Yanga yapigwa faini na CAF

Yanga yapigwa faini na CAF

Sasa Tff haijulikani Kama wali wasiliana na Yanga juu ya tuhuma izo maana CAF wametoa adhabu kwakua Tff haikutoa ushirikiano walipoulizwa juu ya malalamiko ya Rivers.
TFF waliijulisha Yanga, ikauchuna. TFF wangejibu nini sasa?
 
Mbona hata Azam waligoma kupita geti la kawaida kwenye mechi yao na Coastal Union kule Tanga! Simba kwenye mechi na FC Platinum, shabiki wao aliingia na paka uwanjani!

Bado timu ya As Vita ililalamikia faulo mbalimbali walizo fanyiwa na simba! Una lipi la kusema?
Kwa hiyo faulo za uwanjani unataka zipelekwe CAF? Referees wana kazi gani?

Misukule mna taabu sana.
 
Kwa hiyo kwa makusudi mazima Haji Manara aliwaingiza Utopolo chaka ili waadhibiwe. Hata kwenye mchezo wa marudiano kule Port Harcourt Haji alishauri Utopolo wasiingize timu uwanjani akiwa na lengo la kuwakaanga Utopolo. Huu msukule utawagharimu sana Utopolo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Tukisema hii timu ni kihuni inaendeshwa kama timu za ndondo wanakuja juu na kulalamika wanaonewa.

======


SHIRIKISHO la Soka Barani Afrika (CAF) limeipiga faini ya Sh11 milioni klabu ya Yanga baada ya kushindwa kujibu madai ya kuwafanyia fujo baadhi ya watu waliokuwa kwenye msafara wa Rivers United ya Nigeria.

Malalamiko hayo yametokana na mechi ya hatua ya awali iliyochezwa Uwanja wa Mkapa jijini Dar es Salaam Septemba 12 na Yanga kupoteza kwa bao 1-0, ambapo kupitia mitandao ya kijamii ya timu hiyo walilalamika kupigwa kwa watu mbalimbali akiwemo Ofisa habari wa timu hiyo, Charles Mayuku. Rivers United walipeleka malalamiko hayo CAF na kupitia mtandao wao wamethibitisha kupokea malalamiko hayo.

Pia CAF wamesema mechi hiyo haikutakiwa kuwepo mashabiki ila walibaini baadhi ya mashabiki uwanjani.CAF ilituma malalamiko hayo kwa Yanga kupitia Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), na wamesema hakukuwa na mrejesho wowote kutoka kwenye Shirikisho hilo. Kutokana na hilo bodi ya nidhamu imeipiga faini Yanga kiasi cha 5,000 USD sawa na Sh11 milioni za kitanzania
Mwaka 2016 timu hiyo ilipigwa faini kwa makosa mengine.

Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF),limeipiga faini ya dola 5,000 Klabu ya Young African kwa kosa la kuchelewesha mchezo baada ya wachezaji wake.

Kumzonga mwamuzi wakati mchezo wa kuwania kuingia hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho dhidi ya GD SagradaEsperanca uliofanyika Angola Mei 18, 2016.
Hi si timu ya maana, kuanzia msemaji wao Haji mpaka na viongozi wao....hawana issue hata kidogo, ife tu au kushushwa daraja.
 
Kumbe TFF nao majeuri, ni sawa na mzazi akutake ujieleze kutokana na makosa fulani halaf ukae kimya ni kiburi icho.
CAF wawapige rungu hao TFF.
 
Viongozi wa Utopolo ni mazezeta tupu,baada ya kutolewa mashindanoni wakasusa kujibu barua ya CAF,sasa wamelimwa faini wanatafuta mchawi, haya maelezo wanayotoa sasa kwenye viredio vyao uchwara wangeyatoa katika kuijibu barua ya CAF naamini faini isingekuwa kubwa hivi. Wao wamewekeza kwenye propaganda uchwara ambayo haiwasaidii chochote. Hata figisu walizofanyiwa kule Port Harcourt walishindwa kuzitolea taarifa CAF.
 
Mlikuwa wapi mikia siku hizi mnakosa tittle mnakujs na topic za ovyo ebu chezeni mpira timu lenu limeharibika juu ya mawe 😂😂
wale watu milioni 7 wenye matatizo ya afya ya akili ni mashabiki wa yanga. hata manara aliwahi kusema kuwa ukimtoa mzee Kikwete na Baba yake tu walio salia ni kuomba mungu tu
 
Kuna sehemu kweli kwenye maelezo yangu nimeandika faulo za uwanjani? Mimi nilimaanisha malalamiko ya As Vita kuhusu kuwekewa dawa kwenye vyumba vyao vya kubadilishia nguo.

Hizo faulo za uwanjani umesema wewe.
Hizi taarifa za kupuliziwa dawa vyumbani ilikuwa fitna za Utopolo kuiharibia Simba ndiyo maana CAF walizipuuza kwa sababu hazikuwa na ushahidi. Ule msemo wa Kiswahili usemao mchimba shimo kaingia mwenyewe ndiyo umekuwa na maana halisi kwa Utopolo, shimo mlilochimba limewameza wenyewe.p
 
Hizi taarifa za kupuliziwa dawa vyumbani ilikuwa fitna za Utopolo kuiharibia Simba ndiyo maana CAF walizipuuza kwa sababu hazikuwa na ushahidi. Ule msemo wa Kiswahili usemao mchimba shimo kaingia mwenyewe ndiyo umekuwa na maana halisi kwa Utopolo, shimo mlilochimba limewameza wenyewe.p
Waliwasingizia Simba Nigeria walipokuja wakawageuzia kibao
 
Mbona hata Azam waligoma kupita geti la kawaida kwenye mechi yao na Coastal Union kule Tanga! Simba kwenye mechi na FC Platinum, shabiki wao aliingia na paka uwanjani!

Bado timu ya As Vita ililalamikia faulo mbalimbali walizo fanyiwa na simba! Una lipi la kusema?
Kuna sehemu kweli kwenye maelezo yangu nimeandika faulo za uwanjani? Mimi nilimaanisha malalamiko ya As Vita kuhusu kuwekewa dawa kwenye vyumba vyao vya kubadilishia nguo.

Hizo faulo za uwanjani umesema wewe.
Habari za AS Vita kuchezewa Faulo za uwanjani labda uliandika ukiwa umelewa. Haukuwa wewe
 
Jipe sana moyo
wale watu milioni 7 wenye matatizo ya afya ya akili ni mashabiki wa yanga. hata manara aliwahi kusema kuwa ukimtoa mzee Kikwete na Baba yake tu walio salia ni kuomba mungu tu
 
Back
Top Bottom