpg
 
View attachment 1915355

FT Yanga 1 - 2 Zanaco

Soka sio kipompipompi, soka sio makelele midomo mirefu..Soka ni mipango. Huu ni mwanzo tu. Nawaambia kabla ya TPL kuanza mtakuwa nje CAFCL.

Kwa wale wasiofahamu ni kwamba leo Yanga imecheza mechi 3. Under 20 wamechezea kichapo kitamu. Yanga Princes wametoa droo. Utopolo wenyewe wamechezea cha kulalia.

Kifupi TPL imeisha cha msingi ni kuandaa lawama tu kwa TFF.
pakuanzia wananchi tudai chenji kwa kofi maana mizigo aloingia nayo stejini sio ya nchi hii
 
Back
Top Bottom