adriz
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 12,207
- 26,521
Kiitifaki imekaa sawa ,mbona walimu muda mwingine wanawafundisha hata wasiokua na akili ?na bado uko busy ku comment kwenye uzi wa mtu asiye na akili...jitafakari mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiitifaki imekaa sawa ,mbona walimu muda mwingine wanawafundisha hata wasiokua na akili ?na bado uko busy ku comment kwenye uzi wa mtu asiye na akili...jitafakari mkuu
😃😃 Huyu ana undugu na GENTAMYCINEJamaa nilijua akili hana baada ya Simba kupigwa mbili na Mayele ngao ya jamii ,alikuwa kila muda nyuzi za malalamiko mara kuhamasisha wawazomee wachezaji ,kususia kwenda uwanjani ,tuhuma kwa wachezaji nk nikashukuru sina ushabiki huo wa mpira maana ukizidi sana matokeo yake huwa kama hayo unaweweseka mno kwa kitu usichokuwa na uwezo nacho kutatua wala kukupa faida.
wacha weeeeeeeeendio maana wahindi na waarabu wanazidi kutudharau tu, wanawalipa watu mishahara mbuzi ya laki moja na nusu laki mbili. Namimi nasema hivi walipeni tu hiyo hiyo mishahara mbuzi, maana sample ya watumishi wenu ndio kama huyu jamaa
hivi kuuumbee ndo hivyoooo eeeeeeeeheeeeeKiitifaki imekaa sawa ,mbona walimu muda mwingine wanawafundisha hata wasiokua na akili ?
Mwanamume ukiwa unajua Kumkuna 'Kibaiolojia' akupendae na yule anayekushobokea Kutwa tegemea Kutajwa nae kila mara na kila Saa tu.😃😃 Huyu ana undugu na GENTAMYCINE
Yanazidi kuongezekaAnother popoma in town.
Wiki ya Kimataifa ya Wendawaimu bado haijaisha na itaisha rasmi Jumapili baada ya mechi ya Al Hilal FC na Yanga SC Saa 4 kasoro dakika 10 au dakika 5.Hii sasa ndiyo inaweza kuwapeleka makundi vinginevyo Jumapili hadi kufikia saa nne kamili usiku itakuwa ni kilio kikubwa kwa wana Jangwani. Watu watapigwa kama ngoma na Waarabu weusi.
View attachment 2384429View attachment 2384432
Mzungu pori a.k.a Ashura cheupe keshasema Mungu yuko bize na mambo ya maana hawezi kujibu dua za Utopolo.Hizo nguvu za kutukana ungemuomba Mungu afanye miujiza rufaa yenu ikubaliwe
Sasa kwa hizi kauli kati ya mleta mada na wewe nani punga? Yani timu yako izidiwe plus stress zako za ufukara, ndo uje kuleta makasiriko hapa?Mwanaume kamili hawi kama wewe mda wote ujinga ujinga wa simba
na hizi stress walizonazo week kila siku naahidi kuleta taarifa za intelejensia nitapumzika jumapili jioni wakiwa wanaenda kumaliziwa mazima hapo sudanSasa kwa hizi kauli kati ya mleta mada na wewe nani punga? Yani timu yako izidiwe plus stress zako za ufukara, ndo uje kuleta makasiriko hapa?
habari za saa hii nduguMental health case
msiwe na muhao sana,kaeni kwa kutulia taratibu za kisheria zichukue nafasi yake.Hii sasa ndiyo inaweza kuwapeleka makundi vinginevyo Jumapili hadi kufikia saa nne kamili usiku itakuwa ni kilio kikubwa kwa wana Jangwani. Watu watapigwa kama ngoma na Waarabu weusi.
View attachment 2384429View attachment 2384432
habari za saa hii ndugu
hahahahahaa jamaa wana stress sana mkuu waache wapate pa kuzitolea
madini ya hatari sanaa ninayomwaga ndugu yangu, wewe mwenyewe unayashuhudia , njaakalihatari ya kumwaga materials murua jukwaani hapaKweli hujakosea kujiita njaa kali hatari🤣
huu ndiyo upumbavu wa mashabiki wa soka Tanzania. Yaani unashabikia timu ya nyumbani kwenu ikishindwa kwa sababu tu si shabiki wa timu hiyo. Kwa ujinga na upumbavu wako unasahau kuwa ikishindwa inaonekana nchi yako ina timu vilaza. Unapata faida gani ukiwa na timu bora moja tu nchi nzima?Hii sasa ndiyo inaweza kuwapeleka makundi vinginevyo Jumapili hadi kufikia saa nne kamili usiku itakuwa ni kilio kikubwa kwa wana Jangwani. Watu watapigwa kama ngoma na Waarabu weusi.
View attachment 2384429View attachment 2384432