cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Aliwanyoosha huko CAS hao utopoloo, ndo akapewa hilo jina.Si mnamwita Wakili msomi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliwanyoosha huko CAS hao utopoloo, ndo akapewa hilo jina.Si mnamwita Wakili msomi
Unakumbuka hii siku aliwalaza na viatuAliwanyoosha huko CAS hao utopoloo, ndo akapewa hilo jina.
Hili kosi balaa, japo sina uhakika na huyo Kambole.Kwa hatua hii maana yake, Kati ya Moloko au Ushindi mmoja ataondoka au wote kwa pamoja.
YANGA ITAKUWA HIVI KWA NIONAVYO MIMI. Nb Beki no 3 Naamini Klabu itaingia sokoni ili kujiimarisha sambamba na beki ya kati 1
View attachment 2280385
Kambole anajua sana mpira, ni kama Moses Phiri, ingawa Phiri anasugua Benchi mbele ya Kambole.Hili kosi balaa, japo sina uhakika na huyo Kambole.
Yanga bora wanemchukua mchezaji yeyote ligi kuu kuliko kumrudisha msaliti mkubwa kama huyu bernad. alitukimbia klabuni huku tukiwa tunamtegemea na washabiki wengi walikesha usiku kucha kpale karume kufuatilia rufaa ya yanga ya kumrudisha bernad. yanga acheni kucheze pesa za usajili kijana huyu hana sifa za kurudishwa klabuni.Mwana mpotevu karudi Nyumbani.
Natambua wengi watashangaa kuona umerudi nyumbani. Ila ulizaliwa ucheze mpira Yanga SC na sio klabu nyingine tena.
Roho ilikuwa ikiniuma nankububujikwa na machozi nilipoona ukimpigia magoti Eng Hersi ukimuomba nafasi ya pili.
Ila kwa bahati nzuri na kwa moyo mwepesi akakupa fursa ya mwisho kujiunga na mabingwa wapya wa CAFCL Kwa sharti la kuzingatia nidhani.
Kwa taarifa fupi Prof Nabi amekwisha pewa faili lako lote, hivyo anakutambua vyema kuliko unavyo dhani. Kuwa makini sana maana uko katika probation period ndio maana wamekupa mkataba mfupi sana.
Ukihenya kidogo tu wamepanga kukurudisha kwenu ghana.
Kazi kwako mdogo wangu.
Ila nini inakubidi upambane kidogo hapo maana wenzako wanakuchukulia kama mchezaji back up. [emoji23][emoji23]
Karibu tena nyumbani mwana mpotevu.
View attachment 2280343
Release letter ipi hiyo ya kufungia maandazi?Release Letter tutafungia maandaziView attachment 2280337
Labda Simba ya kijijini kwenu. Nyie Utopolo chukueni zigo lenu la mavi mhangaike naloSimba tumepoteza mchezaji mzuri sana.....ukweli utakuweka huru!!!!!
Kumbe ndiyo maana Luc aliwaita nyie 'mbwa'.Makolo mnaikumbuka hii siku? Basi maumivu yamewarudia
Huyo Luc akikuita we kenge pia utakubali?Kumbe ndiyo maana Luc aliwaita nyie 'mbwa'.
Mjasiliamali😁😁😁😁Anapiga hela huyu
Sio Vzr Kututukana Sisi wote mashabiki na wanachama Wa Yanga Kwa Maamuzi Ya Viongozi Wa Yanga.Ukimtoa baba yangu na Mzee kikwete yanga wote ni kama hamnazo hivi mwisho wa kumnukuu haji manara
mkuu watanzania tu niwepesi fulani hv,nadhani ni kn ujinga fulani hvHuyu jamaa amejua Sana kucheza na hivi vilabu vya Kariakoo.
Jezi imejaa makolokolo... mwisho wa kumnukuu Haji ManaraUkimtoa baba yangu na Mzee kikwete yanga wote ni kama hamnazo hivi mwisho wa kumnukuu haji manara
Anaupiga mwingiNi kama dem muuza chiu anayefahamika na bado watu wanaunga foleni kutaka huduma yake
Mwenyekiti wenu kabisa mliemchagua kwa kura aliwaita mambumbumbu pro maxKumbe ndiyo maana Luc aliwaita nyie 'mbwa'.