Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Matakwa ya kocha walisajili kabla msimu haujaishaNamba 6 wenu kumbe ndio huyu
Kumbe na wewe unamfuatilia no 6 wa YangaNamba 6 wenu kumbe ndio huyu
Time will tell.Huu ndio usajili wenu mzuri ila yule mganda wa jana ni chenga tu
No 6 sio mkudeKwa promo lile walilompigia tukajua hapa linakuja jitu kweli.
Tulijua mapema kuwa Mkude ataenda Yanga ila hatukuwaza kama atakuja kwa style hii
Uzushi,Yanga walimuhitaji ngoma sema baadae wakaachana nae sbb ya injury,kama kuporwa basi ni yule zougran ndio ilikua target ya YangaNamba 6 halisi aliibwa airport.
Naskia alikuwa anataka kucheza Super Cup
Eti injariUzushi,Yanga walimuhitaji ngoma sema baadae wakaachana nae sbb ya injury,kama kuporwa basi ni yule zougran ndio ilikua target ya Yanga
Kwa Yanga hii makolo hamuwezi kushindana na Yanga kwenye pesa za usajili,Yanga kutokwenda uturuki si kama pesa hawana ila wameangalia muda,baada ya siku 10 wana mwananchi day,camp ya 8 nje itawapa kitu kile kile ambacho watakipata avicEti injari
Mlizidiwa dau acheni kutafuta sababu wakati vitu vinajionesha.
Mchezaji aende Avic aache Turkey?
Apishane na dusko la Super Cup akacheze NBC?
Sio kweli kwani miaka yote hili tamasha huwa linafanyika mwezi huu?Kwa Yanga hii makolo hamuwezi kushindana na Yanga kwenye pesa za usajili,Yanga kutokwenda uturuki si kama pesa hawana ila wameangalia muda,baada ya siku 10 wana mwananchi day,camp ya 8 nje itawapa kitu kile kile ambacho watakipata avic
Sasa Uturuki kuna jipya gani? Kama ni kumuona Fikri si hata Azzam TV unamuona?Eti injari
Mlizidiwa dau acheni kutafuta sababu wakati vitu vinajionesha.
Mchezaji aende Avic aache Turkey?
Apishane na dusko la Super Cup akacheze NBC?