Yanga yatangaza kumrudisha Benard Morrison

Yanga yatangaza kumrudisha Benard Morrison

Makolo mnaikumbuka hii siku? Basi maumivu yamewarudia
 

Attachments

  • Ben.jpg
    Ben.jpg
    17.2 KB · Views: 5
Kwa hatua hii maana yake, Kati ya Moloko au Ushindi mmoja ataondoka au wote kwa pamoja.

YANGA ITAKUWA HIVI KWA NIONAVYO MIMI. Nb Beki no 3 Naamini Klabu itaingia sokoni ili kujiimarisha sambamba na beki ya kati 1

View attachment 2280385
Hili kosi balaa, japo sina uhakika na huyo Kambole.
 
Mwana mpotevu karudi Nyumbani.

Natambua wengi watashangaa kuona umerudi nyumbani. Ila ulizaliwa ucheze mpira Yanga SC na sio klabu nyingine tena.

Roho ilikuwa ikiniuma nankububujikwa na machozi nilipoona ukimpigia magoti Eng Hersi ukimuomba nafasi ya pili.

Ila kwa bahati nzuri na kwa moyo mwepesi akakupa fursa ya mwisho kujiunga na mabingwa wapya wa CAFCL Kwa sharti la kuzingatia nidhani.

Kwa taarifa fupi Prof Nabi amekwisha pewa faili lako lote, hivyo anakutambua vyema kuliko unavyo dhani. Kuwa makini sana maana uko katika probation period ndio maana wamekupa mkataba mfupi sana.

Ukihenya kidogo tu wamepanga kukurudisha kwenu ghana.

Kazi kwako mdogo wangu.

Ila nini inakubidi upambane kidogo hapo maana wenzako wanakuchukulia kama mchezaji back up. [emoji23][emoji23]

Karibu tena nyumbani mwana mpotevu.

View attachment 2280343
Yanga bora wanemchukua mchezaji yeyote ligi kuu kuliko kumrudisha msaliti mkubwa kama huyu bernad. alitukimbia klabuni huku tukiwa tunamtegemea na washabiki wengi walikesha usiku kucha kpale karume kufuatilia rufaa ya yanga ya kumrudisha bernad. yanga acheni kucheze pesa za usajili kijana huyu hana sifa za kurudishwa klabuni.
 
Na ile kesi ya shabiki mwenzenu aliyejeruhiwa baada ya kumwita Morrison mwizi was magari mtaifuta.
Kweli utopolo ni chuo cha kuzalisha wajinga.
 
Ukimtoa baba yangu na Mzee kikwete yanga wote ni kama hamnazo hivi mwisho wa kumnukuu haji manara
Sio Vzr Kututukana Sisi wote mashabiki na wanachama Wa Yanga Kwa Maamuzi Ya Viongozi Wa Yanga.
.
Leo Ukiuliza Wanachama na mashabiki Wa Yanga Kama wanakubaliana na Morrison Kurudi Yanga wengi Watakataa Ila Kwa vile Viongozi ndio wanafanya Usajili, Wanachama hawana namna Zaidi ya kukubali.
.
Maisha ya Soka Ni Kama Maisha Ya Mwanasiasa, Mchezaji Yoyote Hana Adui Wa Kudumu.
.
Ila Sijui ila kiukweli kwa BM3, Wananchi tunanunua tatizo.
.
Ana kipaji, Yes, lakini nidhamu ni kila kitu. Morisson hafugiki.
.
Amethibitisha hivyo vilabu vyote alivyopitia kutoka Sauz mpaka hapa.
.
Wasiwasi wangu asipeleke negative energy kwenye dressing room itakuwa balaa.
.
_Anyway viongozi Yanga Waliohamua Kumrudisha wanajua zaidi Kuliko Sisi Wanachama na mashabiki Wa Yanga.
.
Wanasema Better the devil u know than the angel u don't know [emoji3][emoji3][emoji3]
.
Tuwaachie viongozi, wanajua zaidi, Sisi Wanazengo Tuendelee kumwagilia moyo tukifurahia Treble.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom