goroko77
JF-Expert Member
- Jul 9, 2019
- 8,845
- 13,072
Hao jamaa jua na joto kwa siyo ishu laiti ungeijuwa temperature ya Sudan na hapa kwetu Ni heri kujengwa uwanja makete ili tuwe tunAwapeleka kule timu zenye ukanda wa jotoSafi sana yanga. Mechi kucheza saa 10 jioni wamepatia sana. Jua la dar litawachosha sana wageni.
Mgeni ukimuweka usiku anakuwa hachoki haraka..
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app