Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Hao matajiri wengine kipindi cha bakuli walikuwepo?Gsm ni sehemu tu ya matajiri wanao tia mkono wao pale Jangwani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao matajiri wengine kipindi cha bakuli walikuwepo?Gsm ni sehemu tu ya matajiri wanao tia mkono wao pale Jangwani.
HahahaAliewaitaga nyani hakukosea kabisa mna ujinga sana washabiki wa uto..
Hata 2016 walipigwa faini kwa Mambo yao ya kipuuzi lakini wao wamekaa kuizushia Simba Mambo ya uongoYanga wamecheza mechi moja tu wamelimwa faini Simba mwaka jana ilicheza mpaka robo fainali lakini hatukusikia hata onyo
Labda kumbukumbu zako haziko sawa, Simba ndio timu iliyokua ikiongoza kwa kupigwa faini na Tff kwa kufanya vitendo vya kishirikina mechi ya Simba na Yanga kule Kigoma ili leta taharuki kwenye mageti , mechi ya Simba na Dodoma jiji mtaalamu wa mitishamba wa Simba alichimba kwenye kibendera Cha uwanja mchana kweupe apo atujazungumzia Mapaka ya uwanjani uvunjajji wa nazi kuzunguka uwanja wa taifa n.kH
Hata 2016 walipigwa faini kwa Mambo yao ya kipuuzi lakini wao wamekaa kuizushia Simba Mambo ya uongo
umemsahau mganga wenu siku ya mechi ya ngao ya jamiiLabda kumbukumbu zako haziko sawa, Simba ndio timu iliyokua ikiongoza kwa kupigwa faini na Tff kwa kufanya vitendo vya kishirikina mechi ya Simba na Yanga kule Kigoma ili leta taharuki kwenye mageti , mechi ya Simba na Dodoma jiji mtaalamu wa mitishamba wa Simba alichimba kwenye kibendera Cha uwanja mchana kweupe apo atujazungumzia Mapaka ya uwanjani uvunjajji wa nazi kuzunguka uwanja wa taifa n.k
Mbona simba hawajapewa adhabu kama ni walengwa ? Na kwa nini utopolo wapewe iyo fain na Wakati sio walengwa ? Au unajarb kuelekeza kitu usicho kijua ?Simba ndio timu iliyo Lengwa kwenye tuhuma za kupulizia madawa kwenye vyumba vya kubadilishia nguo Ila kwakua uko nyuma CAF walishapokea malalamiko kutoka katika vilabu mbalimmbali.
CAF walicho fanya ni kuionya TFF juu ya malalamiko ambayo wamekua wakipata kutoka katika vilabu mbalimmbali vinavyo kuja nchini dhidi ya timu zetu.
Uongo uongo fcTukisema hii timu ni kihuni inaendeshwa kama timu za ndondo wanakuja juu na kulalamika wanaonewa.
======
SHIRIKISHO la Soka Barani Afrika (CAF) limeipiga faini ya Sh11 milioni klabu ya Yanga baada ya kushindwa kujibu madai ya kuwafanyia fujo baadhi ya watu waliokuwa kwenye msafara wa Rivers United ya Nigeria.
Malalamiko hayo yametokana na mechi ya hatua ya awali iliyochezwa Uwanja wa Mkapa jijini Dar es Salaam Septemba 12 na Yanga kupoteza kwa bao 1-0, ambapo kupitia mitandao ya kijamii ya timu hiyo walilalamika kupigwa kwa watu mbalimbali akiwemo Ofisa habari wa timu hiyo, Charles Mayuku. Rivers United walipeleka malalamiko hayo CAF na kupitia mtandao wao wamethibitisha kupokea malalamiko hayo.
Pia CAF wamesema mechi hiyo haikutakiwa kuwepo mashabiki ila walibaini baadhi ya mashabiki uwanjani.CAF ilituma malalamiko hayo kwa Yanga kupitia Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), na wamesema hakukuwa na mrejesho wowote kutoka kwenye Shirikisho hilo. Kutokana na hilo bodi ya nidhamu imeipiga faini Yanga kiasi cha 5,000 USD sawa na Sh11 milioni za kitanzania
Mwaka 2016 timu hiyo ilipigwa faini kwa makosa mengine.
Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF),limeipiga faini ya dola 5,000 Klabu ya Young African kwa kosa la kuchelewesha mchezo baada ya wachezaji wake.
Kumzonga mwamuzi wakati mchezo wa kuwania kuingia hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho dhidi ya GD SagradaEsperanca uliofanyika Angola Mei 18, 2016.
