Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unasemaje eti!View attachment 2906369
Mechi za Yanga zilizobaki
Yanga vs CR Belouzidad - Nyumbani
Al Ahly vs Yanga - Ugenini
Mechi za CR Belouzidad
Yanga vs CR Belouzidad
CR Belouzidad vs Medeama SC
ili Yanga ifuzu hakuna namna inabidi ishinde SIO CHINI YA GOLI 4 dhidi ya CR Belouzidad, ukipunguza hisia za ushabiki utakubaliana nami kwamba Mechi ya Al Ahly sio ya kuipa matumaini, huwa wapo tofauti sana wakiwa kwao, kwa makadirio tukijitahidi wanaweza kutufunga goli mbili.
Belouzidad mechi ya mwisho atacheza nyumbani kwake dhidi ya vibonde wa kundi Medeama SC ambao wamefungwa 3 - 0 mechi zote za ugenini dhidi ya Yanga na Al Ahly, Kwa makadirio si ajabu nao Belouzidad wakijipigia tatu.
Hatimaye ..Kabisa ndugu yangu tuhifadhi na hii.
Hahahaaa. Ila hawa majamaa walijichagua wakajipata bana.Hatimaye ..
Rudi leo ndio tarehe 24 na mechi imeisha 😁😁😁Boss, anazipata wapi hizo 4? Kuna wakati mkubali ukweli usemwe. Nitakurudia trh 24 baada ya match
Hatimaye ..
GT wa JF wenyewe ndio hawa.Hiyo game ya yanga na CRB pale kwa mkapa ni game ngumu mno tofauti na wadau wengi wanavyopiga hesabu za vidole tena inaweza ikatoa matokeo ya kushangaza....ila yanga akifanikiwa kushinda 4-0 anapita moja kwa moja kwenda robo kabla hajacheza hata game yake ya mwisho na al ahly, na akitokea amefungwa hata goli moja itakuwa end of the road kwake!....
👆How?
[emoji23][emoji23][emoji23]Halafu wengi wao mechi ya leo hawakuiongelea walibakia kujadili bleach. [emoji23][emoji23]
Hiyo mechi wanayoiongelea na Al Ahly haina maana tena. [emoji23][emoji23]
Goli nne kazipata Kwa Mkapa. Ebu rudi uendelee na uchambuzi wako.Boss, anazipata wapi hizo 4? Kuna wakati mkubali ukweli usemwe. Nitakurudia trh 24 baada ya match
Rudi hapa ueleze ndoto zako we kolokwinhoView attachment 2906369
Mechi za Yanga zilizobaki
Yanga vs CR Belouzidad - Nyumbani
Al Ahly vs Yanga - Ugenini
Mechi za CR Belouzidad
Yanga vs CR Belouzidad
CR Belouzidad vs Medeama SC
ili Yanga ifuzu hakuna namna inabidi ishinde SIO CHINI YA GOLI 4 dhidi ya CR Belouzidad, ukipunguza hisia za ushabiki utakubaliana nami kwamba Mechi ya Al Ahly sio ya kuipa matumaini, huwa wapo tofauti sana wakiwa kwao, kwa makadirio tukijitahidi wanaweza kutufunga goli mbili.
Belouzidad mechi ya mwisho atacheza nyumbani kwake dhidi ya vibonde wa kundi Medeama SC ambao wamefungwa 3 - 0 mechi zote za ugenini dhidi ya Yanga na Al Ahly, Kwa makadirio si ajabu nao Belouzidad wakijipigia tatu.
Viherehere ndio uanzishaThreads za namna hii za ubashiri huwa zinaishia papaya sana.
Hongera. Utafika mbali.Hiyo game ya yanga na CRB pale kwa mkapa ni game ngumu mno tofauti na wadau wengi wanavyopiga hesabu za vidole tena inaweza ikatoa matokeo ya kushangaza....ila yanga akifanikiwa kushinda 4-0 anapita moja kwa moja kwenda robo kabla hajacheza hata game yake ya mwisho na al ahly, na akitokea amefungwa hata goli moja itakuwa end of the road kwake!....