Yanga yatangaza viingilio dhidi ya Al Hilal tar 8 October

Yanga yatangaza viingilio dhidi ya Al Hilal tar 8 October

Safi sana yanga. Mechi kucheza saa 10 jioni wamepatia sana. Jua la dar litawachosha sana wageni.

Mgeni ukimuweka usiku anakuwa hachoki haraka..
Hao jamaa jua na joto kwa siyo ishu laiti ungeijuwa temperature ya Sudan na hapa kwetu Ni heri kujengwa uwanja makete ili tuwe tunAwapeleka kule timu zenye ukanda wa joto

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Safi sana yanga. Mechi kucheza saa 10 jioni wamepatia sana. Jua la dar litawachosha sana wageni.

Mgeni ukimuweka usiku anakuwa hachoki haraka..
Ulisoma Jiografia wewe ama unaropoka tu unajua joto la Khatoum lilivyokali.
 
Unajitoa tu ufahamu bila shaka. Ila ukweli unao moyoni mwako. Kati ya timu yako ya simba na Yanga, timu gani yenye matumaini zaidi ya kusonga mbele.
Huko siyo NBC PL kwamba kuna anayepokea bahasha za khaki za giesiemu.

Ngoja mjidanganye eti mnatimu nzuri mje mpasuliwe vipandevinde .

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Safi sana yanga. Mechi kucheza saa 10 jioni wamepatia sana. Jua la dar litawachosha sana wageni.

Mgeni ukimuweka usiku anakuwa hachoki haraka..
Hii ni dalili kuwa hata shule hukwenda tukiachilia mbali ile kauli ya manara kuwa wenye akili ni wawili tu
 
Huko siyo NBC PL kwamba kuna anayepokea bahasha za khaki za giesiemu.

Ngoja mjidanganye eti mnatimu nzuri mje mpasuliwe vipandevinde .

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo na nyinyi huwa mnapokea hizo bahasha za khaki! Kumbe ndiyo maana mwekezaji ameamua aanze kuwatelekeza kimya kimya na kutimkia zake kwenye upromota wa ngumi!

Amegundua hamtosheki bila shaka! Haiwezekani aweke bilioni zake 20 kwenye timu! Halafu bado mnapoekea kwa siri bahasha za gi esi emu, ili mfungwe na Yanga.
 
Safi sana yanga. Mechi kucheza saa 10 jioni wamepatia sana. Jua la dar litawachosha sana wageni.

Mgeni ukimuweka usiku anakuwa hachoki haraka..
unalijua jua la khartoum wewe ?
 
Kwa hiyo na nyinyi huwa mnapokea hizo bahasha za khaki! Kumbe ndiyo maana mwekezaji ameamua aanze kuwatelekeza kimya kimya na kutimkia zake kwenye upromota wa ngumi!

Amegundua hamtosheki bila shaka! Haiwezekani aweke bilioni zake 20 kwenye timu! Halafu bado mnapoekea kwa siri bahasha za gi esi emu, ili mfungwe na Yanga.
Akikujibu niite mbwa nimekaa pale
 
Ohh Simba wanaweka viingilio vidogo Ili wapate watu wengi...

Halafu wao wanaweka Buku 3
Da uto bhana
Hii match ni ya mashindano ipo kimkakati ndio maana ya kuweka viingilio hivyo sasa utafananisha na ile match ya hisani
 
Back
Top Bottom