Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
[emoji23][emoji23][emoji23]Kwanini tusipite? Labda majini yalale fofofo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]Kwanini tusipite? Labda majini yalale fofofo
Jiandae kupingwa na Mazuzu ya Jangwani..
Mnazunguka wee alafu mnauficha ukweli kuwa kwa hapo kundi lilipofika yanga ndio kibonde sasa wote al ahly na CRB wanategema wavune point 3 kutoka kwa yanga..
Awa wafuasi wa Rage, Mbumbumbu Fc ni wengi na akidi inatosha kwa serikali kuchagua eneo la kujenga mnara.
Rage popote ulipo Nina hakika mnara wako wa kumbukumbu utajengwa kuwa na subira.
Hali ni tete asee , kilala kheri chama langu hakuna kukata tamaa
The reason hatupendi Yanga ishinde sio kwasababu tunachuki na Yanga.Leo umefundishwa kuwa mpira sio sawa na kukuna nazi huku unaimba nyimbo za taarabu za mipasho bali ni kujipanga. Umejifanya mjuaji sana na mpiga ramli kwa Yanga. Umeumbuka kilichokuwa kigumu zaidi ya hiyo kutoa sare Cairo leo kimefanyijka. Yanga kaishamaliza hesabu zake nyie subirini wiki ijayo
Mbio mbio nikakimbilia kuangalia aliyeanzisha uzi. Mawazo yangu yote najua ni Mwasibu.
Ndugu yangu adriz kama kawaida huu uzi tukauhifadhi kule masijala kwa matumizi ya baadae.
Usain bolt hii ndio mida yako hiiUnakuaga na wenge
Afadhali hujataka kusema chochote. [emoji3]
Ipo siku kuna watu hawatajibu quotes zetu kwenye huu uzi.
Hata msimu uliopita mlikuja na porojo za aina hii! Lakini mwisho wa siku kidume akacheza fainali kombe la Shirikisho.
Ulimshauri vizuri sanaUnaweza kuja jutia kuandika huu uzi.
Threads za namna hii za ubashiri huwa zinaishia papaya sana.
[emoji23][emoji23][emoji23]Mtoa mada tunasubiri uchambuzi
Mtoa mada katokomea kusikojulikana, yupo kule anaugulia maumivu Kama mjusi aliyebanwa na mlango
Wachawi ndo maana huwa hamfanikiwi on the long run. Ramli siku zote hazijawahi kuwa sawa maana mnasahau kabisa kwamba kuna Mipango ya Mungu pia ambayo hata mwanadamu awe nani, hawezi kuijua. Shame on you
Kwahiyo kusema kwako kuwa Yanga hawezi kufanya kitu fulani unajigeuza wewe ni mganga? Mungu? Mshika funguo za mafanikio au mpiga ramli? Ushabiki upo ila sio kuwa kama ni mgeni wa mpira wa miguu. Kilichotokea leo ni funzo kwako na kwa wengine kuwa muwe na akiba ya maneno mpira wa miguu ni mchezo usiotabirika.The reason hatupendi Yanga ishinde sio kwasababu tunachuki na Yanga.
Yanga ni jina tu la timu hilo halina shida kwetu.
Shida ipo kwa mashabiki wake wanaogeuka kero kila baada ya kupata ushindi.
Nyinyi ndio mmefanya ionekane matokeo mabaya kwenu yawe ni ufunguo wa kuleta amani kwa wasiokuwa mashabiki wa Yanga
Sisemi kwamba hilo jambo halipo upande wa Simba ila nashangazwa na nyie mnaotaka kunadilisha asili kulazimisha wote tuishangilie timu yenu ilihali hata nyinyi mmekuwa mkifanya the same kwenye mechi za Simba
Ulitisha sana mwambaYanga anaweza kupita, goli 3 zinawezekana kabisa. Anahitaji huo ushindi tu, kwani wakiwa point sawa head to head itatumika baina yao kuona katika yake na CR nani kachukua point nyingi kwa mwenzake, ikiwa sawa magoli yatachukua nafasi.
bahari imevukwai bila kuloa mbupu una kingine?Usain bolt hii ndio mida yako hii