Yanga yatoa msimamo mkali: Yadai pointi 3 kwa Simba, yakataa mechi ya marudio na kutaka Kamati ya Ligi Kuvunjwa!

Mbwaduke nimemsikiliza kidogo nika kata ili bundle langu lisiende bure baada ya kuona ana tafsiri kanuni za CAF , kumbe Simba hawakifuata kanuni kutoa taarifa kwenye kikao cha maandalizi ya mechi, (MCM)
 
Kinasemaje hicho kifungu kuhusiana na timu kisusa?
Hahaha, hicho kifungu hakihusiani na timu kususa. Kinatoa mamlaka ya kuhairisha mechi kwa sababu mbalimbali. Au unasahau mechi haijahairishwa sababu Simba imesusa? Mechi imehairishwa kwa sababu hii hapa;


SOMA HIYO AYA YA MWISHO, UKISHAELEWA NDO ENDELEA.
 
Hii mbinu ya kuukatalia uwanja kwa timu ngeni zisifanye mazoezi kwa kuweka mabaunsa getini na polisi mngeitumia kwa Mc Algiers saivi mngekuwa robo 😀😀😀 maana Mc wangesusia mechi afu nyie CAF ingewapa point tatu kama hizi mnazodai Leo😀😀😀
 
Hahaha, hicho kifungu hakihusiani na timu kususa. Kinatoa mamlaka ya kuhairisha mechi kwa sababu mbalimbali. Au unasahau mechi haijahairishwa sababu Simba imesusa? Mechi imehairishwa kwa sababu hii hapa;
View attachment 3265207
Nipe maelezo ya hiko kifungu, mliposusa mlipost vifungu vya TFF ,wapi walipo andika timu ikishindwa kufanya mazoezi isusie mechi. "Hilo neno sababu mbalimbali.......: ni sawa bodi na TFF kukubali kuwa madalali wenu.
 
Nipe maelezo ya hiko kifungu, mliposusa mlipost vifungu vya TFF ,wapi walipo andika timu ikishindwa kufanya mazoezi isusie mechi. "Hilo neno sababu mbalimbali.......: ni sawa bodi na TFF kukubali kuwa madalali wenu.
Wewe Joseph.

Mechi ya Simba na Yanga haijahairishwa sababu Simba imesema haitacheza, imehairishwa kwa sababu hii hapa:
 
Wewe Joseph.

Mechi ya Simba na Yanga haijahairishwa sababu Simba imesema haitacheza, imehairishwa kwa sababu hii hapa: View attachment 3265208
Simba hawako makini, (they are not smart), Simba SC ni taasisi kubwa inapofanya maamuzi lazima ifuate kanuni za maandishi ama kutoa taarifa rasmi, ilitakiwa itoe taarifa kwenye mkutano wa maandalizi ya mechi, (MCM)
 
Reactions: Tsh
Wewe Joseph.

Mechi ya Simba na Yanga haijahairishwa sababu Simba imesema haitacheza, imehairishwa kwa sababu hii hapa: View attachment 3265208
Kuna kanuni mliziposti sana humu Ijumaa ngojea nikuletee?

Kuna sehemu inayo sema mnatakiwa kususa? Halafu kwenye barua mmekubali hamkumpa taarifa meneja na hata huyo kamishina hakuwa na taarifa.

Hiyo sehemu mliyo irefer nyie Ijumaa ndipo Yanga watataka maelezo .
 
Hahaha, kususa kunahusiana vipi na kuhairishwa kwa mechi? Sababu za kuhairishwa kwa mechi si umeelezwa? Wamesema kwasababu Simba imesusa mechi inahairishwa?
 
Hahaha, kususa kunahusiana vipi na kuhairishwa kwa mechi? Sababu za kuhairishwa kwa mechi si umeelezwa? Wamesema kwasababu Simba imesusa mechi inahairishwa?
"Hahaha, kususa kunahusiana vipi na kuhairishwa kwa mechi?" Hili swali unaniuliza mimi? Nilitegemea wewe ndiye utoe jibu la swali hili....... naona kama unajishangaa mwenyewe.
 
Sikujua hii nchi kumbe upo uwezekano wa kuunda hata kundi kama la M23 na likafanikiwa.
Makomandoo wa yanga wana uwezo gani wa kuzuia timu isitumie uwanja wa serikali na meneja( serikali) imeshakubali halafu polisi wapo wameogopa kuwadhibiti?
Vipi Simba nao wangekodi jeshi la kujitegemea ili kuwadhibiti makomandoo wa yanga?
Kwa usalama wa nchi,hivi vilabu viwili vyote vifutwe kabisa.
Viongozi wanaoonesha ubabe wa kisomali kama ni maoni yangu,watekwe wakaseme hicho kiburi wanatoa wapi

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Huyo msomali atarudishwa Mogadishu ubavu huo hawana
 
Nimependa hapo mwishoni ety
Mwisho, lakini sio kwa umuhimu

Kwamba wanasoka hamna umuhimu kuombwa radhi 😂
Inamaanisha hoja hiyo pamoja na kuwekwa mwisho ina umuhimu sawa na hoja zingine zilizotamkwa kabla yake .
 
Huu msimamo wa Yanga ila Kolo FC wamejaa kibao, kila timu iendelea na ilicho kiamua. Nyie mmechagua mgomo, sisi tumechagua kendelea na ligi .
Ieleweke kwamba simba hakugoma ila mechi ndo imeahirishwa
 
Sasa hapa kwenye hii ishu CAF haipo mkuu. Labda mkashtaki. Ila mtani huko nje nako una makesi kibao, mengine umeangukia pua.
Hivi kuangukia pua kesi zilizopita kunakufanya usidai kile unachoamini ni haki kwenye kesi zingine?
 
Reactions: Tsh
Safi sana, huwezi kwenda sehemu bila taarifa eti kisa ni haki yako, kwahiyo hata mkeo ukifika nyumbani unamrukia tu kama sato wa mwanza sababu ni haki yako!?, tuwe na heshima na majukumu ya watu wengine.
 
Eti mechi ya marudio, kwani ilichezwa ndo warudie?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…