Yanga yatoka rasmi mashindano ya CAF, hakuna muujiza utaweza kuwasaidia

Yanga yatoka rasmi mashindano ya CAF, hakuna muujiza utaweza kuwasaidia

Acha Kabisa Ila Mtandaoni Huko Mwenyewe Statistics Mchezaji Wa Week Ni Aziz Ki.
Dah iliniuma sana ile pasi ya kitalaamu kutoka kwa mtaalam Pacome, Aziz Ki kashindwa kuitumia wakati yupo na kipa tu.
 
Acha Kabisa Ila Mtandaoni Huko Mwenyewe Statistics Mchezaji Wa Week Ni Aziz Ki.
Mchezaji wa week imetolewa na official CAF wenyewe? hawawezi kutoa mchezaji wa week mapema tu leo. Nimeona Fotmob Pacome kawekewa star
IMG_20240225_161156.jpg
 
Back
Top Bottom