Yanga Yapaa Ubora wa Viwango, Yashika Namba 4 Afrika, Yawabwaga Simba, Mamelodi

Nani anaebisha?..
 
SEMA bado Sana inatakiwa tuwe pale kwenye 1.. juu
 
Ilikuwa ni kiasi cha muda tu, namba kusomeka hivyo.

Misimu hii miwili tumedhihirisha kuwa bora, ukiwa mkweli Yanga tunastahili.
 
😂🤣🤣sawa mmetufunga Lakin kwanini bado mnateseka 😂🤣🤣
 
Nayakumbuka maneno ya Eng Hers alipokuwa ana mwambia Raisi wa FIFA kuhusu matokeo ya mechi ya simba akasema boom five [emoji95][emoji2772] Raisi wa FIFA akacheka kile kicheko [emoji23][emoji23]
 
Mtandao upi,mimi Nimeingia kwenye huo mtandao Nimekuta yanga hawako hata top 10 kwa data walizo Tuma siku nne zilizopita
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…