Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
😂😂😂Karibu Tuzungumze Vizuri Maana Wengi Wametelekeza Uzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂Karibu Tuzungumze Vizuri Maana Wengi Wametelekeza Uzi
Sio MAADA ni MADA kolo mshamba we unajifanya unaujua mpira kumbe debetupu.MAADA IMEFUNGWA
Imefungwa na nini! njoo uendelee kuchambuaMAADA IMEFUNGWA
Sare ya shule gani?Umetoa sare na Al Ahly?
Vp una Hali Gani saiv hapo??? Msiwe wajinga kwenye maisha . Kamwe usimkatie tamaa binadamuView attachment 2906369
Mechi za Yanga zilizobaki
Yanga vs CR Belouzidad - Nyumbani
Al Ahly vs Yanga - Ugenini
Mechi za CR Belouzidad
Yanga vs CR Belouzidad
CR Belouzidad vs Medeama SC
ili Yanga ifuzu hakuna namna inabidi ishinde SIO CHINI YA GOLI 4 dhidi ya CR Belouzidad, ukipunguza hisia za ushabiki utakubaliana nami kwamba Mechi ya Al Ahly sio ya kuipa matumaini, huwa wapo tofauti sana wakiwa kwao, kwa makadirio tukijitahidi wanaweza kutufunga goli mbili.
Belouzidad mechi ya mwisho atacheza nyumbani kwake dhidi ya vibonde wa kundi Medeama SC ambao wamefungwa 3 - 0 mechi zote za ugenini dhidi ya Yanga na Al Ahly, Kwa makadirio si ajabu nao Belouzidad wakijipigia tatu.
Alifuta maneno akashindwa kufuta kichwa cha habari kakini mods hawataki ujinga wakayarudisha maneno yake. Huko aliko anajisikia aibu uncle vice versaMtoa mada kafuta post, mods wameirudisha kibabe.
Unatesekea wapi?View attachment 2906369
Mechi za Yanga zilizobaki
Yanga vs CR Belouzidad - Nyumbani
Al Ahly vs Yanga - Ugenini
Mechi za CR Belouzidad
Yanga vs CR Belouzidad
CR Belouzidad vs Medeama SC
ili Yanga ifuzu hakuna namna inabidi ishinde SIO CHINI YA GOLI 4 dhidi ya CR Belouzidad, ukipunguza hisia za ushabiki utakubaliana nami kwamba Mechi ya Al Ahly sio ya kuipa matumaini, huwa wapo tofauti sana wakiwa kwao, kwa makadirio tukijitahidi wanaweza kutufunga goli mbili.
Belouzidad mechi ya mwisho atacheza nyumbani kwake dhidi ya vibonde wa kundi Medeama SC ambao wamefungwa 3 - 0 mechi zote za ugenini dhidi ya Yanga na Al Ahly, Kwa makadirio si ajabu nao Belouzidad wakijipigia tatu.
Azipate wapi cha zaidi alichojiamualia ni kwenda kuu edit. [emoji23][emoji23]
Aibu Zingene Za Kujitakia Wanahisi Dar Young Africans Mabingwa Wa Mchezo.[emoji23][emoji23][emoji23]
Alikimbia Uzi Kam Kufuta Content Yote Moderator Wamemtolea Access Ya Ku-edit.Hahah ukisikia kuukimbia uzi ndio huku...
Watu wasingekuwa wamekuquote mwanzo ungeukana uzi
Ni Aibu Rage Hakukosea Kuwaita Mbumbumbu FcMtoa mada kafuta post, mods wameirudisha kibabe.
5imba kala 5 , CRB kala 4 wote hawa walitoa sare na Al Ahly Cairo, vipi akienda bwana vipigo nini kitatokea! jibu baki naloUmetoa sare na Al Ahly?
Na Moderator wamemrudishia maneno yake kama alivyokuwa ameyapangilia. 😂😂Imefungwa na nini! njoo uendelee kuchambuaView attachment 2915862
😂😂😂Mtoa mada kafuta post, mods wameirudisha kibabe.
Kweli kabisa Mkuu.Aibu Zingene Za Kujitakia Wanahisi Dar Young Africans Mabingwa Wa Mchezo.
5G Ilikuwa Hadi Kwa Mwarabu Sijui Nini Tu Kilitokea Ila Ndio Alichokuwa Anastahili
Unaweza kuja jutia kuandika huu uzi.