Yanga yapigwa faini na CAF kwa makosa 3 likiwemo kuwasha fataki uwanjani wakati wa mchezo

Yanga yapigwa faini na CAF kwa makosa 3 likiwemo kuwasha fataki uwanjani wakati wa mchezo

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Photo by Jemedari Said Kazumari on May 07, 2023. May be an image of crossword puzzle, calendar...jpg

Photo by Jemedari Said Kazumari on May 07, 2023. May be a Twitter screenshot of calendar, post...jpg


===============

Katika lugha inayotumika kwenye barua official sehemu za pesa huwa zinaanza kwa tarakimu zilizotenganishwa kwa comma, kisha aina ya pesa kwa initials baada ya hapo kuwepo kwa mabano ya maneno)

Mfano
2,000 USD (Two thousand US Dollars)
2,000 Tshs (Two thousand Tanzanian shillings)

Hio barua kuna mikanganyiko mingi sana
  1. 10.000 (Ten Thousand US Dollars) - hapa ni kumi nukta sifuri na tarakimu hazijamaliziwa na USD.
  2. 25,000 USD (Twenty-Five thousand dollars) - Kuna deshi kati ya wenty na five, hakuna kitu hiki kwenye kiingereza.
  3. 35.000 US Dollars - wanarudia tena kuwekaa nukta
  4. American Dollars - hakuna dollar inayotumika kwa nchi zote zilizomo bara la America, marekani ipo America inatumia United States Dollar (USD), Canada ipo America inatumia Canadian Dollar (CAD)
 
View attachment 2613603

View attachment 2613604
.................................................................................


Katika lugha formal inayotumika kwenye barua kiasi cha pesa huwa kinatajwa kwa mfumo unaofanana wa kuanza kwa tarakimu zinazotenganishwa kwa comma (,) kisha kwenye mabano kuwekea kwa maneno.

Kwa pesa ya kimarekani inaweza kuwa

1,000 USD (One thousand US dollars)

hio barua kuna mikanganyiko mingi sana

1. 10.000 (Ten Thousand US Dollars) - hapa ni kumi nukta sifuri na haijamaliziwa na usd
2.25,000 USD (Twenty-Five thousand dollars) - Kuna deshi kati ya wenty na five, kiingereza cha mchongo hiki,
3.35.000 US Dollars - hio ni 35 nukta sifuri, ilibidi iwe 35,000 USD kisha mabano ndio yaongezewe (Thirty five thousand US Dollars)
4.Anerican Dollars - Kuna sababu maalum dola ya kimarakani inaitwa US dollars, hata canada nayo ina dollar zake na ipo ndani ya bara la America, Kuandika American dollars formally si sahihi
Futa hii nikurushie Jero USD
 
Izo ni taarifa za Cuf ya Lipumba. Mbumbumbu endeleeni kuteseka sisi wengine ndio Raha yetu.
 
Ni u mbumbumbu tu unawasumbua, tangulini Caf walipiga ban fireworks zisiwepo majukwaani?
Adhabu utolewa iwapo zitarushwa uwanjani tu.
Mimi mwenyewe nimeshangaa! Hata hayo makosa yenyewe waliyolalamikia hao Rivers, karibia yote ni ya kufikirika tu.

Mfano Yanga inahusika vipi na upotevu wa hizo dola zao 5000+ kwenye gari lao!! Au kuhusu kupulizia sumu kwenye gari lao, Yanga wanahusika vipi!!

Na kuhusu hizo tochi, kila timu siku hizi inafanya! Iweje kwa Yanga iwe kesi ya kupigwa faini? Aliyeleta huu upuuzi ana matatizo ya akili. Siyo bure.
 
Mimi mwenyewe nimeshangaa! Hata hayo makosa yenyewe waliyolalamikia hao Rivers, karibia yote ni ya kufikirika tu.

