Yanga yapigwa faini ya Tsh. Milioni 345 kutoka FIFA, yatakiwa kumlipa Kocha Luc Eymael

Yanga yapigwa faini ya Tsh. Milioni 345 kutoka FIFA, yatakiwa kumlipa Kocha Luc Eymael

Ni hujumaaa,ni hujumaaa
(Steve lia lia)
wamesubiri siku moja kabla ya mechi ya Al hilal ndo wametoa hukumu ili wawavuruge utopolo
 
Japo umepiga dongo lkn hiyo pesa kwa taasisi kubwa kama Yanga/simba ni pesa ndogo mno
SIMBA WATOE HAPO...wamefilisika balaa ndugu yangu Mo kakimbilia kwenye boxing , team ya kueleweka sasa hivi yenye mipango na pesa ni yanga pekee
 
Kweli soka lina tia umaskiini sasa hapo iyo 345 si itabidi ilipwe tu maana hakuna namna
 
Na nyinyi mashabiki wa simba ni wakati muafaka kwenu huu wa kumfungulia mashtaka Mwenyekiti wenu wa zamani Ismail Aden Rage kwa kuwaita mbumbumbu.

Haiwezekani awaite mbumbumbu, halafu mnakubali tu!
Hilo suala lake tulimalizana nae pale pale mkutanoni kama uliona lakini maana inaonekana ulihadithiwa

Sasa msukule aliwaambia wenye akili ni wawili tu na kuonesha mnakubaliana na maneno yake

Mkamsogeza karibu yenu maana nae mnafanana nae akili.
 
Ujuaji ukiwa mwingi haya ndiyo madhara yake
 
Back
Top Bottom