Yanga yamtimua Kocha

Yanga yamtimua Kocha

Huyu mserbia atakuwa na tatizo si bure..
 
Hawa GSM wanatuharibia sana timu yetu ya Yanga.
Kwanza wanajinufaisha sana kupitia time yetu.
Yaani wanasajiri wachezaji kwa ghalama ya 1b.
Mauzo ya jezi ni 10b.
Faida hata ikipungua sana haishuki zaidi ya 7b.
Na zote wanajinufaisha wao.
Waondoke watuachie timu yetu.
[emoji6][emoji6][emoji6][emoji6]
Wewe lazima ni mkiaa
 
Yanga ya kuyamba katika ubora wao kwenye nyanja ya Utopolo
 
Eymael ni zaidi kwa sababu aliwatujana "watu weusi" halafu kwa "ujinga walionao" matusi yao wenyewe wameyageuza "msemo"
Hakuwatukana watu weusi aliwaambia ukweli yanga ilq kwa sababu ni uneducated wanafikiri walitukanwa
 
Hakuwatukana watu weusi aliwaambia ukweli yanga ilq kwa sababu ni uneducated wanafikiri walitukanwa
Neno hilo wala sio jipya, mbumbumbu fc. Kina Eto, Kevin Prince Balotelli nk wamekumbana nayo sana tu. Wajinga wa kibongo wanaona fahari wakati watu walikuwa mpaka mechi, hovyo kabisa. Ukiona mtu mweusi anaitwa nyani wewe unakenua meno basi ukapumwe ubongo wako.

Hujui hata ni kwa nini jambo hili lilikemewa Afrika nzima, mbumbumbu wewe!!
 
Neno hilo wala sio jipya, mbumbumbu fc. Kina Eto, Kevin Prince Balotelli nk wamekumbana nayo sana tu. Wajinga wa kibongo wanaona fahari wakati watu walikuwa mpaka mechi, hovyo kabisa. Ukiona mtu mweusi anaitwa nyani wewe unakenua meno basi ukapumwe ubongo wako.

Hujui hata ni kwa nini jambo hili lilikemewa Afrika nzima, mbumbumbu wewe!!
Matatizo yenu msihusishe waafrika wote, walioitwa manyani, majibwa uneducated ni yanga ila kwa sababu ni kawaida yenu mnataka ionekane afrika nzima imetukanwa
 
Manyani always mtaendelea kuwa MINYANI NA MI MBWA. Na unachokifanya ni KUBWEKABWEKA TU
Simple search
Screenshot_2020-10-04-18-21-11-977_com.android.chrome.jpg
 
Back
Top Bottom