Mfano Yanga inahusika vipi na upotevu wa hizo dola zao 5000+ kwenye gari lao!! Au kuhusu kupulizia sumu kwenye gari lao, Yanga wanahusika vipi!!

Na kuhusu hizo tochi, kila timu siku hizi inafanya! Iweje kwa Yanga iwe kesi ya kupigwa faini? Aliyeleta huu upuuzi ana matatizo ya akili. Siyo bure.
Endelea kushangaa,ila wenzenu wanakamuana kulipa deni,


Ingekuwa uwongo wangeshatoka hadharani kukana...


Vibaka united
 
“...Hii adhabu CAF wametupa kutokana na kuwasha moto sisi kwenye Mpira wa Afrika bado ni wanafunzi lakini kuna mamasta wa hayo mambo, mfano timu za Kaskazini na huoni kama wameadhibiwa. Nawaomba mashabiki wetu wasije tena na Fataki tukubaliane hatutofanya tena makosa.

“Ni kweli tumepokea Barua ya kutozwa faini Dollar 35,000 kwa makosa ya kuwasha fataki, Moshi na Tochi uwanjani pamoja na Basi la Rivers Utd kuvamiwa”

“Baadhi ya Matukio yanafanywa sana na Wenzetu waarabu lakini huoni wakidhibiwa hivyo Wananchi tunawaomba Waache hizi tabia kwasababu tupo hatua nzuri ambayo inawezekana tunajaribiwa kutolewa kwenye ‘focus’ tunaomba Wananchi waache hizi tabia ili tusiwape sababu”

[emoji361] Ali Kamwe.
Afisa Habari wa Yanga Sc.
 
View attachment 2613603

View attachment 2613604
.................................................................................


Katika lugha formal inayotumika kwenye barua kiasi cha pesa huwa kinatajwa kwa mfumo unaofanana wa kuanza kwa tarakimu zinazotenganishwa kwa comma (,) kisha kwenye mabano kuwekea kwa maneno, bila kusahau jina la pesa mfano Tanzania shilings, Zambia kwacha, US dollars.

Mfano
2,000 USD (Two thousand US Dollars)
2,000 Tshs (Two thousand Tanzanian shillings)


hio barua kuna mikanganyiko mingi sana

  1. 10.000 (Ten Thousand US Dollars) - hapa ni kumi nukta sifuri na tarakimu hazijamaliziwa na USD.
  2. 25,000 USD (Twenty-Five thousand dollars) - Kuna deshi kati ya wenty na five, hakuna kitu hiki kwenye kiingereza.
  3. 35.000 US Dollars - wanarudia tena kuchanganya nikta na comma, ilibidi iwe 35,000 USD kisha waongeze mabanoya (Thirty five thousand US Dollars)
  4. American Dollars - Kuna sababu maalum dola ya kimarakani inaitwa US dollars, America ni Bara lenye nchi kama Canada ambao nao hutumia Dollar yao, kusema pesa ya marekani ni american dollar ni sawa na susema African shilling bila kuweka wazi ni shilingi ya Kenya, Tanzania au Uganda.
Kumbe wewe ndio mzushi
 
Majambazi fc
Vibaka fc
Panya road fc
Matapeli fc
Vidokozi fc
Mihemuko fc
[emoji196][emoji196][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

BAHLABANE BA NTWA
 
Mimi mwenyewe nimeshangaa! Hata hayo makosa yenyewe waliyolalamikia hao Rivers, karibia yote ni ya kufikirika tu.

Mfano Yanga inahusika vipi na upotevu wa hizo dola zao 5000+ kwenye gari lao!! Au kuhusu kupulizia sumu kwenye gari lao, Yanga wanahusika vipi!!

Na kuhusu hizo tochi, kila timu siku hizi inafanya! Iweje kwa Yanga iwe kesi ya kupigwa faini? Aliyeleta huu upuuzi ana matatizo ya akili. Siyo bure.
😀😀😀
 
Back
Top Bottom