Club ya Yanga imeomba mechi ya kirafiki na TP Mazembe kabla hawajaondoka nchini. Hizi taarifa zimetolewa na vice president wa TP Mazembe. Vice president amesema wataangalia kama uwezekano huo upo.
Najiuliza Yanga si waliponda sana hizi mechi na hizi timu. Kwanini wasiombe mechi labda na Ihefu au Dodoma mji.
Najiuliza Yanga si waliponda sana hizi mechi na hizi timu. Kwanini wasiombe mechi labda na Ihefu au Dodoma mji.