Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulikwenda shule KUTEMBEA. Ask yourself Dar &Sudan wap kuna joto?Safi sana yanga. Mechi kucheza saa 10 jioni wamepatia sana. Jua la dar litawachosha sana wageni.
Mgeni ukimuweka usiku anakuwa hachoki haraka..
Maneno yako yakatimieKwamba kuwachezesha saa kumi ndio kuwakomoa? Yaani ni Sawa na kumpeleka nzi chooni..! Kuna timu itapigwa home and away.
Wewe tangu ulipo puyanga kwenye ule utabiri wako wa nani mkali kati Fiston Mayele vs Kibu Denis!! Umebakia tu kuwa kichekesho.FT Utopolo 0- 2 Al Hilal
Kajaeni kumuaga mgonjwa mahututi Uto. Atafia Sudane,mtazika au mtasafirisha?Shime wananchi! Tukaujaze uwanja. Kiingilio mbuzi kabisa hicho. Yaani hata mbumbumbu fc wangeujaza uwanja.
Unajitoa tu ufahamu bila shaka. Ila ukweli unao moyoni mwako. Kati ya timu yako ya simba na Yanga, timu gani yenye matumaini zaidi ya kusonga mbele.Kajaeni kumuaga mgonjwa mahututi Uto. Atafia Sudane,mtazika au mtasafirisha?
Ulikwenda shule KUTEMBEA. Ask yourself Dar &Sudan wap kuna joto?
Waarab koko mtapata tabu sana mwaka huu. Kwa Yanga hii, bora mkaficha tu sura zenu. Maana mataaibika.Go al-hilal Go