Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Msimu uliopita pia wallet ilikua aisomi mbona camp ilikuwepo avic pia,toka ile camp ya siku 4 morroco Yanga imeona hamna ulazima sana wa camp ya nje ya nchi,kwanza walichoangalia ratiba ilivyowabana msimu uliopita na msimu huu,tayari hapo kuanzia tarehe 10 aug kuna ngao ya jamiiSio kweli kwani miaka yote hili tamasha huwa linafanyika mwezi huu?
Huu mwezi mmeharakisha kwakua waleti haisomi halafu bado kuna mfululizo wa vikao ambavyo haviishi kumlilia shida Mayele abaki.
Pesa imewakata huo ndio ukweli.