Yanga yashtakiwa tena TFF

Yanga yashtakiwa tena TFF

CAPO DELGADO

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2020
Posts
8,542
Reaction score
18,340
Habari wakuu,

Katika hali inayoonekana kuwa ya kushangaza Klabu ya Soka ya Yanga yenye Makao Makuu yake mitaa ya Twiga na Jangwani imepata mashtaka mengine tena TFF.

Wachezaji Yanic Bangala na Djuma Shaban raia wa Congo.

Wameingia katika mgogoro mzito wa kimkataba na Klabu ya Yanga.

Wachezaji hao ambao hawakutambulishwa siku ya kilele cha Wiki ya Wananchi, Yanga Day wana madai yafuatayo;

1. Wachezaji wana mkataba wa mwaka mmoja wanaotaka waendelee kuitumikia yanga. Yanga hawapo tayari.

2. Wachezaji wameomba kuvunjiwa mikataba na kwenda timu nyingine, Yanga wamegoma kuwavunjia mikataba.

Itakumbukwa siku za karibuni Yanga walikuwa na mgogoro na Kocha wao wa zamani Luke Emly (Manyani) aliyewashtaki Yanga FIFA, Feisal Salum nae aliishtaki Yanga TFF.

Simba hamna kiungo wala beki, changamkieni Bangala.
 
Habari wakuu.

Katika Hali inayoonekana kuwa ya kushangaza.
KLABU YA SOKA YA YANGA Yenye makao makuu yake Mitaa ya twiga na jangwani Imepata mashtaka mengine Tena TFF.

WACHEZAJI YANIC BANGALA NA DJUMA SHABAN RAIA WA CONGO.
wameingia Katika mgogoro MZITO WA kimkataba na KLABU ya yanga.

Wachezaji HAO ambao hawakutambulishwa siku ya kilele Cha wiki ya Wananchi, yanga Day Wana madai YAFUATAYO.

1. Wachezaji Wana MKATABA WA Mwaka mmoja wanaitaka waendelee kuitumikia yanga. YANGA HAWAPO tayari.

2. Wachezaji wameomba kuvunjiwa mikataba na kwenda timu nyingine yanga wamegoma kuwavunjia mikataba.

Itakumbukwa siku za Karibuni yanga WALIKUWA na Mgogoro na KOCHA wao WA zamani LUKE EMLY (MANYANI) aliyewashtaki yanga FIFA.
FEISAL SALUM aliyeishtaki yanga TFF.

Simba hamna kiungo Wala beki
Changamkieni Bangala.
Kati ya vile vyuma 12 unamtoa nani ili aingie huyo Bangala?
 
Yanga inajiaibisha Sana ,huyo hersi said mbona ni kanjanja sana
Yanga haijiabishi bali mchezaji ana mkataba, so timu inayo mtaka ije na uzuri mchezaji ndiye aliye andika barua ya kuvunja mkataba, so yy ndiye anatakiwa akae na Yanga then Yanga wampe gharama ya mkataba wake anaotakiwa kulipa.

Ndio sheria za mpira zipo hivyo Fabrigas aliomba kuvunjiwa mkataba,Arsenal mwanzo ikakataa baada ya kuona mchezaji anakomaa kwenda Barca ,wakamwambia alipe mil 35 basi Barca wakatoa hela then mchezaji kaachiwa.

Mkataba hauvunjwi hivyo atakavyo mchezaji. Ila huu ujinga tume utaka wenyewe kuchanganya mpira na siasa na haswa swala la Fei,tumeliamua kisiasa na si kwa sheria za mpira. Ila ndio mpira wetu kivyetuvyetu.

Wenzetu UK maamuzi ya chama cha soka haya ingiliwi hata na malkia kama umeonewa nenda CAS,ule mwaliko ndio ukawavuruga Yanga na viongozi vya TFF.
 
Yanga haijiabishi bali mchezaji ana mkataba, so timu inayo mtaka ije na uzuri mchezaji ndiye aliye andika barua ya kuvunja mkataba, so yy ndiye anatakiwa akae na Yanga then Yanga wampe gharama ya mkataba wake anaotakiwa kulipa.

Ndio sheria za mpira zipo hivyo Fabrigas aliomba kuvunjiwa mkataba,Arsenal mwanzo ikakataa baada ya kuona mchezaji anakomaa kwenda Barca ,wakamwambia alipe mil 35 basi Barca wakatoa hela then mchezaji kaachiwa.

Mkataba hauvunjwi hivyo atakavyo mchezaji. Ila huu ujinga tume utaka wenyewe kuchanganya mpira na siasa na haswa swala la Fei,tumeliamua kisiasa na si kwa sheria za mpira. Ila ndio mpira wetu kivyetuvyetu.
At least kama Mkataba kuvunjwa ni ngumu basi wawaruhusu waendelee kuitumikia team kama walivoomba

Hapo kuna ugumu gani?
 
