Yanga yamtambulisha Mkude namba 6 aliyekuwa gumzo mtandaoni

Yanga yamtambulisha Mkude namba 6 aliyekuwa gumzo mtandaoni

Sio kweli kwani miaka yote hili tamasha huwa linafanyika mwezi huu?

Huu mwezi mmeharakisha kwakua waleti haisomi halafu bado kuna mfululizo wa vikao ambavyo haviishi kumlilia shida Mayele abaki.

Pesa imewakata huo ndio ukweli.
Msimu uliopita pia wallet ilikua aisomi mbona camp ilikuwepo avic pia,toka ile camp ya siku 4 morroco Yanga imeona hamna ulazima sana wa camp ya nje ya nchi,kwanza walichoangalia ratiba ilivyowabana msimu uliopita na msimu huu,tayari hapo kuanzia tarehe 10 aug kuna ngao ya jamii
 
Msimu uliopita pia wallet ilikua aisomi mbona camp ilikuwepo avic pia,toka ile camp ya siku 4 morroco Yanga imeona hamna ulazima sana wa camp ya nje ya nchi,kwanza walichoangalia ratiba ilivyowabana msimu uliopita na msimu huu,tayari hapo kuanzia tarehe 10 aug kuna ngao ya jamii
Simba hawana iyo ratiba? Au pesa hamna
 
Msimu uliopita pia wallet ilikua aisomi mbona camp ilikuwepo avic pia,toka ile camp ya siku 4 morroco Yanga imeona hamna ulazima sana wa camp ya nje ya nchi,kwanza walichoangalia ratiba ilivyowabana msimu uliopita na msimu huu,tayari hapo kuanzia tarehe 10 aug kuna ngao ya jamii
Msimu uliopita ni Azizi Ki alipita na kapu lote la hela acha kusingizia ratiba ilibana wakati wote tunajua sababu halisi.
 
Back
Top Bottom