Yanga yapigwa faini na CAF

H

Hata 2016 walipigwa faini kwa Mambo yao ya kipuuzi lakini wao wamekaa kuizushia Simba Mambo ya uongo
Labda kumbukumbu zako haziko sawa, Simba ndio timu iliyokua ikiongoza kwa kupigwa faini na Tff kwa kufanya vitendo vya kishirikina mechi ya Simba na Yanga kule Kigoma ili leta taharuki kwenye mageti , mechi ya Simba na Dodoma jiji mtaalamu wa mitishamba wa Simba alichimba kwenye kibendera Cha uwanja mchana kweupe apo atujazungumzia Mapaka ya uwanjani uvunjajji wa nazi kuzunguka uwanja wa taifa n.k
 
umemsahau mganga wenu siku ya mechi ya ngao ya jamii
 
Mbona simba hawajapewa adhabu kama ni walengwa ? Na kwa nini utopolo wapewe iyo fain na Wakati sio walengwa ? Au unajarb kuelekeza kitu usicho kijua ?
 
Uongo uongo fc
 
Kwa hiyo kwa makusudi mazima Haji Manara aliwaingiza Utopolo chaka ili waadhibiwe. Hata kwenye mchezo wa marudiano kule Port Harcourt Haji alishauri Utopolo wasiingize timu uwanjani akiwa na lengo la kuwakaanga Utopolo. Huu msukule utawagharimu sana Utopolo.
 
Hizo record unazo wewe tu CAF hawana ndiyo maana Simba hawakuadhibiwa. Nyie endeleeni tu kumsikiliza Haji mnafungwa na kupigwa faini ndefu yeye mshahara wake anapata.
 
Simba ndiyo wa kulaumiwa wasingewatupia mbeleko hawa Utopolo yasingewakuta haya,nyie Simba punguzeni kiherehere wenzenu Uto hawapendi mjue.
 
Inawezekana tff walijua hyo ishu.ila sababu ni wajeuri wakapiga kimyaa
 
Tatizo utopolo jeuri. Kuna siku mtangazaji wa startv alimuuliza bumbuli je, wao kama club watamuadhibu mchezaji wao aliyeonesha alama ya tusi kwa mashabiki?

Bumbuli akasema hatumuuadhibu na hatuna mpango wa kumuadhibu kwa sababu mchezaji wetu alikanyagwa kabla ya kuonesha hilo tusi, kwa hiyo alikuwa analipiza.
Nikajisemea kweli pale uto mwenye akili ni kikwete tu.
 

Yah! Simba ndiyo mlengwa lakini Faini kapigwa Yanga! Hii ina maana CAF wanaihujumu Yanga au CAF wamelikosea Jina la Simba kwa kuandika Yanga.
 
Hili liwazindue TFF kwani wao ndio wanalea hizi tabia mbovu mbovu kwenye mpira wa Tanzania. Kwenye ligi kila siku timu zinavunja sheria na hasa tabia ya kuruka ukuta badala ya kupitia mageti sahihi ya kuingilia lakini utasikia faini TZS 500,000. Laiti kama faini ingekuwa millioni 50 au kukatwa pointi naamini vilabu vyetu vingekuwa vinafuata sheria na hata hiyo adhabu ya CAF isingekuwepo kwa Yanga. Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo TFF imezilea vibaya timu zetu hasa hizi kubwa sasa tunaanza kuvuna matunda yake na isipochukua hatua stahiki haraka basi tutegemee adhabu kubwa huko mbele ya safari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…