At least kama Mkataba kuvunjwa ni ngumu basi wawaruhusu waendelee kuitumikia team kama walivoomba

Hapo kuna ugumu gani?
Wawa ruhusu bure? Hivi unazani Yanga ndio wangetaka kuvunja mkataba wa wachezaji,je mchezaji angekubali kuondoka bure bila kudai hela yake kwa Yanga.

Jiulize why Bigirman, Okwa na Sawadogo wamevunjiwa mkataba na timu zao why mpaka sasa wanaidai club.

Wachezaji wote unao wajua ww walio vunjiwa mkataba na club zao wote wanazidai club zao.Mpira biashara.
 
Habari wakuu,

Katika hali inayoonekana kuwa ya kushangaza Klabu ya Soka ya Yanga yenye Makao Makuu yake mitaa ya Twiga na Jangwani imepata mashtaka mengine tena TFF.

Wachezaji Yanic Bangala na Djuma Shaban raia wa Congo.

Wameingia katika mgogoro mzito wa kimkataba na Klabu ya Yanga.

Wachezaji hao ambao hawakutambulishwa siku ya kilele cha Wiki ya Wananchi, Yanga Day wana madai yafuatayo;

1. Wachezaji wana mkataba wa mwaka mmoja wanaotaka waendelee kuitumikia yanga. Yanga hawapo tayari.

2. Wachezaji wameomba kuvunjiwa mikataba na kwenda timu nyingine, Yanga wamegoma kuwavunjia mikataba.

Itakumbukwa siku za karibuni Yanga walikuwa na mgogoro na Kocha wao wa zamani Luke Emly (Manyani) aliyewashtaki Yanga FIFA, Feisal Salum nae aliishtaki Yanga TFF.

Simba hamna kiungo wala beki, changamkieni Bangala.
Halafu mwanasheria wao kilaza kutwa kucha kufuatilia mambo ya kuifitini simba. Yanga ni genge la wahuni tu
 
Habari wakuu,

Katika hali inayoonekana kuwa ya kushangaza Klabu ya Soka ya Yanga yenye Makao Makuu yake mitaa ya Twiga na Jangwani imepata mashtaka mengine tena TFF.

Wachezaji Yanic Bangala na Djuma Shaban raia wa Congo.

Wameingia katika mgogoro mzito wa kimkataba na Klabu ya Yanga.

Wachezaji hao ambao hawakutambulishwa siku ya kilele cha Wiki ya Wananchi, Yanga Day wana madai yafuatayo;

1. Wachezaji wana mkataba wa mwaka mmoja wanaotaka waendelee kuitumikia yanga. Yanga hawapo tayari.

2. Wachezaji wameomba kuvunjiwa mikataba na kwenda timu nyingine, Yanga wamegoma kuwavunjia mikataba.

Itakumbukwa siku za karibuni Yanga walikuwa na mgogoro na Kocha wao wa zamani Luke Emly (Manyani) aliyewashtaki Yanga FIFA, Feisal Salum nae aliishtaki Yanga TFF.

Simba hamna kiungo wala beki, changamkieni Bangala.
Simba haina kiungo wala beki??
 
Habari wakuu,

Katika hali inayoonekana kuwa ya kushangaza Klabu ya Soka ya Yanga yenye Makao Makuu yake mitaa ya Twiga na Jangwani imepata mashtaka mengine tena TFF.

Wachezaji Yanic Bangala na Djuma Shaban raia wa Congo.

Wameingia katika mgogoro mzito wa kimkataba na Klabu ya Yanga.

Wachezaji hao ambao hawakutambulishwa siku ya kilele cha Wiki ya Wananchi, Yanga Day wana madai yafuatayo;

1. Wachezaji wana mkataba wa mwaka mmoja wanaotaka waendelee kuitumikia yanga. Yanga hawapo tayari.

2. Wachezaji wameomba kuvunjiwa mikataba na kwenda timu nyingine, Yanga wamegoma kuwavunjia mikataba.

Itakumbukwa siku za karibuni Yanga walikuwa na mgogoro na Kocha wao wa zamani Luke Emly (Manyani) aliyewashtaki Yanga FIFA, Feisal Salum nae aliishtaki Yanga TFF.

Simba hamna kiungo wala beki, changamkieni Bangala.

Kwa hiyo kuvunja mkataba ni kama kuvunja kuni? Unatafuta shoka una vunja
 
Mwanaume haogopi kesi
Ukiwa mwanaume, ugomvi, kesi, vita n.k
Ni vitu vya kawaida kukukuta
Yanga pambana usiogope
 
Back
Top Bottom