Yanga, yasema mchezo dhidi ya Simba upo palepale hakuna mabadiliko yoyote

Hii ni nini?
 

Attachments

  • IMG-20250308-WA0026.jpg
    91.2 KB · Views: 1
Tukafanye kazi sasa tuache tupoteza muda kwa maigizo,Trump ameshakata misaada tujitegemee
 
Sasa hapa yanga wanaleta nongwa za kika siku.
Ingekuwa bodi ya ligi haijasitisha mchezo na simba asingepeleka timu, ilipaswa simba aadhibiwe kama haki ingesimamiwa vema.

Sasa mandhari bodi imeghairisha mchezo, kisha watataja siku nyingine ya game, wao hawapaswi kugomea mchezo.
 
Waache ujinga waturusishie FEDHA zetu tulizokata ticket. Sasa ma bausa wao wawatume kwenda kuzuia haki ya msingi ya timu kufanya mazoezi halafu waseme hawatakubali? Wasubiri rungu na baadaye tutawaburuza mahakamani kwa breach of contract. Tumelipa FEDHA tukaone mechi ila mmetuma wajinga wajinga kwenda kuwafanyia Fujo wapinzanj wenu na kusababisha mechi kuhairishwa?Ninyi ndio chanzo. "SINE QUO NON"
 
Yani siku tukicheza na makolo tupige goli 7 kama adhabu ya kutuchelewesha kuwapa kipigo.
Unamkimbia Yanga wewe nani?

Hizi drama zinatukata sana Wananchi, tulishajiandaa kuchinja leo.

Huu mchezo niliupania sana ila nafsi iligoma kabisa kukata tiketi, Mungu aliniongoza.
 
Hata ikiahirishwa miaka 5 ....Simba Haina uwezo wa kuifunga yanga

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Hapana mkuu....Yanga ndo giant wa TZ .. kwenye Kila sector....... financially.... influence & connecteness..japo wew ni mwanafunzi huwezi elewa

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Bila kusahau sector ya ujinga.

Hiyo ndio mnafanya vizuri.

Hapo kwenye hilo hata ukiniambia mna balón Dor siwezi kupinga.

Haya msemaji wenu anawaambia nendeni uwanjani.

Na saizi kule mageti yashaanza kufungwa. Najua hii haiwezi kuwa big issue kwasababu kama tu wachezaji wanaruka ukuta inashindikanaje kwa mashabiki.

 
Wananchi twendeni uwanjani mechi yetu ipo, ile ya ndunduka na tff ndiyo imeahirishwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…