Yanga yatoa msimamo mkali: Yadai pointi 3 kwa Simba, yakataa mechi ya marudio na kutaka Kamati ya Ligi Kuvunjwa!

Hizi barua zitaisha tu na hazitajibiwa na Bodi ya Ligi,sasa Subiri muone motoo.

Mmeanza kuvunja kanuni mnataka kuzingatia kanuni tena
Yanga ilivunja kanuni ipi inayosema ikivunjwa basi match ighairishwe?
 
Kwa nini sasa usipost kutoka chanzo asili cha CAF badala yake unapost maneno ya mchambuzi? Ndiyo maana nakuuliza huyo Mbwaduke ndiyo atakuwa shahidi wenu namba moja? Bando langu halafu unanipostia viclip visivyo na maelezo unategemea nini?
Yale sio maneno ya mchambuzi, bali alicho ongea ni maandishi ya CAF yy kafanya reference? Au hujui maana ya kurefer...... maana kama hujui maana ya kurefer nitakuona mtu wa ajabu ukizungumzia kanuni,maana huwezi kuzungumzia kanuni bila kufanya reference ndicho alichofanya Mwaduke.

Nimekuuliza wewe Kiziwi? Maana inawezekana nimempigia Mbuzi Gitaa.
 
Kwa hiyo ile barua haikuandikwa na nyie au Magoli aliongea kuchamsha baraza la kahawa?Hivi unasoma ulicho kiandika, kwa hiyo ile barua haikuandikwa na nyie........
Mambo mepesi huelewi, nimekuambia hivi, Simba kuandika barua kuwa haitocheza haitoshi kuipa Yanga p3 kuwa imesusa mechi, ile ni barua, Tafsiri ya kususa ni kutopeleka timu uwanjani. Mbona huwa huelewi boss? Hahaha
 
Mambo mepesi huelewi, nimekuambia hivi, Simba kuandika barua kuwa haitocheza haitoshi kuipa Yanga p3 kuwa imesusa mechi, ile ni barua, Tafsiri ya kususa ni kutopeleka timu uwanjani. Mbona huwa huelewi boss? Hahaha
Kutokucheza na kususia tofauti yake nini?

Ndio maana nimekuambia hata unacho kiandika wewe mwenyewe hukielewi.
 
Yanga ilivunja kanuni ipi inayosema ikivunjwa basi match ighairishwe?
Yanga hakuvunja kanuni inayosema mattch iahirishwe.Hili nakubali,sasa naimba nijibu na mimi swali hili,

Je nani alithibitisha kuwa Yanga ulifika uwanjani?
Kamisaa wa mchezo aliandika report ipi?

Nani alikua Refa akaheshabu dakika na kumaliza mchezo kama kanuni inavuotakiwa ili upate point 3?
 
Ngoja nikufundishe kama hakuna mtu aliwahi kukufundisha hili. Ukiwa unatoa reference, hauendi kwa source nyingine iliyotumia reference hiyo na kuinukuhu bali unatakiwa uende kwenye source yenyewe halisi ya hiyo reference. Hivyo ndiyo reference zinafanyika.

Ulichofanya hapa in maana reference yako ni Mbwaduke na siyo CAF.
 
Reactions: Tsh
Kutokucheza na kususia tofauti yake nini?
Kutokuingiza timu uwanjani ndo kususa. Sasa TFF waliifuta hiyo mechi kabla ya muda wa kuingia uwanjani. Huwezi susa mechi isiyokuwepo. Tumeelewana boss?

Yaani mpaka hapa, hoja si Simba kususa mechi, ni TFF kufuta mechi.
 
Naomba hayo maneno ya msimamo mkali ya futwe,
 
Kifupi bodi ya ligi hawakutumia busara kuahirisha mchezo wao wangetulia hadi mwisho watoe adhabu kwa aliyeonekana kuvunja sheria


Mimi niungane na utopolo kwamba bodi ya ligi inaviongozi wasiofaa waachie ngazi
 
Mhhh kwani Mwaduke si amefanya reference kutoka CAF?

Mwaduke=Amerefer CAF.
The Nilicho kileta=Reference from Mwaduke.
Hence.
Nilicho kileta=Reference from CAF .

Algebra ya kawaida tu tena O-Level sio ya Advance.
 
Hilo swala la bodi ya ligi kwanini awakuwepo uwanjani siku ya mchezo namba husika,Yanga wao walifika,na wana vielelezo vya pre match meeting siku 1 nyuma kabla ya match,so bodi ya ligi wao ndio watakuja na kipengele cha kuahirisha kupitia kanuni za vyama soka
 
Team ya Yanga ilifika uwanjani? Mbona hunijibu
 
Kutokuingiza timu uwanjani ndo kususa. Sasa TFF waliifuta hiyo mechi kabla ya muda wa kuingia uwanjani. Huwezi susa mechi isiyokuwepo. Tumeelewana boss?

Yaani mpaka hapa, hoja si Simba kususa mechi, ni TFF kufuta mechi.
Nikuelewe vip wakati hata unacho kiandika ww mwenyewe hukielewi.Kwa hiyo TFF wamefuta mechi bila sababu ? Kwa hiyo kile mlicho fanya juzi cha kususa sio hoja kabisa? Sasa kama sio hoja ile barua mliiandika ya nini?
 
Mhhh kwani Mwaduke si amefanya reference kutoka CAF?

Mwaduke=Amerefer CAF.
The Nilicho kileta=Reference from Mwaduke.
Hence.
Nilicho kileta=Reference from CAF .

Algebra ya kawaida tu tena O-Level sio ya Advance.
Kwani hapa tunaongelea Principles of Mathematics au Principles of Referencing mbona unachanganya mafaili?
 
Nikuelewe vip wakati hata unacho kiandika ww mwenyewe hukielewi.Kwa hiyo TFF wamefuta mechi bila sababu ?
Sababu ipo kwenye barua yao, hujaisoma? Hiyo hapo mwisho nimekuwekea.

Kwa hiyo kile mlicho fanya juzi cha kususa sio hoja kabisa? Sasa kama sio hoja ile barua mliiandika ya nini?
Sio hoja, huwezi kuitumia kupewa point tatu maana haikidhi tafsiri ya kususa.

Mkuu, mambo mepesi haya. Mambo ya Ubaya Ubwela.
 
Kwani hapa tunaongelea Principles of Mathematics au Principles of Referencing mbona unachanganya mafaili?
Ni kitu kile kile sema kimekuwe represented into variable kwa kutumia Algebra. Hamna sehemu nilipo changanya mafaili labda kama ulikimbia hesabu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…