Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
According to Yanga....mechi ipoKwani mechi hakuna?
Yanga wamesema hawalitambui hiloMEchi imeahirishwa
Hii ni nini?Uongozi wa Klabu ya Yanga SC umesema kuwa mchezo wa Derby ya Kariakoo uliopangwa kucheza leo Machi 8, 2025 dhidi ya Simba saa moja na robo usiku uko pale pale na hakuna mabadiliko yoyote
“Yanga SC kama wenyeji wa mchezo, tunaamini taratibu zote za mchezo kama inavyoelekezwa kwenye kanuni za Ligi Kuu ya NBC, ziko sawa na maandalizi yote yako tayari,” imeeleza taarifa ya Klabu ya Yanga
Aidha taarifa hiyo imeongeza kuwa “Uongozi wa Young Africans SC utapeleka timu uwanja wa Benjamin Mkapa kama inavyoelekezwa kwenye kanuni, na hatutakuwa tayari kucheza mchezo huu siku nyingine tofauti na leo.
Tunawaalika uwanjani wanachama, mashabiki, wapenzi wa klabu yetu na wadau wengine waliosafiri kutoka mikoani, nchi za jirani na sehemu mbalimbali duniani kote kuja kushuhudia mchezo huu mkubwa Barani Afrika.View attachment 3263599
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Ndio unaamka?Kwani mechi hakuna?
Tatizo ni kuwa masikio yamezidi kichwaNchi ngumu sana hii,
Sijui tatizo ni vichwa? Elimu? Siasa kwenye kila jambo? Rushwa? Imani za kishirikina? Au nini?
Hapana mkuu....Yanga ndo giant wa TZ .. kwenye Kila sector....... financially.... influence & connecteness..japo wew ni mwanafunzi huwezi elewaHawa ni watoto wadogo sana tutaona kama hawataleta timu.
Ni kweli
Hata ikiahirishwa miaka 5 ....Simba Haina uwezo wa kuifunga yangaYani siku tukicheza na makolo tupige goli 7 kama adhabu ya kutuchelewesha kuwapa kipigo.
Unamkimbia Yanga wewe nani?
Hizi drama zinatukata sana Wananchi, tulishajiandaa kuchinja leo.
Huu mchezo niliupania sana ila nafsi iligoma kabisa kukata tiketi, Mungu aliniongoza.
Bila kusahau sector ya ujinga.Hapana mkuu....Yanga ndo giant wa TZ .. kwenye Kila sector....... financially.... influence & connecteness..japo wew ni mwanafunzi huwezi elewa
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watakuja shangazi zake Eng.Hersi Said mcheze nao.