Yanga yamkatia Rufaa CAF mchezaji wa Al Hilal, wadai alikuwa na Kadi 3

Yanga yamkatia Rufaa CAF mchezaji wa Al Hilal, wadai alikuwa na Kadi 3

huu ndiyo upumbavu wa mashabiki wa soka Tanzania. Yaani unashabikia timu ya nyumbani kwenu ikishindwa kwa sababu tu si shabiki wa timu hiyo. Kwa ujinga na upumbavu wako unasahau kuwa ikishindwa inaonekana nchi yako ina timu vilaza. Unapata faida gani ukiwa na timu bora moja tu nchi nzima?
mmmh acha habari zako za kale weweeee, kila mtu afe kivyakevyake..wa angola wanakuja tarehe 14 mmekaribishwa kwenda kuwapokea airport kama kawaida yenu
 
mmmh acha habari zako za kale weweeee, kila mtu afe kivyakevyake..wa angola wanakuja tarehe 14 mmekaribishwa kwenda kuwapokea airport kama kawaida yenu
bado unadhihirisha upumbavu wako. acha kuhusudu vya wengine. mtu aliyestaarabika hana ujinga kama ulionao au ulisoma ukaiishia chekechea ukadhani umemaliza chuo kikuu?
 
Watu kama nyie ndio mnapigwa sana na kampuni kama Kalyinda.

Usiku unamuwaza Eng Hersi.

Mchana unamuwaza Haji Manara.

Jioni Yanga.
 
Watu kama nyie ndio mnapigwa sana na kampuni kama Kalyinda.

Usiku unamuwaza Eng Hersi.

Mchana unamuwaza Haji Manara.

Jioni Yanga.
tuma salaamu kwa watu watatu , bugatti ana ujumbe wako huku

 
Back
Top Bottom