Yanga yapeleka msiba mwingine Msimbazi, yautaka Ubingwa wa Afrika

Yanga yapeleka msiba mwingine Msimbazi, yautaka Ubingwa wa Afrika

Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.View attachment 3134082
usiwe unakwot na hili li bandiko lako la kizuzu...😊😊😊😊
 
Yani mnasajili kwa ajili ya kuchukua ubingwa Africa halafu tena mnaiwaza Simba...kweli nyie ni mazuzu Fc...
Nilidhani mtapeleka kilio Alhly kumbe mnapeleka kilio Simba...basi mna sfr ndefu
Kipigo kinahusu wote ndio maana na Simba wanapewa taarifa ili wajiandae ipasavyo kushikilia bomba.
 
Yani mnasajili kwa ajili ya kuchukua ubingwa Africa halafu tena mnaiwaza Simba...kweli nyie ni mazuzu Fc...
Nilidhani mtapeleka kilio Alhly kumbe mnapeleka kilio Simba...basi mna sfr ndefu
achana nao ukimfaham mbwa hakupi shida.
 
Yani mnasajili kwa ajili ya kuchukua ubingwa Africa halafu tena mnaiwaza Simba...kweli nyie ni mazuzu Fc...
Nilidhani mtapeleka kilio Alhly kumbe mnapeleka kilio Simba...basi mna sfr ndefu
kwanini tusimuwaze my wetu tunaemtufua kwa raha zetu!
 
Afisa habari wa klabu ya Yanga Ally Kamwe amesema:

"Nataka niwaambie tu Yanga hii bado, Januari kutakuwa na ongezeko la mchezaji mwingine wa kigeni. Kwa hiyo haijakamilika, tunahitaji kuchukuwa ubingwa wa Afrika"

"Huyo mchezaji aliyemsema Rais Hersi tumemleta alikuwepo uwanjani katika mchezo wa Dabi ya Kariakoo na amekuja kufanya mazungumzo na kusajili tayari kwa kuanza kazi katika michuano ya kimataifa."
Soma, Pia:
+ Simba yacharuka, yazitaka saini za Pacome, Aucho Msimbazi!
+ Uchambuzi: Mbinu 3 za Yanga kufuzu Robo Fainali klabu Bingwa Afrika 2024/2025
Under Ceteris Paribus, Hata akiletwa PEP GADIOLA AWE KOCHA WA PAMBA FC.

ALAF HARMORAPA zingatia jina HARMORAPA awe KOCHA mkuu YANGA
utashangaa PAMBA FC inashuka daraja na YANGA anachukua nafasi za juu.
 
Afisa habari wa klabu ya Yanga Ally Kamwe amesema:

"Nataka niwaambie tu Yanga hii bado, Januari kutakuwa na ongezeko la mchezaji mwingine wa kigeni. Kwa hiyo haijakamilika, tunahitaji kuchukuwa ubingwa wa Afrika"

"Huyo mchezaji aliyemsema Rais Hersi tumemleta alikuwepo uwanjani katika mchezo wa Dabi ya Kariakoo na amekuja kufanya mazungumzo na kusajili tayari kwa kuanza kazi katika michuano ya kimataifa."
Soma, Pia:
+ Simba yacharuka, yazitaka saini za Pacome, Aucho Msimbazi!
+ Uchambuzi: Mbinu 3 za Yanga kufuzu Robo Fainali klabu Bingwa Afrika 2024/2025
Sasa kama mme aim ubingwa wa CAF msimbazi anapata Msiba gani?
 
Yani mnasajili kwa ajili ya kuchukua ubingwa Africa halafu tena mnaiwaza Simba...kweli nyie ni mazuzu Fc...
Nilidhani mtapeleka kilio Alhly kumbe mnapeleka kilio Simba...basi mna sfr ndefu
Kilio maana Simba hajawai chukua hilo kombe
 
UKISHABIKIA SANA SIMBA NA YANGA AUTOMATICALY AKILI ZA KICHWANI ZINAANZA KUYEYUKA.

CAPO.
 
Afisa habari wa klabu ya Yanga Ally Kamwe amesema:

"Nataka niwaambie tu Yanga hii bado, Januari kutakuwa na ongezeko la mchezaji mwingine wa kigeni. Kwa hiyo haijakamilika, tunahitaji kuchukuwa ubingwa wa Afrika"

"Huyo mchezaji aliyemsema Rais Hersi tumemleta alikuwepo uwanjani katika mchezo wa Dabi ya Kariakoo na amekuja kufanya mazungumzo na kusajili tayari kwa kuanza kazi katika michuano ya kimataifa."
Soma, Pia:
+ Simba yacharuka, yazitaka saini za Pacome, Aucho Msimbazi!
+ Uchambuzi: Mbinu 3 za Yanga kufuzu Robo Fainali klabu Bingwa Afrika 2024/2025
Upigwa wa africa sio rahisi hivyo labda 2026 fitna za ubigwa Yanga bado sana..
 
Yani mnasajili kwa ajili ya kuchukua ubingwa Africa halafu tena mnaiwaza Simba...kweli nyie ni mazuzu Fc...
Nilidhani mtapeleka kilio Alhly kumbe mnapeleka kilio Simba...basi mna sfr ndefu
Hata tukimfunga Bayern tutawananga Makolo.

Mtani Mtani tu.
 
Back
Top Bottom