Kupiga dawa za usingizi nyumbani ndio aibu kubwa zaidiWahuni, washamba, limbukeni
Aibu kubwa sana hii kwa taifa
Hata kama ingekuwa ni $100 ,ni aibu na kuvunjiana heshima kwa Yanga ,yaani Dunia inajua Yanga ni wahuniSasa hizo $5000 kwa Yanga si hela tu ya kuwanunulia wachezaji maji wawapo mazoezini!
Kwa hiyo kwa makusudi mazima Haji Manara aliwaingiza Utopolo chaka ili waadhibiwe. Hata kwenye mchezo wa marudiano kule Port Harcourt Haji alishauri Utopolo wasiingize timu uwanjani akiwa na lengo la kuwakaanga Utopolo. Huu msukule utawagharimu sana Utopolo.Wanapitaje najua, wanashindaje najua, na nitatumia kujua kwangu kuwaonesha kwamba na mimi najua
Kabla ya mechi ya riverside tulipata kuona short clip ikionesha benchi la ufundi la yanga likika chini na manara kuzungumza namna ya kushinda mechi wanayo i-face kwakua manara alidai kujua mbinu zote walizokua wakitumiwa club bingwa kushinda mechi
Clip ilikua fupi hatukuelewa kilicho jadiliwa na kilikubalika vipi, na mbinu ipi ya manara aliyo propose, ila baada ya mechi tuliwaona wachezaji wa rivers wakiwa na majeraha ya kichwa ambayo yalikuwa mabichi kabisa
Unaweza ukaona ni mbinu gani ambayo ofsa manara aliwapa benchi la ufundi, na hii ndo outcome yake sasa
Hizo record unazo wewe tu CAF hawana ndiyo maana Simba hawakuadhibiwa. Nyie endeleeni tu kumsikiliza Haji mnafungwa na kupigwa faini ndefu yeye mshahara wake anapata.Mbona hata Azam waligoma kupita geti la kawaida kwenye mechi yao na Coastal Union kule Tanga! Simba kwenye mechi na FC Platinum, shabiki wao aliingia na paka uwanjani!
Bado timu ya As Vita ililalamikia faulo mbalimbali walizo fanyiwa na simba! Una lipi la kusema?
Simba ndiyo wa kulaumiwa wasingewatupia mbeleko hawa Utopolo yasingewakuta haya,nyie Simba punguzeni kiherehere wenzenu Uto hawapendi mjue.Tukisema hii timu ni kihuni inaendeshwa kama timu za ndondo wanakuja juu na kulalamika wanaonewa.
======
SHIRIKISHO la Soka Barani Afrika (CAF) limeipiga faini ya Sh11 milioni klabu ya Yanga baada ya kushindwa kujibu madai ya kuwafanyia fujo baadhi ya watu waliokuwa kwenye msafara wa Rivers United ya Nigeria.
Malalamiko hayo yametokana na mechi ya hatua ya awali iliyochezwa Uwanja wa Mkapa jijini Dar es Salaam Septemba 12 na Yanga kupoteza kwa bao 1-0, ambapo kupitia mitandao ya kijamii ya timu hiyo walilalamika kupigwa kwa watu mbalimbali akiwemo Ofisa habari wa timu hiyo, Charles Mayuku. Rivers United walipeleka malalamiko hayo CAF na kupitia mtandao wao wamethibitisha kupokea malalamiko hayo.
Pia CAF wamesema mechi hiyo haikutakiwa kuwepo mashabiki ila walibaini baadhi ya mashabiki uwanjani.CAF ilituma malalamiko hayo kwa Yanga kupitia Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), na wamesema hakukuwa na mrejesho wowote kutoka kwenye Shirikisho hilo. Kutokana na hilo bodi ya nidhamu imeipiga faini Yanga kiasi cha 5,000 USD sawa na Sh11 milioni za kitanzania
Mwaka 2016 timu hiyo ilipigwa faini kwa makosa mengine.
Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF),limeipiga faini ya dola 5,000 Klabu ya Young African kwa kosa la kuchelewesha mchezo baada ya wachezaji wake.
Kumzonga mwamuzi wakati mchezo wa kuwania kuingia hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho dhidi ya GD SagradaEsperanca uliofanyika Angola Mei 18, 2016.
Simba ndio timu iliyo Lengwa kwenye tuhuma za kupulizia madawa kwenye vyumba vya kubadilishia nguo Ila kwakua uko nyuma CAF walishapokea malalamiko kutoka katika vilabu mbalimmbali.
CAF walicho fanya ni kuionya TFF juu ya malalamiko ambayo wamekua wakipata kutoka katika vilabu mbalimmbali vinavyo kuja nchini dhidi ya timu zetu.