Yanga yatangaza kumrudisha Benard Morrison

Yanga yatangaza kumrudisha Benard Morrison

Morisson sio fundi Seremala, kazi yake ni mpira, na Simba ba Yanga ndio walioaji wazuri, aachwe atengenese hela.
 
Pamoja na ubora wake ni muda wa kusepa na ni maamuzi sahihi kwa uongozi, huyu mchezaji alitugharimu sana ktk mchezo dhidi ya Orlando kwa kukosa mechi ya pili.

Ni wakati muafaka sasa kuwekeza nguvu zote ktk kutafuta mbadala wa nguvu, natamani kama uongozi utapambana kumrudisha Luis aka Konde boy.
 
"Simba is the university of Tanzanian football"

Mwisho wa kunukuu.
 
Pamoja na ubora wake ni muda wa kusepa na ni maamuzi sahihi kwa uongozi,huyu mchezaji alitugharimu sana ktk mchezo dhidi ya Orlando kwa kukosa mechi ya pili.

Ni wakati muafaka sasa kuwekeza nguvu zote ktk kutafuta mbadala wa nguvu,natamani kama uongozi utapambana kumrudisha Luis aka Konde boy.
Shida yenu simba na club za kibongo ni kuishi kwa kelele za mashabiki na wapinzani,

Sasa km morisson mlimchukua wa nini tena hakuna hata na namba time mnamleta ila tu kukomoa yanga, yuule uchizi anao kitambo mkadanganyana na mikataba eti aache utovu wa nidhamu, now teena yanga wanarudia ujinga uo uo nao wanasema mikataba ya nidhamu.
Mandezi saana.

Bado na weww unamuwaza konde boy, hivi kweli hakuna wachezaji zaid yake au club bingwa zoote mnashndwa kuona wachezaji.


Mmerudisha chama, mnataka tena konde wa nini hao waatu... Mpira ni busines lazima ununue na kuuza, msing'ang'anie watu....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwana mpotevu karudi Nyumbani.

Natambua wengi watashangaa kuona umerudi nyumbani. Ila ulizaliwa ucheze mpira Yanga SC na sio klabu nyingine tena.

Roho ilikuwa ikiniuma nankububujikwa na machozi nilipoona ukimpigia magoti Eng Hersi ukimuomba nafasi ya pili.

Ila kwa bahati nzuri na kwa moyo mwepesi akakupa fursa ya mwisho kujiunga na mabingwa wapya wa CAFCL Kwa sharti la kuzingatia nidhani.

Kwa taarifa fupi Prof Nabi amekwisha pewa faili lako lote, hivyo anakutambua vyema kuliko unavyo dhani. Kuwa makini sana maana uko katika probation period ndio maana wamekupa mkataba mfupi sana.

Ukihenya kidogo tu wamepanga kukurudisha kwenu ghana.

Kazi kwako mdogo wangu.

Ila nini inakubidi upambane kidogo hapo maana wenzako wanakuchukulia kama mchezaji back up. [emoji23][emoji23]

Karibu tena nyumbani mwana mpotevu.

View attachment 2280343
Simba pia walimpa masharti hayo lakini akayashindwa....

Wameamua kumuacha,........

Tuliambiwa kuwa Senzo alitoka Simba kwa sababu ya huyu jamaa....ngoja tuone muvi ya wanautopolo....KIMEUMANA

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
 
Chakushangaza mashabiki wa Simba wanawaona Yanga kama wamezingua wakati wenyewe walimchukua wakati walikuwa wanajua tabia zake.

Huu ndio mpira wa Bongo.
Simba walimchukua kutoka kwa yanga ila yanga wamemchukua baada ya kuachwa na simba.
Huo ndio ukweli

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
 
Haya ngoja tuoneView attachment 2280326

Mabingwa wa Tanzania Bara Dar Young Africans maarufu kama Yanga usiku huu wametangaza kumsajili tena mchezaji wao wa zamani Benard Morrison

Morrison alikuwa ni mchezaji wa Yanga kabla ya kuhamia kwa watani wao Simba SC
Tunashukuru kwa taarifa rasmi. Ingawa wenye Yanga yetu tulishafahamu kitambo tu.

Kwa sababu mpira ni ajira pia, tutamchukulia tu kama huyo kaka yake Haji Manara.
 
Sio Vzr Kututukana Sisi wote mashabiki na wanachama Wa Yanga Kwa Maamuzi Ya Viongozi Wa Yanga.
.
Leo Ukiuliza Wanachama na mashabiki Wa Yanga Kama wanakubaliana na Morrison Kurudi Yanga wengi Watakataa Ila Kwa vile Viongozi ndio wanafanya Usajili, Wanachama hawana namna Zaidi ya kukubali.
.
Maisha ya Soka Ni Kama Maisha Ya Mwanasiasa, Mchezaji Yoyote Hana Adui Wa Kudumu.
.
Ila Sijui ila kiukweli kwa BM3, Wananchi tunanunua tatizo.
.
Ana kipaji, Yes, lakini nidhamu ni kila kitu. Morisson hafugiki.
.
Amethibitisha hivyo vilabu vyote alivyopitia kutoka Sauz mpaka hapa.
.
Wasiwasi wangu asipeleke negative energy kwenye dressing room itakuwa balaa.
.
_Anyway viongozi Yanga Waliohamua Kumrudisha wanajua zaidi Kuliko Sisi Wanachama na mashabiki Wa Yanga.
.
Wanasema Better the devil u know than the angel u don't know [emoji3][emoji3][emoji3]
.
Tuwaachie viongozi, wanajua zaidi, Sisi Wanazengo Tuendelee kumwagilia moyo tukifurahia Treble.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Upo sahihi kabisa
 
Yanga bora wanemchukua mchezaji yeyote ligi kuu kuliko kumrudisha msaliti mkubwa kama huyu bernad. alitukimbia klabuni huku tukiwa tunamtegemea na washabiki wengi walikesha usiku kucha kpale karume kufuatilia rufaa ya yanga ya kumrudisha bernad. yanga acheni kucheze pesa za usajili kijana huyu hana sifa za kurudishwa klabuni.
Viongozi ndio walizingua, Morrison alifuata principles zote, Narudia tena ishu ya Morrison na Yanga walizingua ni Viongozi wa Yanga
 
Yanga bora wanemchukua mchezaji yeyote ligi kuu kuliko kumrudisha msaliti mkubwa kama huyu bernad. alitukimbia klabuni huku tukiwa tunamtegemea na washabiki wengi walikesha usiku kucha kpale karume kufuatilia rufaa ya yanga ya kumrudisha bernad. yanga acheni kucheze pesa za usajili kijana huyu hana sifa za kurudishwa klabuni.
Acha chuki zisizo na msingi.unachangia shilingi ngapi kwenye hiyo club.Mpira sio uadui.
 
Back
Top Bottom