KWENYE PESA HAKUNA ADUI
JF-Expert Member
- Dec 16, 2014
- 225
- 349
Wapo km kitenesi😂😂Yanga hakuvunja kanuni inayosema mattch iahirishwe.Hili nakubali,sasa naimba nijibu na mimi swali hili,
Je nani alithibitisha kuwa Yanga ulifika uwanjani?
Kamisaa wa mchezo aliandika report ipi?
Nani alikua Refa akaheshabu dakika na kumaliza mchezo kama kanuni inavuotakiwa ili upate point 3?