usiwe unakwot na hili li bandiko lako la kizuzu...ππππSisi ndiyo Simba SC AKA;
1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.View attachment 3134082
Kwa maana hio Anarudi nyumbaniSi mwingine ni Fiston Kalala MAYELE, mzee wa kutetema aka vibration
Kipigo kinahusu wote ndio maana na Simba wanapewa taarifa ili wajiandae ipasavyo kushikilia bomba.Yani mnasajili kwa ajili ya kuchukua ubingwa Africa halafu tena mnaiwaza Simba...kweli nyie ni mazuzu Fc...
Nilidhani mtapeleka kilio Alhly kumbe mnapeleka kilio Simba...basi mna sfr ndefu
Nafarijika sana ninapokuona Mtani wangu unataabika namna hii π€usiwe unakwot na hili li bandiko lako la kizuzu...ππππ
achana nao ukimfaham mbwa hakupi shida.Yani mnasajili kwa ajili ya kuchukua ubingwa Africa halafu tena mnaiwaza Simba...kweli nyie ni mazuzu Fc...
Nilidhani mtapeleka kilio Alhly kumbe mnapeleka kilio Simba...basi mna sfr ndefu
kwanini tusimuwaze my wetu tunaemtufua kwa raha zetu!Yani mnasajili kwa ajili ya kuchukua ubingwa Africa halafu tena mnaiwaza Simba...kweli nyie ni mazuzu Fc...
Nilidhani mtapeleka kilio Alhly kumbe mnapeleka kilio Simba...basi mna sfr ndefu
Under Ceteris Paribus, Hata akiletwa PEP GADIOLA AWE KOCHA WA PAMBA FC.Afisa habari wa klabu ya Yanga Ally Kamwe amesema:
"Nataka niwaambie tu Yanga hii bado, Januari kutakuwa na ongezeko la mchezaji mwingine wa kigeni. Kwa hiyo haijakamilika, tunahitaji kuchukuwa ubingwa wa Afrika"
"Huyo mchezaji aliyemsema Rais Hersi tumemleta alikuwepo uwanjani katika mchezo wa Dabi ya Kariakoo na amekuja kufanya mazungumzo na kusajili tayari kwa kuanza kazi katika michuano ya kimataifa."
Soma, Pia:
+ Simba yacharuka, yazitaka saini za Pacome, Aucho Msimbazi!
+ Uchambuzi: Mbinu 3 za Yanga kufuzu Robo Fainali klabu Bingwa Afrika 2024/2025
Sasa kama mme aim ubingwa wa CAF msimbazi anapata Msiba gani?Afisa habari wa klabu ya Yanga Ally Kamwe amesema:
"Nataka niwaambie tu Yanga hii bado, Januari kutakuwa na ongezeko la mchezaji mwingine wa kigeni. Kwa hiyo haijakamilika, tunahitaji kuchukuwa ubingwa wa Afrika"
"Huyo mchezaji aliyemsema Rais Hersi tumemleta alikuwepo uwanjani katika mchezo wa Dabi ya Kariakoo na amekuja kufanya mazungumzo na kusajili tayari kwa kuanza kazi katika michuano ya kimataifa."
Soma, Pia:
+ Simba yacharuka, yazitaka saini za Pacome, Aucho Msimbazi!
+ Uchambuzi: Mbinu 3 za Yanga kufuzu Robo Fainali klabu Bingwa Afrika 2024/2025
Kilio maana Simba hajawai chukua hilo kombeYani mnasajili kwa ajili ya kuchukua ubingwa Africa halafu tena mnaiwaza Simba...kweli nyie ni mazuzu Fc...
Nilidhani mtapeleka kilio Alhly kumbe mnapeleka kilio Simba...basi mna sfr ndefu
Upigwa wa africa sio rahisi hivyo labda 2026 fitna za ubigwa Yanga bado sana..Afisa habari wa klabu ya Yanga Ally Kamwe amesema:
"Nataka niwaambie tu Yanga hii bado, Januari kutakuwa na ongezeko la mchezaji mwingine wa kigeni. Kwa hiyo haijakamilika, tunahitaji kuchukuwa ubingwa wa Afrika"
"Huyo mchezaji aliyemsema Rais Hersi tumemleta alikuwepo uwanjani katika mchezo wa Dabi ya Kariakoo na amekuja kufanya mazungumzo na kusajili tayari kwa kuanza kazi katika michuano ya kimataifa."
Soma, Pia:
+ Simba yacharuka, yazitaka saini za Pacome, Aucho Msimbazi!
+ Uchambuzi: Mbinu 3 za Yanga kufuzu Robo Fainali klabu Bingwa Afrika 2024/2025
Hata tukimfunga Bayern tutawananga Makolo.Yani mnasajili kwa ajili ya kuchukua ubingwa Africa halafu tena mnaiwaza Simba...kweli nyie ni mazuzu Fc...
Nilidhani mtapeleka kilio Alhly kumbe mnapeleka kilio Simba...basi mna sfr ndefu
Mwiko haujawatosha nyuma?kwanini tusimuwaze my wetu tunaemtufua kwa raha zetu!
Pumbafuuu...πππNafarijika sana ninapokuona Mtani wangu unataabika namna hii π€
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.